ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Mrejesho nilileta.
ISO M.CodD mhadithie ilivyokuwa[emoji23].
Nilipiga pafu 2 tu,nilisikia uchungu mdomoni utadhani nimemeza muarobaini[emoji21]..
Sikuona kilichobadilika,akili yangu ilikuwa vilevile....
Kwahiyo niliconclude kuwa kumbe hakuna kitu kinachoitwa kulewa.
Alilamba tu huyu hakunywa. Yani ulitarajia ulewe? Ushafika conclusion kwa test ndogo hivyo?Hahahahah naomba uje ofisi ya waziri mkuu huku tuongee vizuri (PM) office
Anazingua anatakiwa akandamize mzinga hata nusu chupa kwanza dompo bigi ile!Alilamba tu huyu hakunywa. Yani ulitarajia ulewe? Ushafika conclusion kwa test ndogo hivyo?
Naona anajimwambafy hapa ila hamna alilofanya [emoji23][emoji23]Anazingua anatakiwa akandamize mzinga hata nusu chupa kwanza dompo bigi ile!
Ulinipa pombe mbaya ile,labda unipe iliyo tamu.Alilamba tu huyu hakunywa. Yani ulitarajia ulewe? Ushafika conclusion kwa test ndogo hivyo?
[emoji38]Anazingua anatakiwa akandamize mzinga hata nusu chupa kwanza dompo bigi ile!
Huyu ulimpa chupa gani aisee mbona anatamba sana hapa๐ ๐ ๐ antakiwa akandamizwe dude la maanaNaona anajimwambafy hapa ila hamna alilofanya [emoji23][emoji23]
Nadhani kesho naibuka pale pale mapema mchana. Nakutafutia kitu kitamu properUlinipa pombe mbaya ile,labda unipe tamu.
Yaani nilijikaza tu ili nisiwadisappoint[emoji23],ila ile kwa kweli ilikuwa chungu.
Usiniambie juhudi zote zile hujaona chochote nilichofanya[emoji23].Naona anajimwambafy hapa ila hamna alilofanya [emoji23][emoji23]
Yani Dompo unaita kinyesi? Uko wapi kwanza nafikiri nitakuwa na shughuli na kichwa chako hiko๐[emoji38]
Hiyo dompo ndio ile inanuka kama kinyesi?
Siwezi hata kuweka mdomoni.
Amarula kiglass tu akashindwa ikabidi niichanganye na kvant yangu niiteketezeHuyu ulimpa chupa gani aisee mbona anatamba sana hapa[emoji28][emoji28][emoji28] antakiwa akandamizwe dude la maana
Yesu Maria na Yosefu![emoji38]
Hiyo dompo ndio ile inanuka kama kinyesi?
Siwezi hata kuweka mdomoni.
Pombe na soda wala havina tofauti.Huyu ulimpa chupa gani aisee mbona anatamba sana hapa[emoji28][emoji28][emoji28] antakiwa akandamizwe dude la maana
Kesho Niko free,ila nitakuwa na usingizi balaa,Leo naingia kulinda usiku [emoji38].Nadhani kesho naibuka pale pale mapema mchana. Nakutafutia kitu kitamu proper
Jicommit upige vitu sio kulamba lamba kupoteza pesa [emoji23]Kesho Niko free,ila nitakuwa na usingizi balaa,Leo naingia kulinda usiku [emoji38].
Nitapita nipige pafu 2 tu nione.
Ila siku ile nilikuwa normal tu,sikuona kilichobadilika kichwani.
Naomba maneno hayo uyaongee baada ya kumaliza glass 3 za nguvu!Pombe na soda wala havina tofauti.
Nilikuwa mzima kabisa,yaani hadi nalala Niko na akili yangu ileile.
[emoji23]Yesu Maria na Yosefu!
Analamba lamba pombe kumbe! Anatakiwa anywe pombe analeta utoto huyu๐Jicommit upige vitu sio kulamba lamba kupoteza pesa [emoji23]
Tatizo vichungu kama muarobaini[emoji38]Jicommit upige vitu sio kulamba lamba kupoteza pesa [emoji23]
Heheheheh Amarula si maziwa maziwa ๐ ๐ ๐ !!! Aisee mpatie Desperado kwa heshima yangu! 3 bottlesAmarula kiglass tu akashindwa ikabidi niichanganye na kvant yangu niiteketeze
Hivi ulimaliza chupa lote lile[emoji134][emoji38]Amarula kiglass tu akashindwa ikabidi niichanganye na kvant yangu niiteketeze