TANZIA Prof. Bakari Lembariti wa Chuo cha Muhimbili (MUHAS) afariki Dunia

TANZIA Prof. Bakari Lembariti wa Chuo cha Muhimbili (MUHAS) afariki Dunia

Ujerumani na uingereza na marekani nao wasemeje?
USIOMBE KITU AMBACHO HAUNA UWEZO WA KUKIKABILI.
Maombi yanashida gani Mkuu kama yaliweza kuwa msaada hatua ya kwanza? Au ndio mpaka aseme namba moja kuhusu maombi ndio ataeleweka? WACHA UOGA
 
Kama maombi yanasaidia yangewasaidia na wengine.
Kwani marekani na ulaya wao hawayaoni hayo maombi?si waombe nao wapone?
Maombi yanashida gani Mkuu kama yaliweza kuwa msaada hatua ya kwanza? Au ndio mpaka aseme namba moja kuhusu maombi ndio ataeleweka? WACHA UOGA
 
Back
Top Bottom