TANZIA Prof. Bakari Lembariti wa Chuo cha Muhimbili (MUHAS) afariki Dunia

Poleni sana kwa wanajamiii wote wa MUHAS na wale wote walioguswa na msiba huu
 
Mkuu maombi yanahusiana vipi na COVID-19 na Halima Mdee?
Wale kina Mdee kuna watu waliwabatiza jina Covid19. Sasa maadam kutaja Corona unaweza kuitwa mchochezi, basi watu wameamua kutumia codes
 
Wale kina Mdee kuna watu waliwabatiza jina Covid19. Sasa maadam kutaja Corona unaweza kuitwa mchochezi, basi watu wameamua kutumia codes
Aahahaaaa ni mawazo yako boss, au huwa haufanyo mapmbi mpaka covid-19
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ