Prof. Assad mwaka wa kwanza wa Awamu ya Tano alisema trilioni 1.5 ilichukuliwa, fikiria ndani ya miaka 6

Prof. Assad mwaka wa kwanza wa Awamu ya Tano alisema trilioni 1.5 ilichukuliwa, fikiria ndani ya miaka 6

Hakuna mtu anayekupangia kitu cha kuandika/kueleza humu. Wewe jikite kwenye kueleza mambo ya kukusaidia au kusaidia wengine na mimi ntajikita kwenye jambo ninalolitaka mimi. Buku saba siyo mimi bali ni sukuma gang ndiyo wanalipwa hivyo. Mimi siandiki kutegemea malipo yoyote kama wewe.
Hahaaa umecatch mafeelings!
Sasa umeandika nini!
Kila mtu sio msukuma wewe.
Si wewe umeanza kuniquote na matusi juu ati wajinga.
Jitafakari,sio lazima niamini unachoamini.
 
Hahaaa umecatch mafeelings!
Sasa umeandika nini!
Kila mtu sio msukuma wewe.
Si wewe umeanza kuniquote na matusi juu ati wajinga.
Jitafakari,sio lazima niamini unachoamini.
Mkuu sukuma gang haina uhusiano na kabila la Wasukuma. Ni kakikundi flani kalitengenezwa na Jiwe kipindi cha utawala wake. Ndiyo maana humo kuna mtu kama Bush-ri, Bashite, Ndungayeye na wengine wengi tu bila kuwasahau wanyonge wote. Kwakuwa na wewe ni mnyonge ndiyo maana nikakuita sukuma gang lakini siyo kwa maana ya kwamba wewe kabila lako ni msukuma, though kuna wasukuma kama kabila wako ndani ya Sukuma gang.
 
Hahahaa basi sawa.
Mkuu sukuma gang haina uhusiano na kabila la Wasukuma. Ni kakikundi flani kalitengenezwa na Jiwe kipindi cha utawala wake. Ndiyo maana humo kuna mtu kama Bush-ri, Bashite, Ndungayeye na wengine wengi tu bila kuwasahau wanyonge wote. Kwakuwa na wewe ni mnyonge ndiyo maana nikakuita sukuma gang lakini siyo kwa maana ya kwamba wewe kabila lako ni msukuma, though kuna wasukuma kama kabila wako ndani ya Sukuma gang.
 
Yalisema na mkaguzi mkuu wa serikali. Jamaa alikuwa mwizi, muongo na muuaji. Ndiyo maana hata CAG mpya aliyemtua yeye mwenyewe kabainisha hili pia
Hajabainisha ila analazimishwa kuandika uongo tupu.Ndio maana anaandika uongo eti Stand ya JPM inasababisha foleni.Huo ni uongo tupu.Kuna wahuni wanamwelekeza cha kuandika wanachotaka.
 
Hajabainisha ila analazimishwa kuandika uongo tupu.Ndio maana anaandika uongo eti Stand ya JPM inasababisha foleni.Huo ni uongo tupu.Kuna wahuni wanamwelekeza cha kuandika wanachotaka.
Unaweza ukaweka hapo hayo unayodai ni uongo kwenye report ya CAG ili wote tuone?
 
Tangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Duh!! Umesilimu dini ya CCM au umelogwa na Chadema?
 
Huu muda wa kupigana na Mizimu tungeutumia pia kupambania Current Issues / Affairs..., Je kwa sasa hatupigwi, mambo yanayofanyika yana tija..., Naona tuna-concentrate in the Past tunasahau present...

Yaani ni kama tunatembea kwa kuagalia nyuma kwenye njia yenye mitaro na miiba..., mwisho wa siku tutaumia
 
Miradi imeonekana/au nayo alipiga?
Chato Internation Airport inaonekana sana, na soon tutaanza kuitumia kuanikia mazao msimu wa mavuno, dagaa na samaki pindi tukiibuka ziwani kuzivua.

Hatuna cha kumlipa, analipwa na Muumba wake huko, katuachia amana hii yenye faida hadi karne na karne
 
Tangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Nyingi sana
 
Chato Internation Airport inaonekana sana, na soon tutaanza kuitumia kuanikia mazao msimu wa mavuno, dagaa na samaki pindi tukiibuka ziwani kuzivua.

Hatuna cha kumlipa, analipwa na Muumba wake huko, katuachia amana hii yenye faida hadi karne na karne
Unaonyesha ni jinsi gn ulivyo ibilisi mwana wa shetani,nn kinachokufurahishe?
 
Tangu mwaka wa kwanza trilioni 1.5 ilipigwa nzima nzima, hii alisema Assad na kuanzia hapo akawa hasimu ya JPM, miaka 6 jamaa katuibia ngapi na ziko wapi?
Ujinga ni mzigo.
 
Back
Top Bottom