Marhabaa kijanaShkamoo baba...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Marhabaa kijanaShkamoo baba...
TANZIA zimekuwa nyingi mwezi huu, turudishe maombi ya siku tatu?
Corona ni ugonjwa kama magonjwa mengine
Maombi yanashida gani Mkuu kama yaliweza kuwa msaada hatua ya kwanza? Au ndio mpaka aseme namba moja kuhusu maombi ndio ataeleweka? WACHA UOGAUjerumani na uingereza na marekani nao wasemeje?
USIOMBE KITU AMBACHO HAUNA UWEZO WA KUKIKABILI.
Maombi yanashida gani Mkuu kama yaliweza kuwa msaada hatua ya kwanza? Au ndio mpaka aseme namba moja kuhusu maombi ndio ataeleweka? WACHA UOGA
pole sana kwa kumpoteza mate, Prof. ana asili ya wapi hasa...ningependa tu kujua.Marhabaa...
Mtanzania. Wazazi watanzania... baba mtanzania asili ya uarabuni mama mtanzania mchaga ...pole sana kwa kumpoteza mate, Prof. ana asili ya wapi hasa...ningependa tu kujua.
zimekuwa nyingi kwakuwa ameamua kuziandika tu ila kumbuka hizo Tanzia zipo huko Ushuani tu huku kwetu mambo ni shwari sanaTANZIA zimekuwa nyingi mwezi huu, turudishe maombi ya siku tatu?
TANZIA zimekuwa nyingi mwezi huu, turudishe maombi ya siku tatu?