Products from Dodoma wine "DOMPO"

Products from Dodoma wine "DOMPO"

Nilikuwa na stress vibaya ile siku hamkujua. Mapenzi yangeniua. Ulivoondoka nililamba Kvant nyingine 3. Hornet Mungu anamuona [emoji23][emoji23]
Hee[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ulikuwa na stress!
Mimi niliona uko sawa tu,na ulivyo charming...ungenihadhithia nikakushauri[emoji38].


K-vant 3[emoji134][emoji134][emoji134]
 
Hee[emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe ulikuwa na stress!
Mimi niliona uko sawa tu,na ulivyo charming...ungenihadhithia nikakushauri[emoji38].


K-vant 3[emoji134][emoji134][emoji134]
4 sjui. Na jana yale nlipiga 5. Na kesho yake nikaenda job ile jumapili. Ini langu linisamehe tu kwa weekend ile.
 
Yani na kutamani kote kule ile rangi ya mtume (SAW) nilijiondokea zangu kinyonge. Mwanamke akikupatia mahala pake unaweza kupoteza hata nguvu za kiume. Na toka siku ile mpaka leo sijala pisi wala sina hamu nazo. Kuna mbuzi mmoja kanifactory reset mamaye hapa nimeanza kufanya settings upya [emoji23][emoji23]

Kikao kijacho ntawasimulia. Kesho nadhani. Location ile ile. Si unakumbuka ile nyama?
View attachment 1901357

Eti mbuzi[emoji38][emoji38][emoji38]

Nyama[emoji39]
Screenshot_20210821-133512.jpg
 
Back
Top Bottom