DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,610
- 2,874
Ile fukiza sijui hata walifanya utafiti kama inafanya kaziFukiza ni ulozi tu hamna sayansi mule
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile fukiza sijui hata walifanya utafiti kama inafanya kaziFukiza ni ulozi tu hamna sayansi mule
Maprofesa wetu Kuna sehemu huwa wanazingua Sana. Pale Mlimani ukienda chooni tu utaelewa ninachozungumzaIle fukiza sijui hata walifanya utafiti kama inafanya kazi
SUA wako bize na pacha wa kupima covid mkuu [emoji23] [emoji23]COVID vaccine wanagundua lini? Au bado wapo bize na kutengeneza mashine za kufyatulia tofali?
Yaani tafiti isaidie kuondoa tatizo la jamii halafu ikose kampuni za kuichukua kweli?Tatizo support
Baada ya tafiti
Hapo sasa mkuu...Yaani tafiti isaidie kuondoa tatizo la jamii halafu ikose kampuni za kuichukua kweli?
Mwenzetu upo us?Yaani tafiti isaidie kuondoa tatizo la jamii halafu ikose kampuni za kuichukua kweli?
NiiceMakamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) Prof. William Anangisye amesema Utafiti ni muhimu kwa maendeleo kwa Umma na ulimwengu wa ujumla akiongeza kupitia Tafiti hizo, Chuo vina wajibu wa kutatua changamoto zinazokabili jamii.
Ameeleza hayo Mei 24, 2021 katika Maadhimisho ya Sita ya Wiki ya Utafiti na Ubunifu ambapo amesema Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia kuwa wa Wanataaluma wasiofanya Utafiti.
Amewanukuu Wanazuoni akisema, "Vyuo Vikuu bila shughuli za utafiti vina hatari ya kuwa na hadhi ya Shule za Sekondari"