Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,985
Miaka kadhaa iliyopita Professor Mwesigwa Baregu akihudumia masomo ya siasa na utawala alinyanyaswa, kudhalilishwa na kudunishwa utu wake pale Mlimani. Bashiru aliachwa aendelee kula mema ya nchi kwa kuwa ni CCM na leo ameteuliwa kuwa Katibu mkuu wa chama. Twaambiwa alikuwa mwanachama wa siri, sijui wanachama wa siri ni kina nani?
Ile sheria inayokataza watumishi wa umma wasiwe wanasiasa kumbe ipo na inafanya kazi kwa wale watumishi ambao wanaunga mkono vyama vya upinzani tu?
Ubaguzi huu hadi lini?
Ile sheria inayokataza watumishi wa umma wasiwe wanasiasa kumbe ipo na inafanya kazi kwa wale watumishi ambao wanaunga mkono vyama vya upinzani tu?
Ubaguzi huu hadi lini?