Prof. Anangisye: Chuo Kikuu makini hakiwezi kuvumilia Wanataaluma wasiofanya Utafiti

Unafanyaje utafiti bila pesa, unakuta mtu kama huyu anakomaa na wanataaluma kwamba hawafanyi tafiti huku yeye na serikali yake hawajawahi kutoa hata senti tano kugharimia tafiti, yaani ni kuongea kujifurahisha tu......nafikiri tafiti za nchi hii zinafanyika pale mjengoni maana ndo pesa zinapomwagwa, chini ya watafiti wakuu msukuma na kibajaji...
 
Waanze na utafiti kwa nn vyoo vyao pale SE's karibu na Nkrumah vinaziba kila Mara.
 
Niice
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…