Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh..hizi ajira.Attlest ajira moja imepatikana
Amen.Acha chuma kipumzike.
Bwana alitoa, Bwana ametwaa
He was a real gentleman.pole kwa wafiwa
Baba shkamooRIP my classmate Old Moshi Sec 1970 - 1971 form 5 - 6
It makes no differenceHuyu ni ustaadhi mishumaa ya ninu kwenye bango lake
Vitukuu bado bwana. Maana wanae atakuwa alipata miaka ya 70 mwishoni mpaka 80 mwishoni.Sio wajukuu ni vitukuu
Marhabaa...Baba shkamoo
yaani mbaka unastuka ni nyingi mno tanzia ukigeuka kule tanzia inatishaTANZIA zimekuwa nyingi mwezi huu, turudishe maombi ya siku tatu?
Shkamoo baba...RIP my classmate Old Moshi Sec 1970 - 1971 form 5 - 6
Sasa kama watoto wamezaliwa late 70s au early 80s kwanini asipate vitukuu kama wajukuu wakichangamka?Vitukuu bado bwana. Maana wanae atakuwa alipata miaka ya 70 mwishoni mpaka 80 mwishoni.
Bakari? Prof.?
RIP Prof. Bakari Salim Lembariti. Poleni familia. Na poleni waTanzania kwa kuondokewa na mtaalamu wa wafani yenye watu wachache sana na iliyo muhimu pia.