Prof Assad: Utawala wa Magufuli haukuwa na Nia njema na taifa letu

Prof Assad: Utawala wa Magufuli haukuwa na Nia njema na taifa letu

Huenda huyu Prof. Assad alifanyiwa kitu kingine kikubwa sana zaidi ya kutumbuliwa maana sio kwa hizi statements anazozitoa. Ana kinyongo cha kutisha!
Magofool alikuwa ni shetani tena muuaji.

Lwajabe walimteka wakamuachia akawaambia kwanini mmemuacha nendeni mkammalize.

Halafu alikuwa haachi kumtaja mungu wake mdomoni.
 
NASHAURI WAACHANE NA KUSAIGNI MKTABA WA UJENZI WA BOMBA LA MAFUTA KUTOKA UGANDA KWANI MIRADI YOTE YA MAGUFURI HAIKUWA NA NIA NJEMA KWA NCHI
Mkataba umepitiwa upya baada ya Magofool kufa.

Unajua kwanini mchakato ulikwama?
 
Ana hoja ya msingi sana hata kama huikubali

Amejenga hoja kwa facts sio hisia

Yeye na wenzake watatu 2014 kabla hajawa CAG alitengeneza Business Plan ya ATC wakagundua kwa mazingira yetu haiwezi kuwa viable project wakashauri Serikal isilifufue shirika …

kumbuka wakati huo Mihemko ya Wanasiasa wa Upinzan na wana harakati ilikuwa tufufue shirika letu la ndege lakin wao wali base kwny facts wakashauri kitaalam tuachane nalo

JPM alipoingia akaanzisha Mchakato wa kufufua shirika kwa fedha nyingi tena cash payment

Akaomba feasibility study yake aisome ashauri akanyimwa

Akanyimwa haki ya kukagua nyaraka muhimu

Baadae tunajulishwa Shirika limetengeneza big loss japo lilipewa mtaji wa bure… ungekuwa Wewe ungesema mfanya maamuzi haya ana nia njema kwa Taifa?
[/QUOTE



Kwahiyo hakuwa na nia njema na Taifa kwa ku base kwenye ishu hiyo hiyo moja tu ya Shirika la ndege?
 
....wote cowards hawa, hawakuweza sema haya enzi za jpm akiwa hai.
 
Kutokana na Magufuli kututoka ghafla na Utawala kuingia mwingine yaani Raisi Samia Suluhu Hassan kwa nini sasa Nyaraka za Sgr Stigllers gorge zisiwekwe hadharani ili Wananchi tujiridhishe
 
Ili Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!

Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.

Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.

Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.

Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.

Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.



Nawasilisha
hupendi kufikiria
 
Huenda huyu Prof. Assad alifanyiwa kitu kingine kikubwa sana zaidi ya kutumbuliwa maana sio kwa hizi statements anazozitoa. Ana kinyongo cha kutisha!
kumstaafisha kabla ya muda wake kwisha ni suala dogo!? Ulitaka amfunge au amtumie wasiojulikana ndio awe na kinyongo!?
 
Acha wazimu kijana. Mungu awalaani wote mnaotetea hili taifa kuangamizwa kwa utawala wa Mzee Wenu aliekwenda kuzificha nyaraka za MANUNUZI YA NDEGE/SGR/STIGLER'S kwake chato chini ya uvungu wa kitanda chake ili zisikaguliwe, mlaaniwe nyinyi pamoja na vizazi vyenu.

(1) Tundu Lissu aliongea ukweli kipindi cha huyo kichaa, aliishia kupigwa risasi 32.

(2) Ben Saanane aliongea ukweli, aliishia kupotezwa mpaka leo hajulikani alipo.

(3) Jakaya Kikwete aliongea ukweli kuhusu kuji mwambafai, aliishiwa kuambiwa na Magufuli kwamba "Anawashwa Washwa".

(4) Huyu Prof Assad aliongea ukweli kwamba Trillioni 1.5 hazijulikani zilivyotumika na akaishia kutukanwa, kudhalilishwa na kufukuzwa kazi hata kabla ya muda wake, na angeongea zaidi maswala haya ya kunyimwa nyaraka za SGR/AIR TANZANIA/STIEGLER'S pengine mngempiga mabomu ya kivita kabisa badala ya Risasi.

Kipindi cha utawala wa Magufuli, mtu aliesoma (PhD au Dr) akiongea ukweli alikua haeleweki na aliitwa msaliti, ila mnafiki akiongea uongo ndio anaeleweka na kusifiwa. Ilifikia hatua mpaka ma Profesa wakubwa walilijua hili wakaamua sasa na wao kuwa wanafiki wa kiwango cha 4G, ili wapate kula.

● CAG Kichere ameteuliwa na huyo huyo Magufuli, ila mbona amekua mkweli na ameweka wazi ufisadi wote hadharani???

● Speaker Ndugai ameteuliwa na huyo huyo Magufuli, na alikua akisifiwa na Magufuli, na alishiriki kumdhalilisha na kumtukana CAG Prof Assad, mbona ameanza kupata akili na amemgeuka Magufuli mbele ya bunge???

● Mama Samia alichaguliwa na huyo huyo Magufuli, ila mbona anaongoza nchi kwa uwazi, ukweli na uhuru bila kuwa mnafiki na muongo???

UTAWALA WA MAGUFULI HAUKUA NA NIA NJEMA KWA TAIFA LETU, ALIKUA MBINAFSI SANA, ALITAKA KUANZISHA MAMBO MENGI SANA YASIOWEZEKANA HALAFU RAIS AMBAE ANGEFUATIA YANGEMHARIBIKIA MIKONONI MWAKE. . . ILI YEYE MAGUFULI ANGESIFIWA BAADA YA KUONDIKA KWAMBA ALIANZISHA JAMBO FULANI NA FULANI NA RAIS AMBAE ANGEMFUATIA ANGETUKANWA KUSHINDWA KUYAENDELEZA.

#Wamejua kwamba zama za "UONGO, UONEVU NA UFISADI" umekwisha sasa, zama hizi ni za "UKWELI NA UWAZI" ukiwa muongo unaumbuliwa mchana kweupe na unapigwa chini.[/B]
Kwamba wewe ulichagua kusikia na sio kuona?

Na wewe huoni mradi hata mmoja wenye manufaa na tija kea taifa?

Mfano; Huoni hospitals ?, huoni Hata fly over Dar zilivyoopunguza foleni? Huoni Hata kuongezeka kwa mapato? Huoni Hata unjenzi na ukarabati wa mashule? Huoni Hata kuongezeka kwa Mikopo ya wanafunzi? Huoni Hata watoto kusoma bure? Huoni Hata usalama wa nchi , yaani watu wanasafiri masaa 24 bila hofu? Huoni ufanisi Bandari kupanuliwa na kuongeza kiasi Cha mizigo? Huoni Umeme kila kona ya nchi? Huoni Maji? Huoni ? Huoni?

Umechagua kusimuliwa na wabaya wa hayati JPM? Kazi ni kwako

Vuta subira utakuja kusema badae.
 
Huyo proff anaj.amba jamba tu...
ilitakiwa aongee wakati Magu yupo.....ajibiwe
aache unafiki
Unajua madhara walioyapata walioongea wakati MEKO yupo hai? Tafuta Ripoti ya Adad(Uchunguzi wa wasiojulikana) iliyotakiwa kusomwa 2019 MEKO akaiondoa isisomwe Bungeni.

DRCC.jpg
 
Ndio maana akafukuzwa Kazi huyu mzee hakua mtu mzuri kama watu wanavyomsifia.
 
Yeye katoa maoni yake kwa upande wake, wewe toa maoni kwa upande wako, ndio Uhuru wa maoni, kila mtu ajisemee
 
Huyo proff anaj.amba jamba tu...
ilitakiwa aongee wakati Magu yupo.....ajibiwe
aache unafiki

Wewe naona ulikua unapakia tumbo maharage wakati anasema ofisi ya Magu imekula 1.5 tirioni Magu akahangaika huku na huku kutafuta mashahidi ktk vikao wewe ulikua wapi ? hicho ni chuma cha kimataifa dogo wewe sikiliza mayayi anayotema utafifikiri sio mzt.
 
Back
Top Bottom