Tetesi: Prof Azaveli Lwaitama unahatarisha sana Mustakabali wako, nini shida mzee?

Tetesi: Prof Azaveli Lwaitama unahatarisha sana Mustakabali wako, nini shida mzee?

Ni mijitu iliyozaliwa kwa bahati mbaya
Hili taifa limejaa mburula wengi haswa!

Embu tuuleze hayo maneno uliyosikia yanayotia ukakasi kwa usalama wa taifa.
 
Wale wazee wangekua na mawazo kama yako mpaka leo tungekua bado ni koloni.
 
Wale wazee wangekua na mawazo kama yako mpaka leo tungekua bado ni koloni.
 
Mzee lwaitama kipindi anafundisha JOSIAH KIBIRAH BUKOBA (COLLEGE)
Kazi ilikuwa kununua wanawake nakumbuka siku moja bwana akamchukua mwanamke kwa makubaliano ya .....

au ngoja niishie hapa itakuwa kama nayasema maisha yake

Sasa suala la yeye kutoa maoni ni haki yake kikatiba wala hupaswi kumshangaa

Tatu yeye bado ni DR, Siyo Prof

Britannica
 
Mleta mada ndiwe mwenye shida kichwani, kwani anachokisema si kweli tupu?
 
Nmekuwa nikimsikiliza sana huyu msomi ambaye huongea anachoamini pasipo kuuma uma maneno. Najiuliza anajiamini nini? Kwa nini ameamua kuchagua fungu hilo?

Maneno ambayo huongea ni makali sana na yanaweza kuwa yanachoma.anataka kukimbia.swali. je ameagana na nyonga?

Haya maneno... Si ya kuyapuuza. Usalama wa taifa ...mmeyasikia maneno yake kwa umakini kabisa? Mmeyasikia yalivyo na ukakasi?yanavyochoma? Mmemsikia?

Haya. Mumlinde. Kuna mijitu mipumbavu inaweza taka kumdhuru.

Waliokuwa wazungumzaji lkn leo wako kimya ni wangapi??

Sisi ni mashuhuri wa kuzungumza kabla ya tukio (kupata) tukishapata tunageuka misukule (sipika)
 
Kitendo cha wewe kuandika ulivoandika ...Moja kwa Moja inaashiria ww ni ama mnafiki au muoga pia .....
 
Kwa hiyo ushauri wa kusema usalama wa taifa wamlinde ungesababisha tuwe chini ya wakoloni? Hivi nyie watu wa namna hii mnajitambua kweli?akili zenu mliziacha tumboni kwa wazaz wenu?mtoa mada anashauri usalama wa taifa wamlinde wewe unataka asilindwe.

Wale wazee wangekua na mawazo kama yako mpaka leo tungekua bado ni koloni.
 
Kwa hiyo ushauri wa kusema usalama wa taifa wamlinde inaonesha mimi mwoga na mnafiki? Hivi nyie watu wa namna hii mnajitambua kweli?akili zenu mliziacha tumboni kwa wazaz wenu?mtoa mada anashauri usalama wa taifa wamlinde wewe unataka asilindwe.

Kitendo cha wewe kuandika ulivoandika ...Moja kwa Moja inaashiria ww ni ama mnafiki au muoga pia .....
 
Nmejaribu tena kusoma sijasema alichokisema ni uongo.sasa wewe haya mawazo umeyapata choo cha wapi? Maana huwez pata mawazo kama hayo ukiwa umekaa sehemu safi. Nmeshauri alindwe wewe bado unaona hilo tatizo. Au nyie ndo mnataka kumdhuru asiendelee kutoa maoni yake mujarabu?

Mleta mada ndiwe mwenye shida kichwani, kwani anachokisema si kweli tupu?
 
Hahahaa...... Umenikumbusha Prof Kitila alivyoponda teuzi za maprofesa wa Udsm lakini siku aliyoteuliwa yeye alisahau hata kuwaaga wanafunzi wake......!
We mj-- kweli [emoji23] [emoji23] [emoji23] unasema alisahau kuwaaga wanafunzi wake

Ova
 
Dr. Lwaitama - "Mwl. Nyerere alikuwa mshirikishaji, mtambuzi wa vipaji sahihi, alitumia ushawishi. ...."

Source : NdibaTalk show star tv
 
Dr. Lwaitama - ''PhD yangu ilijikita ktk uchambuzi wa hotuba za Mwl. Nyerere kulinganisha na hotuba zingine ...."

Source: NdibaTalk show star tv
 
Dr. Lwaitama - " Magufuli adhibitiwe. ..."

Source: ABC Habari
 
Back
Top Bottom