Products from Dodoma wine "DOMPO"

Products from Dodoma wine "DOMPO"

Usipende sana wine waachie watoto wa kike...
wine zinalegeza mwili na kurembua.....
be careful brother
Brother una safari ndefu sana ya kuujuwa mvinyo aina zake na faida zake kwa binadamu yeyote na faida za kipekee kwa mwanaume.

Utamaduni wa mvinyo mgeni miongoni mwa waafrika wengi hasa watanzania. Hivyo sikulaumu.

Mvinyo (wine) ni kinywaji cha heshima mezani pa wafalme tangu enzi za manabii na dola za kale kama za warumi hadi matajiri na watawala wa sasa. Maskini ilikuwa na bado ni anasa kwao kupata mvinyo.

Kocha Jose Mourinho, na Alex Ferguson walikuwa wakipata ubingwa wanaalika ndugu na rafiki na kunywa nao mvinyo(wine). Muujiza wa kwanza wa Yesu ni kugeuza maji kuwa mvinyo(wine).
10 Health Benefits of Red Wine
  • #1. Rich in antioxidants.
  • #2. Lowers bad cholesterol.
  • #3. Keeps heart healthy.
  • #4. Regulates blood sugar.
  • #5. Reduces the risk of cancer.
  • #6. Helps treat common cold.
  • #7. Keeps memory sharp.
  • #8. Keeps you slim.
 
Sasa mbona hatuzioni kwenye shelves za supermarkets nje ya nchi?

Kama Wine za SA zimejaa Ulaya huko mnashindwa nini

Sijui tunakwama wapi? Sidhani kama ziko chini ya viwango
Tunakosa fedha za kigeni kwa woga wetu tu
 
Sasa mbona hatuzioni kwenye shelves za supermarkets nje ya nchi?

Kama Wine za SA zimejaa Ulaya huko mnashindwa nini

Sijui tunakwama wapi? Sidhani kama ziko chini ya viwango
Tunakosa fedha za kigeni kwa woga wetu tu
Ni changamoto la soko letu...nadhan tunahitajika sana kutangaza na kubrand bidhaa zetu zijulikane kimataifa
 
Cha ajabu bei zao hulingana au hupishana kidogo na wine za AFRICA KUSINI.
Kale ka wimbo TANZANIA ya VIWANDA aliyekaanzisha ndio alipambana sana kuuwa viwanda.
 
Katika sehemu ambayo Tanzania wapo serious katika ubunifu ni sector hii ya vinywaji vikali hasa wines from Dodoma!

Aisee hapo wameweza kwa kweli products ziko on point sana! Zina hadhi ya kimataifa yani wonderful branding zinashawishi kununua sababu sion tofauti kabisa na wines za international brands! They look so tidy!

Wana deserve sifa kwa kweli japo sector nyengine ni janja janja ila kwa soko la wine wameweza washindwe wao tu ku penetrate soko la kimataifa!
 
Vipi umejiskiaje baada ya kulamba divai? Mbona hujaleta mrejesho?
Mrejesho nilileta.
ISO M.CodD mhadithie ilivyokuwa[emoji23].

Nilipiga pafu 2 tu,nilisikia uchungu mdomoni utadhani nimemeza muarobaini[emoji21]..
Sikuona kilichobadilika,akili yangu ilikuwa vilevile....
Kwahiyo niliconclude kuwa kumbe hakuna kitu kinachoitwa kulewa.
 
Mrejesho nilileta.
ISO M.CodD mhadithie ilivyokuwa[emoji23].

Nilipiga pafu 2 tu,nilisikia uchungu mdomoni utadhani nimemeza muarobaini[emoji21]..
Sikuona kilichobadilika,akili yangu ilikuwa vilevile....
Kwahiyo niliconclude kuwa kumbe hakuna kitu kinachoitwa kulewa.
Hahahahah naomba uje ofisi ya waziri mkuu huku tuongee vizuri (PM) office
 
Hahahahah naomba uje ofisi ya waziri mkuu huku tuongee vizuri (PM) office
[emoji38]
Nilijiuliza maswali mengi sana,watu wanakunywaje vitu vichungu namna ile!
Mm naendelea na fanta Orange zangu aisee..najishindilia na mikahawa kama ya Holy man.

Nitext tu mkuu,pm nimeifungua.
 
Back
Top Bottom