BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,606
- 5,922
Wewe ungeweza kuongea?Huyo proff anaj.amba jamba tu...
ilitakiwa aongee wakati Magu yupo.....ajibiwe
aache unafiki
Was critical in similar intensity even brfore the death of JohnHuenda huyu Prof. Assad alifanyiwa kitu kingine kikubwa sana zaidi ya kutumbuliwa maana sio kwa hizi statements anazozitoa. Ana kinyongo cha kutisha!
Kiwango changu cha elimu hukijui
Sijui kuhusu hayo mengine ila SAMIA, NDUGAI, MAJALIWA, TULIA hawakuchaguliwa na Magufuli....aliwahi kusema Makamu wake angekuwa Mwinyi.Acha wazimu kijana. Mungu awalaani wote mnaotetea hili taifa kuangamizwa kwa utawala wa Mzee Wenu aliekwenda kuzificha nyaraka za MANUNUZI YA NDEGE/SGR/STIGLER'S kwake chato chini ya uvungu wa kitanda chake ili zisikaguliwe, mlaaniwe nyinyi pamoja na vizazi vyenu.
(1) Tundu Lissu aliongea ukweli kipindi cha huyo kichaa, aliishia kupigwa risasi 32.
(2) Ben Saanane aliongea ukweli, aliishia kupotezwa mpaka leo hajulikani alipo.
(3) Jakaya Kikwete aliongea ukweli kuhusu kuji mwambafai, aliishiwa kuambiwa na Magufuli kwamba "Anawashwa Washwa".
(4) Huyu Prof Assad aliongea ukweli kwamba Trillioni 1.5 hazijulikani zilivyotumika na akaishia kutukanwa, kudhalilishwa na kufukuzwa kazi hata kabla ya muda wake, na angeongea zaidi maswala haya ya kunyimwa nyaraka za SGR/AIR TANZANIA/STIEGLER'S pengine mngempiga mabomu ya kivita kabisa badala ya Risasi.
Kipindi cha utawala wa Magufuli, mtu aliesoma (PhD au Dr) akiongea ukweli alikua haeleweki na aliitwa msaliti, ila mnafiki akiongea uongo ndio anaeleweka na kusifiwa. Ilifikia hatua mpaka ma Profesa wakubwa walilijua hili wakaamua sasa na wao kuwa wanafiki wa kiwango cha 4G, ili wapate kula.
● CAG Kichere ameteuliwa na huyo huyo Magufuli, ila mbona amekua mkweli na ameweka wazi ufisadi wote hadharani???
● Speaker Ndugai ameteuliwa na huyo huyo Magufuli, na alikua akisifiwa na Magufuli, na alishiriki kumdhalilisha na kumtukana CAG Prof Assad, mbona ameanza kupata akili na amemgeuka Magufuli mbele ya bunge???
● Mama Samia alichaguliwa na huyo huyo Magufuli, ila mbona anaongoza nchi kwa uwazi, ukweli na uhuru bila kuwa mnafiki na muongo???
UTAWALA WA MAGUFULI HAUKUA NA NIA NJEMA KWA TAIFA LETU, ALIKUA MBINAFSI SANA, ALITAKA KUANZISHA MAMBO MENGI SANA YASIOWEZEKANA HALAFU RAIS AMBAE ANGEFUATIA YANGEMHARIBIKIA MIKONONI MWAKE. . . ILI YEYE MAGUFULI ANGESIFIWA BAADA YA KUONDIKA KWAMBA ALIANZISHA JAMBO FULANI NA FULANI NA RAIS AMBAE ANGEMFUATIA ANGETUKANWA KUSHINDWA KUYAENDELEZA.
#Wamejua kwamba zama za "UONGO, UONEVU NA UFISADI" umekwisha sasa, zama hizi ni za "UKWELI NA UWAZI" ukiwa muongo unaumbuliwa mchana kweupe na unapigwa chini.[/B]
Hujui kitu my fake name reflect my comments..Ni rahisi sana kuelewa kiwangu cha elimu ya mtu pindi anapofungua mdomo kuchangia mambo muhimu hoja zake zinatafsiri elimu yake.
Ungekaakimya kisingejulikana kiwango chako cha elimu
Hujui kitu my fake name reflect my comments..
pole sana kwa kutapeliwa.....
keep your struggles elsewhere...
Yeye katoa maoni yake kwa upande wake, wewe toa maoni kwa upande wako, ndio Uhuru wa maoni, kila mtu ajisemee
umeandika kwa hisia sanaIli Prof Assad na wengine wote wanaotaka kuichafua oil chafu wanatakiwa wafanye kinyume na Magufuli kama
"NAAAM....!
Miradi yake mingine inaleta foleni na mingine hasara? Ni rahisi tu, kwa nini tuendelee na Ma-foleni na Ma-hasara? ...Nashauri Vunjeni Madaraja na Flyovers zote, Ng'oeni reli zote especilly SGR, uzeni Ndege zote na vivuko vyote nchini, Uza Meli zote Mpya zilizozinduliwa, kule Ziwa nyasa, simamisheni Ujenzi wa Bwawa la umeme, Gaweni Migodi yote, Binafsisheni Milima, Maziwa na Mbuga.
Bomoa Bandari zote zilizoboreshwa ikiwemo Mtwara, Tanga na Dar, Jengeni moja ya Wachina kwa mkataba wa miaka 100...rudisheni Ada shuleni tukuze uchumi, Wapeni Matajiri Exemptions za kodi, Ruhusuni Makinikia kwenda nje, Vunjeni Masoko mapya ya Madini mikoani, ...Charaza Bakora Machinga mjini, Mwaga wali wa Mama Ntilie.
Vunja vyama vya wakulima na utaratibu wa stakabadhi ghalani, Ruhusuni Uhuru wa Mashoga, Mateja kwa wingi mtaani, madawa ya kulevya n.k....pia Msisahau kuifunga ile Mahakama ya Mafisadi,....kwa uchache tu Hakika hapo sasa pengine Tanzania itakuwa kama ULAYA, Tanzania ya Asali na Maziwa!.
Vunjeni makao makuu Dodoma mrudishe serikali Dar.
Hapo sasa mtakuwa mmemkomoa Magufuli na watoto wake watashinda njaa ili anyooke kabisa.
Nawasilisha
Kwann umenijibu Hivyo Mkuu!?hupendi kufikiria
Alishawahi hojiwa na Magufuli, mara baada ya kutoa report yake na kuonyesha upotevu wa fedha, kama kuna huo upotevu, aliikana report yake huyu. Mpaka Zitto alisimama kidete kuwa Yeye anaweza kuonyesha kwenye report ya CAG. Leo anabwabwaja tu, kisa Magu hayupo. Mnafiki tu huyu. Angesimamia msimamo wake kipindi kile tungemuelewa leo ni mnafiki kama wanafiki wengine tu.Ana hoja ya msingi sana hata kama huikubali
Amejenga hoja kwa facts sio hisia
Yeye na wenzake watatu 2014 kabla hajawa CAG alitengeneza Business Plan ya ATC wakagundua kwa mazingira yetu haiwezi kuwa viable project wakashauri Serikal isilifufue shirika …
kumbuka wakati huo Mihemko ya Wanasiasa wa Upinzan na wana harakati ilikuwa tufufue shirika letu la ndege lakin wao wali base kwny facts wakashauri kitaalam tuachane nalo
JPM alipoingia akaanzisha Mchakato wa kufufua shirika kwa fedha nyingi tena cash payment
Akaomba feasibility study yake aisome ashauri akanyimwa
Akanyimwa haki ya kukagua nyaraka muhimu
Baadae tunajulishwa Shirika limetengeneza big loss japo lilipewa mtaji wa bure… ungekuwa Wewe ungesema mfanya maamuzi haya ana nia njema kwa Taifa?
Unajua shida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ngege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliuwe shirika la ndege ili kukwepa madeni mburura kabisa huyu, dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi popoma kabisa huyu huoni ndani ya 5 tumeingua uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kumbwa huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao! Ni upumbafu wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!Kama alivyo nukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari.
View attachment 1749044
View attachment 1749045
Unajua dhida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ngege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliuwe shirika la ndege ili kukwepa madeni mburura kabisa huyu, dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi popoma kabisa huyu huoni ndani ya 5 tymeingua uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kumbwa huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao! Ni upumbafu wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!Kama alivyo nukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari.
View attachment 1749044
View attachment 1749045
Zamani hyo elimu ilikua nzuri? Au ni chuki tuHuna hata mtoto, ungekuwa naye basi kagua madaftari yake uone hiyo elimu bure mwanao anayoipata ndipo ulie na kusaga meno.
Wacha ateme nyongo,Huenda huyu Prof. Assad alifanyiwa kitu kingine kikubwa sana zaidi ya kutumbuliwa maana sio kwa hizi statements anazozitoa. Ana kinyongo cha kutisha!
Ur still a learner. HujitambuiUnajua dhida inaanza pale mtu akifanya kiutafiti chake na kuchapisha na kuwa profesa kwa kaeneo hako alikotafitu sasa anageuka ghafla na kuwa professor wa yote! Huyu Assad ana njaa sana na uteuzi na kwa kweli sasa hivi anajidhihirisha wazi wazi kuwa anafanya kazi kwa niaba ya wale waliozoea kuiibia Tz! Eti hakuna mtu anayenunua ngege kwa cash, Tz tumeweza mbona, eti tuliuwe shirika la ndege ili kukwepa madeni mburura kabisa huyu, dawa ya deni ni kulipa siyo kulikimbia kwa kufeki kifo! Eti Magu hakuwa na nia njema na nchi popoma kabisa huyu huoni ndani ya 5 tymeingua uchumi wa kati na bado lengo la Magu lilikuwa ni kuwa donor country! Haya ni malengo ambayo ni wazi kuwa makubwa sana kiasi kumbwa huyu 'profesa' hata akivaa miwani yake hawezi kuona kwa sbb ya ufinyu wa muono wake! Eti mtu anaharibu uanze kumbembeleza kwa kuwa ana haki ujinga kabisa kwani alipokuwa anaharibu hujui kuna haki ngapi za watu wasio na hatia walikosa haki zao! Ni upumbafu wa mwisho kufikiria kuwa kwa kutoweza kuelewa maono makubwa ya Magu kuwa ni JPM hakuwa na nia nzuri na Tz!
Kwanza ni aibu kwa mty anayejiita profesa kupambana ili apate uteuzi kwa kuwa yy mwenyewe hana upeo wa kubuni na kutekereza mradi ili ajiajiri na kuajiri wengine! Badala yake kwa ufinyu wa ajili yake Assad eti anataka bagamoyo ijengwe bandari kwa fedha za wachina na tukubaliane na matakwa yao kwa kuwa disi hatuwezi kujenga wenyewe! Kwa mawazo na akili mgando namna hii ya kutaka kufanyiwa tu na watu ni aibu isiyokifani! Tz siyo maskini na Magu amedhihirisha hayo kwa vitendo! Sasa lizee lizima linalikosa hata hekima tu ya kizee linakuja na mawazo ya kidhaifu eti tujengewe...hivi huyo Assad haoni yaliyowakuta Zambia huyu? Kweli huyu ni finyu sana, na kwa kweli haitakii mema Tz hata kidogo na kwa vyovyote vile kuna kila kiashiria cha kuwa na maslahi na hao anaowapigia chapuo kuwauzia bagamoyo! Kama hatuna uwezo wa kujenga hiyo bandari disi wenyewe ni bora tusijenge kwa sasa mpaka tutakapo kuwa na uwezo! Hatupo tayari kuiuza sehemu yoyote ya Tz kwa nchi za kigeni! Shame on you Assad!
Nimegundua unamtazamo finyu na ulioganda na hivyo hutufai hata haustahili kuwa balozi wa nyumba 10, ww ni mzee wa kijiwe cha mgahawa tu ambapo upuuzi wote huongelewa hapo!
Na washukuru tumemwambia atulie kidogo asitangaze hasara nyingine.Sasa hivi siwatukani MATAGA...CIG anawatosha.