Kwa watu msiomfahamu Mwalimu Lwaitama ndio mtaona hilo.
Umenikumbusha Pole Pole na KabudiAkipewa tonge atayakana hayo aliyosema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa watu msiomfahamu Mwalimu Lwaitama ndio mtaona hilo.
Umenikumbusha Pole Pole na KabudiAkipewa tonge atayakana hayo aliyosema
Usalama wa Taifa umemwachia Musiba kazi ya Kuchambana na wajaNmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?
Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?
Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?
Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Mzee wa povu buana! Yuko sahihiNmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?
Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?
Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?
Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Dr wa kweli hawezi kutafuta Kiki, kiki zinatafutwa na maDr wabangua korosho.Anatafuta kiki
Kafie mbali huko shetani weNmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?
Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?
Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?
Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Segito wewe huongwi hapo kwa Semtema?!Yaani CCM hamna wema, Leo mnamsimanga mtu mliedai kauona mwanga!!?? Na kwa maneno yako haya kumbe ni kwelil kuwa huwa mnahonga watu ili wawaunge mkono!
Wanaccm wengi wanapenda watu wanaolamba miguu viongozi kama anavyofanya musiba. ukisema ukweli unaitwa sio mzalendo na unamkwamisha jiweWatanzania nani amewatia upumbavu. Mtu kama huyu badala ya kumtia moyo unakuja hapa kumkatisha tamaa. Wewe na uzi wako wote waPumbavuuu
Daima matendo ya mnafiki yako tofauti na maneno yake.Yaani CCM hamna wema, Leo mnamsimanga mtu mliedai kauona mwanga!!?? Na kwa maneno yako haya kumbe ni kwelil kuwa huwa mnahonga watu ili wawaunge mkono!
Dr wa kweli hawezi kutafuta Kiki, kiki zinatafutwa na maDr wabangua korosho.
Kwahiyo unataka wamkamate akawasaidie kazi! Okay, mhusika amekusikia nawe utapata udc.Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?
Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?
Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?
Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Kwahiyo unataka wamkamate akawasaidie kazi! Okay, mhusika amekusikia nawe utapata udc.
Watanzania nani amewatia upumbavu. Mtu kama huyu badala ya kumtia moyo unakuja hapa kumkatisha tamaa. Wewe na uzi wako wote waPumbavuuu
Ni BUNSEN BURNER kale kakibatali ka gesi maabara.Huu unafiki ndo unaotugharimu Wabongo na Wadanganyika. Mtu anaongea HOJA YA MSINGI wewe unasema anatafuta kiki...Nonsense!
Dr. Lwaitama yuko vizuri sana UPSTAIRS tena sana kuliko hawa Ma-profedha.na Madaktari Kanjanja kama kina Ka-BUNDI na BENSON BURNER n.k. Anachoongea Lwaitama hapa ni UKWELI ambao hata MAGUFULI anaujua vizuri tu sema tu ni HICHO KIBURI, UDIKTETA na JEURI UZIMA. Lakini mwisho wa siku KATIBA MPYA NI LAZIMA.
Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?
Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?
Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?
Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
ndugu, kusema ukweli ni ukakasi? ukakasi kwa nani.....kwako?Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?
Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?
Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?
Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Nashaangaa kwa sasbabu aliyosema ni maneno ya kawaida na ya ukeli wa kichambuziIli iweje? Kutafuta kiki ni kusema ama kufanya kitu kiuongo uongo ama kilaghai ili upate sifa. Kwenye maelezo ya Lwaitama kipi cha uongo?
Anatafuta kiki
Kwa watu msiomfahamu Mwalimu Lwaitama ndio mtaona hilo.