Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hee[emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa na stress vibaya ile siku hamkujua. Mapenzi yangeniua. Ulivoondoka nililamba Kvant nyingine 3. Hornet Mungu anamuona [emoji23][emoji23]
jamaa yangu comedy sanaHahaha nakumbuka mwamba alivyokuwa anaweweseka [emoji23][emoji23]
Naona hakuna pombe inayofanana na soda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walikukosea hapo unatakiwa umeze spirit moja haina chungu wa sukari kama maji tu [emoji28] uchanganyiwe na sprite
Eh akishaanza kucheka cheka hakikisheni mpo mita 2 pembeni yake 😅 atakichafuaHahaha asirudishe chenji
4 sjui. Na jana yale nlipiga 5. Na kesho yake nikaenda job ile jumapili. Ini langu linisamehe tu kwa weekend ile.Hee[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ulikuwa na stress!
Mimi niliona uko sawa tu,na ulivyo charming...ungenihadhithia nikakushauri[emoji38].
K-vant 3[emoji134][emoji134][emoji134]
Ila mtu poajamaa yangu comedy sana
Zipo nyingi mno meza desperados kwanzaNaona hakuna pombe inayofanana na soda
[emoji134][emoji134][emoji134]ile mbona siyo chungu!
tungekupa serengeti ungegoma kabisa
HahahahahahNmeishi saana kiwanda kilipo, watu wameumia saana kwa hzo mambo... Ila wastaarabu wanapeta... Ni nice drink
Serengeti lite angetema fundo la kwanza tu😅ile mbona siyo chungu!
tungekupa serengeti ungegoma kabisa
Hao wawili walinikaribisha na nilitoka mzima[emoji23]Analeta dharau tatizo [emoji28] mkaribisheni mjini vizuri[emoji28]
Mimi natamani ninywesijui hata tumpe nini ila mi sitamani anywe
Nimekwambiaje, piga desperado ukishindwa na hio nitakuwa na kikao na wewe! Ntakupa pombe na soda ili uinjoyHao wawili walinikaribisha na nilitoka mzima[emoji23]
[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ameshakuwa binti mkubwa mwache ainjoy maisha
Maharaka yako na woga wako tuu usitusingizieHao wawili walinikaribisha na nilitoka mzima[emoji23]
as you wish madamMimi natamani ninywe
Yani na kutamani kote kule ile rangi ya mtume (SAW) nilijiondokea zangu kinyonge. Mwanamke akikupatia mahala pake unaweza kupoteza hata nguvu za kiume. Na toka siku ile mpaka leo sijala pisi wala sina hamu nazo. Kuna mbuzi mmoja kanifactory reset mamaye hapa nimeanza kufanya settings upya [emoji23][emoji23]
Kikao kijacho ntawasimulia. Kesho nadhani. Location ile ile. Si unakumbuka ile nyama?
View attachment 1901357
[emoji23][emoji23][emoji23]Huoni anavotudharau? Lazma tumpelekee moto heshma irudi
[emoji38]Ukiishindwa hio inabidi tuonane nina dawa yako [emoji28]
Halafu ile siku nilikula ubwabwa.Hahaha asirudishe chenji