hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
Tangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Miez sita tu, tumepigwa Bilion Saba kuandaa movie hahaha piga Kwa miaka 10 itakuwaje