beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. William Anangisye amesema Utafiti ni muhimu kwa maendeleo kwa Umma na ulimwengu wa ujumla akiongeza kupitia Tafiti hizo, Chuo vina wajibu wa kutatua changamoto zinazokabili jamii.
Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ambapo amesema Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia kuwa wa Wanataaluma wasiofanya Utafiti.
Amewanukuu Wanazuoni akisema, "Vyuo Vikuu bila shughuli za utafiti vina hatari ya kuwa na hadhi ya Shule za Sekondari"
Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ambapo amesema Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia kuwa wa Wanataaluma wasiofanya Utafiti.
Amewanukuu Wanazuoni akisema, "Vyuo Vikuu bila shughuli za utafiti vina hatari ya kuwa na hadhi ya Shule za Sekondari"