Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeniMtaandika yote kurasmisha kushindwa kwenu.
Ukishajigundua wewe ni mnyonge unatakiwa ubakie kwako uuze mahindi ya kuchoma yaliyopakwa limao,chumvi na pilipili.Wababe unawaacha wachanje mbuga.Simple tu!Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Me ni simba damu damu na jana lile shuti lilipopigwa nikaumia kwamba Yanga wanaenda kutusumbua mwezi mzima sasa....
Lakin baada VAR kukataa sio goli asee nikawaonea huruma watani wameonewa lile ni goal kabisaa hakuna ubishi
Kinachoangaliwa ni ushahidi kama ni goli, ushahidi umekosekana refa na var wafanye nini?Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni
Me ni simba damu damu na jana lile shuti lilipopigwa nikaumia kwamba Yanga wanaenda kutusumbua mwezi mzima sasa....
Lakin baada VAR kukataa sio goli asee nikawaonea huruma watani wameonewa lile ni goal kabisaa hakuna ubishi
Kwa hiyo mtaenda nusu fainali au?Tumepokea japo hatuwezi kusahau
Je ushahidi gani unataka tofauti na huu hapa chini?Kinachoangaliwa ni ushahidi kama ni goli, ushahidi umekosekana refa na var wafanye nini?
Utopolo aone sasa kama kuitwa mwakarobo ni furaha
TUMEONEWA FOOTBALL CLUBMtaandika yote kurasmisha kushindwa kwenu.
Niambie mzee wa "TULIWAHI FC"TUMEONEWA FOOTBALL CLUB
Mimi ndio nilikua muamuzi wa VAR nilikataa sababu sio goli!Tumepokea japo hatuwezi kusahau
Sasa kuna maana gani ya kushiriki kama bingwa kapangwaUkishajigundua wewe ni mnyonge unatakiwa ubakie kwako uuze mahindi ya kuchoma yaliyopakwa limao,chumvi na pilipili.Wababe unawaacha wachanje mbuga.Simple tu!
Ukwel ni kwamba Tumedhulumiwa FC walistahiliKinachoangaliwa ni ushahidi kama ni goli, ushahidi umekosekana refa na var wafanye nini?
Utopolo aone sasa kama kuitwa mwakarobo ni furaha