Prof. Anangisye: Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia Wanataaluma wasiofanya Utafiti

Prof. Anangisye: Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia Wanataaluma wasiofanya Utafiti

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. William Anangisye amesema Utafiti ni muhimu kwa maendeleo kwa Umma na ulimwengu wa ujumla akiongeza kupitia Tafiti hizo, Chuo vina wajibu wa kutatua changamoto zinazokabili jamii.

Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ambapo amesema Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia kuwa wa Wanataaluma wasiofanya Utafiti.

Amewanukuu Wanazuoni akisema, "Vyuo Vikuu bila shughuli za utafiti vina hatari ya kuwa na hadhi ya Shule za Sekondari"
 
Hahaha mkuu support haiwezi kuja bila tafiti kua relevant na jamii inayowazunguka. Tafiti zao nyingi ni za kwenye makaratasi tu.
Nenda kwenye vyuo kama SUA ambao tafiti zao moja kwa moja zinawahusu jamii ndipo utamwelewa pye Chang shen!

Utashangaa watu wanafanya tafiti kuhusu dawa za mifugo au mbegu, na sample zinazalishwa lakini bado serikali inashindwa ku-support tafiti na matokeo ya tafiti husika na kuishia kuagiza similar products kutoka nje!! Leo hii kila utakayemuuliza kuhusu tafiti za SUA atakuambia "Panya wa SUA" wakati Panya wa SUA is just tone la maji kwenye bahari ya tafiti wanazofanya pale!!

Na tafiti kuhusu Panya wa SUA ipo well known na kufahamika hadi ughaibuni kwa sababu ni project inayokuwa funded na foreign NGO, na wao NGO ndio wana-promote matokeo ya Panya wa SUA huku credit nyingi zikienda kwa hiyo NGO!
 
Nenda kwenye vyuo kama SUA ambao tafiti zao moja kwa moja zinawahusu jamii ndipo utamwelewa pye Chang shen!!!

Utashangaa watu wanafanya tafiti kuhusu dawa za mifugo au mbegu, na sample zinazalishwa lakini bado serikali inashindwa ku-support tafiti na matokeo ya tafiti husika na kuishia kuagiza similar products kutoka nje!! Leo hii kila utakayemuuliza kuhusu tafiti za SUA atakuambia "Panya wa SUA" wakati Panya wa SUA is just tone la maji kwenye bahari ya tafiti wanazofanya pale!!

Na tafiti kuhusu Panya wa SUA ipo well known na kufahamika hadi ughaibuni kwa sababu ni project inayokuwa funded na foreign NGO, na wao NGO ndio wana-promote matokeo ya Panya wa SUA huku credit nyingi zikienda kwa hiyo NGO,!
Kweli mkuu, kuna baadhi ya tafiti zina mashiko pale sua, lakini huwezi kusema eti tafiti ya panya ni relevant kwa jamii

Tanzania hatuitaji panya kutegua mabumu

Tanzania hatuitaji panya kugundua covid wa tb, wala hamna ha nchi yoyote inaowatumia hao viumbe kufanya hizo shughuli ni research moja outdated sana.
 
Kweli mkuu, kuna baadhi ya tafiti zina mashiko pale sua, lakini huwezi kusema eti tafiti ya panya ni relevant kwa jamii

Tanzania hatuitaji panya kutegua mabumu
Tanzania hatuitaji panya kugundua covid wa tb, wala hamna ha nchi yoyote inaowatumia hao viumbe kufanya hizo shughuli ni research moja outdated sana.
Amlipae Mpiga Zumari ndie achaguae wimbo, kwahiyo hata isipokuwa relevant kwa jamii (ipi?) basi ni relevant kwa anayelipia ile project ambae nimeshasema ni foreign NGO!

Kwamba Tanzania hatuhitaji panya wa kutegua mabomu labda ni kwa sababu tu unaona Tanzania hatuna mabomu! Hata hivyo, hapo unapaswa kukumbuka huko Cambodia na Angola mabomu hayakuota kama unavyoota uyoga au miembe!! Hapo kabla hata hayo mataifa hayakuwa na mabomu kama ilivyo Tanzania hivi sasa.

Hakuna nchi inayotumia kivipi?! Manake kwa suala la mabomu, mwaka jana duniani kulisambaa taarifa za wale panya walivyofanya remarkable job huko Cambodia hadi wakapewa tuzo.

Aidha, wakati wewe unaponda kwamba ni outdated research na haitumiki popote pale duniani, huko huko kwa hao unaowaamini wapo up to date wanasema:-
Rats sometimes get a bad reputation, but APOPO's HeroRATs are saving Tanzanian lives. With support from USAID's Global Development Lab, these animals are trained to use their excellent sense of smell to screen TB samples, helping medical practitioners identify patients who need treatment. The rats are so good at what they do, they can screen more samples in 20 minutes than a lab technician would be able to screen in several days using traditional methods.
Hapo juu ni USAID!!

Aidha, Wall Street Journal wanasema:-
Some, like Carolina, who is almost 2 years old, fight a different type of battle: sniffing out tuberculosis. By 2016, the rats had identified 10,000 TB-positive patients whose infections went undetected by local clinics.
Tafuta scientific na medical journals mbalimbali duniani uone wanavyo-appreciate uwezo wa hao panya unaosema ni outdated research!!

Na kwa taarifa yako, hata Tanzania wanatumika!!

Aidha, kama hilo la Corona watafankiwa, na hao panya wakawa wana speed ya kuwezesha kufanya mass testing kama inavyowezekana kwa TB basi hao Panya wataimbwa dunia mzima kwa sababu changamoto kubwa ya sasa, hususani Afrika, ni gharama za Covid-19 testing !!
 
Huu ndio ujinga wa kukopa elimu tafiti tafiti na kuandika makaratasi wanaita paper ambayo hayako practical. Wakafanye kazi kwenye jamii huko waje na ripoti za walivyotatua matatizo. Paper mtu anaandika 50 akistaafu hawezi hata tafuta hela ya kununua chupi!? Hopelessly.
 
Kweli kabisa, tafiti zilazimishwe na kwa wale wanaokula tunda kimasihara
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. William Anangisye amesema Utafiti ni muhimu kwa maendeleo kwa Umma na ulimwengu wa ujumla akiongeza kupitia Tafiti hizo, Chuo vina wajibu wa kutatua changamoto zinazokabili jamii

Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ambapo amesema Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia kuwa wa Wanataaluma wasiofanya Utafiti

Amewanukuu Wanazuoni akisema, "Vyuo Vikuu bila shughuli za utafiti vina hatari ya kuwa na hadhi ya Shule za Sekondari"
Pia serikali iwe tayari kuweka kwenye tafiti. Unpozungumzia research is expensive kuanzia equipment of research. Mfano unataka kuweka kwenye research ya Corona ilhali hauna capital ya kununua equipment na chemical ni bure kabisa. Serikali iwekeze kwenye research Kwa kuweka capital
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. William Anangisye amesema Utafiti ni muhimu kwa maendeleo kwa Umma na ulimwengu wa ujumla akiongeza kupitia Tafiti hizo, Chuo vina wajibu wa kutatua changamoto zinazokabili jamii

Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ambapo amesema Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia kuwa wa Wanataaluma wasiofanya Utafiti

Amewanukuu Wanazuoni akisema, "Vyuo Vikuu bila shughuli za utafiti vina hatari ya kuwa na hadhi ya Shule za Sekondari"
Hao waongoza utafiti wote wamekuwa wanasiasa.
 
Amlipae Mpiga Zumari ndie achaguae wimbo, kwahiyo hata isipokuwa relevant kwa jamii (ipi?) basi ni relevant kwa anayelipia ile project ambae nimeshasema ni foreign NGO!

Kwamba Tanzania hatuhitaji panya wa kutegua mabomu labda ni kwa sababu tu unaona Tanzania hatuna mabomu! Hata hivyo, hapo unapaswa kukumbuka huko Cambodia na Angola mabomu hayakuota kama unavyoota uyoga au miembe!! Hapo kabla hata hayo mataifa hayakuwa na mabomu kama ilivyo Tanzania hivi sasa!!!

Hakuna nchi inayotumia kivipi?! Manake kwa suala la mabomu, mwaka jana duniani kulisambaa taarifa za wale panya walivyofanya remarkable job huko Cambodia hadi wakapewa tuzo!!!

Aidha, wakati wewe unaponda kwamba ni outdated research na haitumiki popote pale duniani, huko huko kwa hao unaowaamini wapo up to date wanasema:-

Hapo juu ni USAID!!

Aidha, Wall Street Journal wanasema:-

Tafuta scientific na medical journals mbalimbali duniani uone wanavyo-appreciate uwezo wa hao panya unaosema ni outdated research!!

Na kwa taarifa yako, hata Tanzania wanatumika!!

Aidha, kama hilo la Corona watafankiwa, na hao panya wakawa wana speed ya kuwezesha kufanya mass testing kama inavyowezekana kwa TB basi hao Panya wataimbwa dunia mzima kwa sababu changamoto kubwa ya sasa, hususani Afrika Covid-19 testing kwa sababu, pamoja na mambo mengine, pia ni gharama!!

Well narrated.
Tatizo tunadharau vya kwetu na matokeo yake tunakuwa watumwa. Mf tuu, Tume ya Covid iloundwa imekopi na kupesti maripoti ya wazungu then wakatiririka mapendekezo yao, sijui hata tafiti ilifanyika saa ngapi??
Tutamkumbuka mwendazake kwa kweli.
 
Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ambapo amesema Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia kuwa wa Wanataaluma wasiofanya Utafiti

Amewanukuu Wanazuoni akisema, "Vyuo Vikuu bila shughuli za utafiti vina hatari ya kuwa na hadhi ya Shule za Sekondari"
Kufanya tafiti ni jambo moja na tafiti kuwinufaisha jamii ni jambo jingine, je ni tafiti ngapi yeye mwenyewe amezimefanya na kuinufaisha jamii yetu?
 
Back
Top Bottom