Elections 2015 Prof. Benson Bana: Dk. Slaa ndiye pekee anayeweza kuitetemesha CCM

Elections 2015 Prof. Benson Bana: Dk. Slaa ndiye pekee anayeweza kuitetemesha CCM

Pia kuna dalili vyombo vya usalama vinajiandaa kwa lolote, maana vijana wengi wamerudi Mbweni na wengine wananolewa misituni kwa umakini mkubwa.

Kwa kweli ni patashika kubwa na kila mtu ambae alicheza mchezo mchafu Dodoma ana wasiwasi.

Kuna dalili kubwa uchaguzi unaweza kufunganisha wagombea na kusababisha ama urudiwe au uamuliwe kivingine jambo ambalo linaweza kuleta mpasuko mkubwa wa siasa za Tanzania tangu uhuru wa Tanganyika.
 
Magufuli aliuza nyumba za serekali nyumba moja kwa million 8, baada ya mwaka mmoja serekali ikakodi nyumba hiyo huku ikilipa million 2 kwa mwezi
 
Wakati tukiwa wadogo tulikua tunatabia ya kumchochea mwezetu ili akadundwe... na mara nyingi haya yalikua maneno yetu utoto bwan ni shida '' yule hakupigi wewe usione hayo manyama hata kwenye sambusa yapo... mbona hata kimambo alishwahi kumpiga'' basi tutampambisha mpaka ajione tyson,,, akisha dundwa sisi haooooooo huku tunacheka kwenda kuvuna mahidi mabishi tujichomee siku ipite
 
CCM imeingiwa hofu, Magufuli kuwa shughuli

KUNA hofu imetanda ndani ya CCM; hofu ambayo inajaribu kufichwa mapema kwani kama mambo hayatobadilika ndani ya miezi hii mitatu hivi iliyobakia kabla ya Uchaguzi Mkuu basi chama hiki kikongwe zaidi nchini kinaweza kujikuta kikipumzishwa kutoka madarakani kwa nguvu. Dalili ya hofu hii imeonekana baada ya kutangazwa kwa mgombea wao wa kiti cha Urais Dk. John Pombe Magufuli.

Mojawapo ya mambo ambayo yametokea baada ya Magufuli kutangazwa ni kauli za kuwa yeye “anakubalika na anachagulika”. CCM imetaka kuliaminisha taifa kuwa Magufuli siyo tu anajulikana kwa utendaji kazi wake, na kuwa wananchi wengi wanampenda na wanaweza kumchagua. Kiasi kwamba wametaka watu waamini kuwa Magufuli ni Rais anayesubiria (President in waiting). Kwamba, upinzani hauna nafasi hata kidogo ya kumnyang’anya uwezekano huo.

Ukweli ni kuwa matendo ya CCM hayaoneshi kujiamini huku. Kama kweli CCM inaamini Magufuli anajulikana na kazi zake zinakubalika nchi nzima kwa nini juhudi kubwa sana inajaribu kufanywa ya “kumtambulisha”. Unamtambulisha vipi mtu ambaye tayari unaamini anajulikana, kufahamika na kukubalika? Ukiangalia utaona kuwa CCM inataka kumtumia Magufuli kukibeba chama; tatizo ni kuwa Magufuli mwenyewe – ukiondoa kukariri kwake takwimu mbalimbali – utendaji kazi wake una shaka. Tayari wizara ambayo amekalia imeshagubikwa na kashfa lukuki na hili peke yake lingetosha hata kumchafua. Akija mgombea mzuri kutoka upinzani na akajizibu hizi takwimu za Magufuli, basi Magufuli na CCM iko matatani. Yote haya yanatosha kufanya watu wajiulize mara mbili kama kweli Magufuli hatokuwa shughuli kweli kweli.

CCM imepasuka, rekodi yake mbovu, na upinzani ukimsimamisha mgombea makini, Magufuli ataweza vipi kushinda? Njia pekee ya kushinda katika mazingira ya namna hiyo ni matumizi makubwa ya nguvu, vyombo vya dola na hata kuliingiza jeshi katika siasa kama walivyofanya chini ya Jenerali Shimbo mwaka 2010. Vyovyote vile ilivyo hata hivyo kuna hofu imetanda kwa CCM; hofu kama vile wingu zito la mvua lenye dalili ya radi na ngurumo. CCM hawajui sasa wafanye nini zaidi ya kuombea Magufuli aweze kuwaokoa. Akishindwa je Hili ndilo swali la kuogopesha zaidi kwa kila mwana CCM

Chanzo: Raia Mwema (22, July 2015)
 
Ukawa waotoe hotuba za kupunguza gharama za maisha.bei ya dawa na matibabu.shule zote ada moja.kufuta mauaji ya albino.police kufanya kazi kama wakati wa nyerere.hawatapiga madactari nchini
 
CCM wanaweza kumrudisha Lowassa baada ya kuona upepo umekuwa kimbunga.
 
Mkuu huitaji kusikia toka kwa mtu kama Bana kujua Dr Slaa anawapa maccm wakati mgumu
 
Dr Slaa ndo kiboko ya mafisadi ccm wakisikia hilo jina wanatetemeka mwili mzma kama wagonjwa wa kifafa
 
CCM imeingiwa hofu, Magufuli kuwa shughuli



Mojawapo ya mambo ambayo yametokea baada ya Magufuli kutangazwa ni kauli za kuwa yeye "anakubalika na anachagulika". CCM imetaka kuliaminisha taifa kuwa Magufuli siyo tu anajulikana kwa utendaji kazi wake kwa kweli wananchi wengi wanampenda na wanaweza kumchagua. Kiasi kwamba wametaka watu waamini kuwa Magufuli ni Rais anayesubiria (President in waiting). Kwamba, upinzani hauna nafasi hata kidogo ya kumnyang'anya uwezekano huo.

Ukweli ni kuwa matendo ya CCM hayaoneshi kujiamini huku. Kama kweli CCM inaamini Magufuli anajulikana na kazi zake zinakubalika nchi nzima kwa nini juhudi kubwa sana inajaribu kufanywa ya "kumtambulisha". Unamtambulisha vipi mtu ambaye tayari unaamini anajulikana, kufahamika na kukubalika?

Tayari wizara ambayo amekalia imeshagubikwa na kashfa lukuki na hili peke yake lingetosha hata kumchafua. Akija mgombea mzuri kutoka upinzani na akajizibu hizi takwimu za Magufuli, basi Magufuli na CCM iko matatani. Yote haya yanatosha kufanya watu wajiulize mara mbili kama kweli Magufuli hatokuwa shughuli kweli kweli.

CCM imepasuka, rekodi yake mbovu, na upinzani ukimsimamisha mgombea makini, Magufuli ataweza vipi kushinda? Njia pekee ya kushinda katika mazingira ya namna hiyo ni matumizi makubwa ya nguvu, vyombo vya dola na hata kuliingiza jeshi katika siasa kama walivyofanya chini ya Jenerali Shimbo mwaka 2010. Vyovyote vile ilivyo hata hivyo kuna hofu imetanda kwa CCM; hofu kama vile wingu zito la mvua lenye dalili ya radi na ngurumo. CCM hawajui sasa wafanye nini zaidi ya kuombea Magufuli aweze kuwaokoa. Akishindwa je Hili ndilo swali la kuogopesha zaidi kwa kila mwana CCM

Chanzo: Raia Mwema

Wataiba kura!! Wala hawatahangaika! CCM Janga!!

Safari hii hatulali hadi kieleweke. Hatutasubiri sijui nini. Atakayeanzisha upumbavu wowote unaoashiria udanganyifu, bila kujali ni nani na yuko wapi tutamalizana naye pale pale kwa maslahi ya taifa.

Tuko tele, tunanguvu na tumetawanyika Tanzania nzima. Sasa tunachoanza kukifanya ni kufundishana namna tutapiga na kulinda kura zetu kwa kufuata kanuni za nchi.

Hawa wanaoanza kusema eti hakuna kukaa mita 100 wanahofu gani? Hao ndio wezi wa kura number 1. Tunaanzana nao kabla hata ya uchaguzi hadi wajue Tanzania ni ya Watanzania na si ya ccm na majambazi wenzao.

Askari wa polisi wanaoandaliwa kutumia mabavu na vitisho ili kutoa mwanya kwa ccm kuchakachua matokeo ya uchaguzi, wafahamu hizo silaha ni kodi zetu na hawatatuua sote. Tutakufa lakini tutaishi kwa watoto wetu katika Tanzania sahihi. Na kwa hiyo, wasije kudhani katika vita askari bila ushirikiano na raia bado ni askari. Bahati nzuri wanajulikana wote kwa sura, majina na koo zao. Bora wakafanya kazi kwa uadilifu bila kujaribu kuvuruga mchakato wa Tz kupata viongozi wetu. Haijalishi nani wanashinda lakini wasithubutu kuingilia kipum.ba.vu.

Hiki kitu kinaitwa tume ya ccm, wamepewa mamlaka makubwa na katiba ya 1977 ambayo ilitungwa kwa kufuata sura ya mwalimu bila kujua kuwa kunaweza kuja matawala nyang'au. Hata hivo, tunawapa angalizo la kufanya kazi kwa uaminifu. Hila zozote za kulinda green guards na tred brigade ili kutoa penalty kwa ccm wa sabbu binafsi, wasithubutu.

NA SASA TUNATAKA KURA ZA RAISI ZIHESABIWE VITUONI TUME IFANYE MAJUMUISHO.

HATUTAKUBALI HUJUMA YOYOTE KWA UPANDE WOWOTE. TUNAHITAJI TANZANIA YA WATANZANIA YENYE AMANI. WATUACHE TUFANYE MAAMUZI. HABARI YA KUTULETEA UCCM WA KUPATA KURA NYINGI AMINA ALLY NA KUTANGAZWA MAGUFULI, HATUTAKUBALI ZIHAMIE KWA TAIFA. HIZO NI ZA CCM TU!
 
Safari hii hatulali hadi kieleweke. Hatutasubiri sijui nini. Atakayeanzisha upumbavu wowote unaoashiria udanganyifu, bila kujali ni nani na yuko wapi tutamalizana naye pale pale kwa maslahi ya taifa.

Tuko tele, tunanguvu na tumetawanyika Tanzania nzima. Sasa tunachoanza kukifanya ni kufundishana namna tutapiga na kulinda kura zetu kwa kufuata kanuni za nchi.

Hawa wanaoanza kusema eti hakuna kukaa mita 100 wanahofu gani? Hao ndio wezi wa kura number 1. Tunaanzana nao kabla hata ya uchaguzi hadi wajue Tanzania ni ya Watanzania na si ya ccm na majambazi wenzao.

Askari wa polisi wanaoandaliwa kutumia mabavu na vitisho ili kutoa mwanya kwa ccm kuchakachua matokeo ya uchaguzi, wafahamu hizo silaha ni kodi zetu na hawatatuua sote. Tutakufa lakini tutaishi kwa watoto wetu katika Tanzania sahihi. Na kwa hiyo, wasije kudhani katika vita askari bila ushirikiano na raia bado ni askari. Bahati nzuri wanajulikana wote kwa sura, majina na koo zao. Bora wakafanya kazi kwa uadilifu bila kujaribu kuvuruga mchakato wa Tz kupata viongozi wetu. Haijalishi nani wanashinda lakini wasithubutu kuingilia kipum.ba.vu.

Hiki kitu kinaitwa tume ya ccm, wamepewa mamlaka makubwa na katiba ya 1977 ambayo ilitungwa kwa kufuata sura ya mwalimu bila kujua kuwa kunaweza kuja matawala nyang'au. Hata hivo, tunawapa angalizo la kufanya kazi kwa uaminifu. Hila zozote za kulinda green guards na tred brigade ili kutoa penalty kwa ccm wa sabbu binafsi, wasithubutu.

NA SASA TUNATAKA KURA ZA RAISI ZIHESABIWE VITUONI TUME IFANYE MAJUMUISHO.

HATUTAKUBALI HUJUMA YOYOTE KWA UPANDE WOWOTE. TUNAHITAJI TANZANIA YA WATANZANIA YENYE AMANI. WATUACHE TUFANYE MAAMUZI. HABARI YA KUTULETEA UCCM WA KUPATA KURA NYINGI AMINA ALLY NA KUTANGAZWA MAGUFULI, HATUTAKUBALI ZIHAMIE KWA TAIFA. HIZO NI ZA CCM TU!

Yaani mkuu ninakuunga mkono asilimia mia. Hilo suala la ulinzi wa kura ni mhimu sana, watu wakae umbali wa mita 100 ili kufuatilia nyendo za watu wanaopita na kwenda kule. Lkn kitu kingine mhimu sana, mwaka huu wapinzani wasikubali kurubuniwa kama mwaka 2010 kuwa kura za Rais zisihesabiwe vituoni bali zitaenda kujumuishwa na tume. Hapo ndipo uchakachuzi wa matokeo ulianza kufanyika. Mwanzoni Tume ilikuwa imeacha kura zinahesabiwa vituoni, lakini baada ya kuona jamaa aliyekuwa madarakani ameshikwa koo wakazuia (nadhani baada ya tume kushauriwa na TISS).

Hili jambo ni mhimu sana wapinzani wakalifanyia kazi na wasije wakakubali jambo hilo kufanyika kwa sbb kwanza ilikuwa ni kinyume na sheria za uchaguzi. Sheria ya uchaguzi inaruhusu kura zihesabiwe vituoni na matokeo ya Rais, Mbunge na Diwani kutangazwa hapo hapo badala ya kusubiri tume. Maana kama 2+2=4, kila mtu atapata jibu hilo hata awe wapi. Kwa namna hiyo, vyama vya siasa, vyombo vya na wadau wengine watakapopata matokeo nchi nzima toka kwa mawakala wao wataweza kujua kabisa nani ameshinda nafasi ya Urais hata kabla tume haijatoa matokeo rasmi. Nigeria hili jambo liliwasaidia sana, na ilikuwa vigumu matokeo kuchakachuliwa.
 
Mnasahau kuna uwizi wa kura na mbinu nyingine chafu zitakazotumika kuhakikisha kufuli linawekwa!
 
Yaani mkuu ninakuunga mkono asilimia mia. Hilo suala la ulinzi wa kura ni mhimu sana, watu wakae umbali wa mita 100 ili kufuatilia nyendo za watu wanaopita na kwenda kule. Lkn kitu kingine mhimu sana, mwaka huu wapinzani wasikubali kurubuniwa kama mwaka 2010 kuwa kura za Rais zisihesabiwe vituoni bali zitaenda kujumuishwa na tume. Hapo ndipo uchakachuzi wa matokeo ulianza kufanyika. Mwanzoni Tume ilikuwa imeacha kura zinahesabiwa vituoni, lakini baada ya kuona jamaa aliyekuwa madarakani ameshikwa koo wakazuia (nadhani baada ya tume kushauriwa na TISS).

Hili jambo ni mhimu sana wapinzani wakalifanyia kazi na wasije wakakubali jambo hilo kufanyika kwa sbb kwanza ilikuwa ni kinyume na sheria za uchaguzi. Sheria ya uchaguzi inaruhusu kura zihesabiwe vituoni na matokeo ya Rais, Mbunge na Diwani kutangazwa hapo hapo badala ya kusubiri tume. Maana kama 2+2=4, kila mtu atapata jibu hilo hata awe wapi. Kwa namna hiyo, vyama vya siasa, vyombo vya na wadau wengine watakapopata matokeo nchi nzima toka kwa mawakala wao wataweza kujua kabisa nani ameshinda nafasi ya Urais hata kabla tume haijatoa matokeo rasmi. Nigeria hili jambo liliwasaidia sana, na ilikuwa vigumu matokeo kuchakachuliwa.

Umesema sahihi kabisa Mkuu. Tena wanaopelekaga fujo vituoni siyo wanaolinda kura mita 100. Ni wale mawakala wa ccm kama polisi, wakurugenzi n.k ambao huanza kuenda kwenda kwenye vyumba vya kuhesabia kura kupeleka uharamia wao. Safari hii tunalinda kura zetu na kama ulivyosema, tupambane zihesabiwe vituoni, matokeo yabandikwe na kila wakala atoke na nakala ya matokeo ili kila anayeweza kujumulisha ajumulishe.

Watu kujua matokeo na kuyajumulisha, hakuikoseshi tume kwa lolote zaidi ya kuinyima ujasiri wa kuchakachua. 2+2 ni Nne. Iwe imejumulishwa na tume, vyama vya siasa au watu binafsi.

Ccm na Lubuva wao, wasiluletee ujinga wa 2010. Safari hii atakayediriki kuleta machafuko nchini kwa kuanzisha udanganyifu imekula kwake. Tuko nchi nzima kuanzia Ikulu hadi ndani kwa wawindaji.

Na wakitaka kuona namna Watanzania wamechoka na wako tayari kwa lolote ili mradi haki ifanyike, wajaribu waone.
 
Back
Top Bottom