Tetesi: Prof Azaveli Lwaitama unahatarisha sana Mustakabali wako, nini shida mzee?

Tetesi: Prof Azaveli Lwaitama unahatarisha sana Mustakabali wako, nini shida mzee?

Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?

Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?

Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?

Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Usalama wa Taifa umemwachia Musiba kazi ya Kuchambana na waja
 
Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?

Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?

Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?

Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Mzee wa povu buana! Yuko sahihi
 
Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?

Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?

Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?

Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Kafie mbali huko shetani we
 
Watanzania nani amewatia upumbavu. Mtu kama huyu badala ya kumtia moyo unakuja hapa kumkatisha tamaa. Wewe na uzi wako wote waPumbavuuu
Wanaccm wengi wanapenda watu wanaolamba miguu viongozi kama anavyofanya musiba. ukisema ukweli unaitwa sio mzalendo na unamkwamisha jiwe
 
Yaani CCM hamna wema, Leo mnamsimanga mtu mliedai kauona mwanga!!?? Na kwa maneno yako haya kumbe ni kwelil kuwa huwa mnahonga watu ili wawaunge mkono!
Daima matendo ya mnafiki yako tofauti na maneno yake.
 
Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?

Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?

Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?

Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Kwahiyo unataka wamkamate akawasaidie kazi! Okay, mhusika amekusikia nawe utapata udc.
 
Wewe ni Lipumbavu la kwanza Duniani. Mleta mada kasema Usalama wa Taifa wa Mlinde. Wewe unakuja kuandika uharo wako hapa. Nyie ina maana hata kiswahili hamwelewi? Mnakuwa na mihemko tu siku zote.

Watanzania nani amewatia upumbavu. Mtu kama huyu badala ya kumtia moyo unakuja hapa kumkatisha tamaa. Wewe na uzi wako wote waPumbavuuu
 
Huu unafiki ndo unaotugharimu Wabongo na Wadanganyika. Mtu anaongea HOJA YA MSINGI wewe unasema anatafuta kiki...Nonsense!
Dr. Lwaitama yuko vizuri sana UPSTAIRS tena sana kuliko hawa Ma-profedha.na Madaktari Kanjanja kama kina Ka-BUNDI na BENSON BURNER n.k. Anachoongea Lwaitama hapa ni UKWELI ambao hata MAGUFULI anaujua vizuri tu sema tu ni HICHO KIBURI, UDIKTETA na JEURI UZIMA. Lakini mwisho wa siku KATIBA MPYA NI LAZIMA.
Ni BUNSEN BURNER kale kakibatali ka gesi maabara.
 
Dingi anaongeana conscious sana sio sawa na Benson Bana..
 
Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?

Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?

Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?

Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?

Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?

Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?

Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.
ndugu, kusema ukweli ni ukakasi? ukakasi kwa nani.....kwako?
 
Ili iweje? Kutafuta kiki ni kusema ama kufanya kitu kiuongo uongo ama kilaghai ili upate sifa. Kwenye maelezo ya Lwaitama kipi cha uongo?
Nashaangaa kwa sasbabu aliyosema ni maneno ya kawaida na ya ukeli wa kichambuzi
 
Mimi sioni tatizo la matamshi ya Profesa Lwaitama
Huyu Profesa hatafuti kick,ni kawaida yake mara nyingi kusema kile kilicho moyoni mwake.
Yawezeka kwa sababu ya msimamo wake ndio sababu ya kutosongezwa karibu na "Meza ya Bwana"
Lakini mitizamo yake isio na chenga itampeleka pabaya sana kwa tawala ya sasa,sio enzi za Kikwete.
 
Back
Top Bottom