Prof. Eliamini Sedoyeka asomewa tuhuma nne kwenye Baraza la Maadili, azikana zote

Prof. Eliamini Sedoyeka asomewa tuhuma nne kwenye Baraza la Maadili, azikana zote


Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imemfikisha mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma Mkuu wa chuo cha Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamin Sedoyeka kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kumpandisha cheo Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu bila kuwa na sifa.

Tuhuma nyingine zinazomkabili ni kuingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza katika kampasi ya Babati kwa kuifuta bila kufuata utaratibu na kufanya uhamisho wa ndani wa mtumishi Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi.

Akiwasilisha mashtaka mbele ya Baraza tarehe 16 oktoba, 2024 Wakili Mkuu wa Serikali Bi Emma Gelani alilieleza Baraza kuwa mlalamikiwa anakabiliwa na mashtaka manne na ameshindwa kutimiza matakwa ya kifungu cha 6(1)(a) 6(1)(c) na 12(1)(c) vya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

“Mlalamikiwa wakati akitekeleza majukumu yake ya uongozi pasipo kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma alimpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimali II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu kabla ya kukamilika kwa uhamisho wa mtumishi.”

Bw. Ndatama ambaye ni mmoja kati ya mashahidi wanne waliotoa ushaidi wao mbele ya Baraza alikiri kuwa tarehe 13.5.2023 alipandishwa cheo kutoka Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu wa Taasisi ya Uhasibu Arusha kabla ya taratibu za uhamisho kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii hazijakamilika.

Kuhusu suala la zabuni, Bi Gelani alieleza kuwa mlalamikiwa aliingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza na kuifuta kinyume kifungu cha 59(2) cha Sheriai ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410.

“Kitendo hicho Mhe. Mwenyekiti ni kinyume na kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Maadili kinachomtaka kiongozi wa Umma kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria za nchi,”alisema.

Ilidaiwa mbele ya Baraza kuwa Prof. Sedoyeka alifuta zabuni kwa madai kuwa gharama ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya taasisi ya shilingi bilioni 1.274

Shahidi wa kwanza katika lalamiko hilo Bw. Ramadhani Mwanang’waka ambaye ni Afisa wa Sekretarieti ya Maadili alisema kuwa katika uchunguzi wao walibaini kuwa kampuni mbalimbali ziliomba zabuni hiyo.

Alizitaja kampuni hizi kuwa ni Jaffery ING Sain Ltd iliyopata zabuni kwa shilingi 1,144,057,200/ , Timber and Hardware Ltd 1,013,974,000.03, Vadeck Investment Company Ltd iliyoomba zabuni kwa shilingi 762,625,003/= jumla ya

“Baada ya kupitia nyaraka za zabuni tulibaini kuwa sababu za kusitisha zabuni hazikuwa miongoni mwa sababu zilizoainishwa kisheria,” alisema.

Kuhusu uhamisho wa mtumishi bila kufuata taratibu, Bi Gelani alilieleza Baraza kuwa Prof. Sedoyeka alifanya uhamisho wa ndani wa Bw. Robert Mwitango ambaye ni Afisa ugavi kutoka Kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda idara ya Maktaba tofauti na sifa zake za kitaaluma.

“Mhe. Mwenyekiti uhamisho huu ulifanyika bila kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Utumishi wa Umma kinachowataka wakuu wa Taasisi kusimamia na kuhakikisha watumishi wanakuwa katika taaluma zao,” alisema na kuongeza kuwa, “kitendo hiki ni kinyume na Kifungu cha 6(2) cha Sheria ya Maadili.”

Bw. Robert aliyefika mbele ya Baraza kutoa ushahidi, alikiri kuhamishiwa Idara ya maktaba kwa barua aliyoipata tarehe 6.10.2023 ambayo haikubainisha majukumu ya kazi.

“Niliporipoti Maktaba nilipangiwa kukaa mapokezi kukagua wanafunzi wanaoingia na kutoka ndani ya Maktaba.

Bw. Robert ni Afisa ugavi daraja la I ambaye ni Certified Procurement and Supply Professional (CPSP).

Mlalamikiwa ameyakana mashtaka yote manne na tarehe 17.10.2024 anatarajia kuwasilisha utetezi wake mbele ya Baraza.

Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma linasikiliza lalamiko hilo chini ya

Mwenyekiti Mhe. Jaji (Mst.) Rose Teemba na wajumbe wa Baraza Bw. Peter Ilomo na Bi Suzan Mlawi.

Profesa ajitetea:
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Honoratus Ishengoma amesema “Baraza limesikiliza utetezi wake (Prof. Sedoyeka), Mwenyekiti amesema baada ya kusikiliza pande zote mbili, litafanya hitimisho na ushauri utapelekwa kunakohusika.



============================ ======================​

BARAZA LA MAADILI LAHITIMISHA KUSIKILIZA TUHUMA ZINAZOMKABILI PROF. SEDOYEKA
Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma limehitimisha kikao chake cha siku mbili cha kusikiliza tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma zilizokuwa zikimkabili Mkuu wa chuo cha Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka.

Kikao hicho kilichohitimishwa tarehe 17.10.2024 kiliongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Rose Teemba akisaidiana na wajumbe wa Baraza Bw. Peter Ilomo na Bi Suzan Mlawi.

“Baraza litafanya hitimisho baada ya kusililiza pande zote mbili, ushauri utapelekwa kunako husika,” alisema Mhe. Teemba baada ya Prof. Sedoyeka kutoa ushahidi wake.

Prof. Sedoyeka alikuwa akikabiliwa na mashtaka manne anayodaiwa kutenda wakati akitimiza majukumu yake ya uongozi.

Mashtaka hayo kumpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimaliwatu daraja la II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu bila kuwa na sifa, kuwa na mgongano wa maslahi kwa kufanya uamuzi wa kumnufaisha Bw. Hakimu Ndatama, kuingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza katika kampasi ya Babati kwa kuifuta bila kufuata utaratibu na kufanya uhamisho wa ndani wa Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi.

Akiwasilisha mashtaka mbele ya Baraza tarehe 16 Oktoba, 2024 Wakili Mkuu wa Serikali Bi Emma Gelani alilieleza Baraza kuwa mlalamikiwa anakabiliwa na mashtaka manne na ameshindwa kutimiza matakwa ya kifungu cha 6(1)(a) 6(1)(c) na 12(1)(c) vya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

“Mlalamikiwa wakati akitekeleza majukumu yake ya uongozi pasipo kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma alimpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimali II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu kabla ya kukamilika kwa uhamisho wa mtumishi.”

Bw. Ndatama ambaye ni mmoja kati ya mashahidi sita waliotoa ushaidi mbele ya Baraza alikiri kuwa tarehe 13.5.2023 alipandishwa cheo kutoka Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu wa Taasisi ya Uhasibu Arusha kabla ya taratibu za uhamisho kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii hazijakamilika.

Akitoa utetezi wake mbele ya Baraza kuhusu tuhuma hiyo, Prof. Sedoyeka alisema, “Sikuwa na mamlaka ya kumpandisha cheo Bw. Hakimu, isipokuwa nilimteua na kumpangia majukumu. Nilimtea kwa nia njema ya kuongeza ufanisi, kwa maelezo hayo, naomba Baraza lako lifute shtaka hili kwasababu nilitekeleza kwa nia njema.”

Kuhusu lalamiko la kufanya uamuzi wa kumnufaisha Bw. Hakimu, Prof alilieleza Baraza kuwa hakuhusika na mchakato wa kumuombea uhamisho Afisa huyo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii kwenda IAA.

“Mimi sikuhusika kwa namna yoyote ile, kuomba Bw. Hakimu kuja IAA kwa barua ya tarehe 9.3.2023 wakati mimi nililipoti IAA tarehe 13.3.2023, hivyo, sikusaini barua yake ya kuomba ahamie wala kukumbushia,” alieleza.

Kuhusu kuingilia zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza na kuifuta kinyume kifungu cha 59(2) cha Sheriai ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410, Mkuu huyo wa chuo cha IAA alilieleza Baraza kuwa Taasisi yake ilipohitaji viti katika kampasii ya Babati, alielekeza iundwe kamati kutembelea maeneo tofauti nchini kuangalia mzabuni mwenye uwezo.

“Nilielekeza Kitengo cha Manunuzi kumhusisha mzabuni Timber and Hardware Ltd na kamatii ilikuwa na mapendekezo yake,” alisema na kuongeza kuwa, “Baada ya mchakato kufanyika, nilipitia nyaraka za mchakato .wa ununuzi na kugundua kuwa kuna wazabuni wawili walikuwa na bei ndogo hawakushinda kwa madai ikuwa bidhaa zao hazikufikia viwango, watu hawa walishinda zabuni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, lakini kwetu hawakufikia viwango.”

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, taarifa ya ukaguzi ya vifaa husika haikuwa na maelezo ya kitaalam kukataa wazabuni waliokuwa na bei nafuu.

“Kwangu mimi hii ni dosari, nilikuwa kwenye mtanziko, nikaamua kufanya kikao na mwenyekiti wa Bodi ya zabuni tukakubaliana kuwa hata tukitangaza zabuni upya kwa kuwa nyaraka ni zilezile, hakuna jinsi atashinda Jaffery ING Sign Ltd aliyekuwa na bei kubwa.

Katika mchakato huo wa ununuzi wa viti na meza, jumla ya kampuni nne zilijotokeza ikiwemo Jaffery ING Sain Ltd iliyopata zabuni kwa shilingi 1,144,057,200/, Timber and Hardware Ltd 1,013,974,000.03, Vadeck Investment Company Ltd iliyoomba zabuni kwa shilingi 762,625,003/= na kampuni ya Mult Cable Ltd kwa gharama ya shilingi 1,163,527,200.03.

Prof. Sedoyeka alifuta zabuni kwa madai kuwa gharama ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya taasisi ya shilingi bilioni 1.274 Mchakato huo uliositishwa Juni, 2023, hadi sasa hivi bado haujakamilika.

Shahidi wa kwanza katika lalamiko hilo Bw. Ramadhani Mwanang’waka ambaye ni Afisa wa Sekretarieti ya Maadili alisema kuwa “baada ya kupitia nyaraka za zabuni tulibaini kuwa sababu za kusitisha zabuni hazikuwa miongoni mwa sababu zilizohainishwa kisheria.”

Kuhusu uhamisho wa ndani wa Bw. Robert Mwitango Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi, aliliambia Baraza kuwa, “Mimi ninayo mamlaka kumpangia shughuli nyingine mtumishi na uhamisho huu ulikuwa na nia njema kwa maslahi ya Taasisi.”

“Kitengo cha Unununzi kilikuwa na watumishi 10, Idara yamaktabab ilikuwa na upungufu wa watumishi na walitaka kufanyay ununuzi mkubwa wa vitabu, kutokana na uhaba mkubwa wa rasilimali watuu katika Maktaba mimi kuhamisha mtumishi niliona ni suala la kawaida katika taasisi,” alilieleza baraza.

Bw. Robert aliyefika mbele ya Baraza kutoa ushahidi, alikiri kuhamishiwa Idara ya Maktaba kwa barua aliyoipata tarehe 6.10.2023 ambayo haikubainisha majukumu ya kazi.

“Nililipoti Maktaba nakupangiwa kukaa mapokezi kukagua wanafunzi wanaoingia na kutoka ndani ya Maktaba.

Bw. Robert ni Afisa ugavi daraja la I ambaye ni Certified Procurement and Supply Professional (CPSP).

Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Emma Gelani alilieleza baraza kuwa .“uhamisho huu ulifanyika bila kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Utumishi wa Umma kinachowataka wakuu wa Taasisi kusimamia na kuhakikisha watumishi wanakuwa katika taaluma zao,” alisema na kuongeza kuwa, “kitendo hiki ni kinyume na Kifungu cha 6(2) cha Sheria ya Maadili.”.

Wakati akimsomea mashtaka mlalamikiwa, Wakili Gelani aliliambia Baraza kuwa, “Malalamiko hayo dhidi ya Prof. Sedoyeka ni kinyume na kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Maadili kinachomtaka kiongozi wa Umma kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria za nchi,” alisema.

Pia soma ~ Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka
Tume ya Maadili ya Viongozi wa Umma ikiamua kwa dhati kabisa kufuatilia tuhuma za namna hii kwenye taasisi mbalimbali Basi ni Wakuu wa taasisi wachache Sana watanusurika, wengi wao zaidi ya 80% wataenda na maji. Makosa Kama haya yamekuwa yakifanyika kwa wingi Sana kwenye hizo taasisi za Serikali.
 
Sishangai Baada ya mama yangu kufarki wiki mbili. Tu baadae ikaja samansi aachie eneo lenye thamani ya milion 300 tulizidiwa uwezo na wenye fedha basi ikapita
Juzijuzi kafiwa na yule mke wake alokuwa mbunge wa Africa Mashariki sasa kaingia kwenye huu msala, kweli shida zikianza kukuandama hazipoi. Ndo maisha
 

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imemfikisha mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma Mkuu wa chuo cha Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamin Sedoyeka kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kumpandisha cheo Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu bila kuwa na sifa.

Tuhuma nyingine zinazomkabili ni kuingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza katika kampasi ya Babati kwa kuifuta bila kufuata utaratibu na kufanya uhamisho wa ndani wa mtumishi Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi.

Akiwasilisha mashtaka mbele ya Baraza tarehe 16 oktoba, 2024 Wakili Mkuu wa Serikali Bi Emma Gelani alilieleza Baraza kuwa mlalamikiwa anakabiliwa na mashtaka manne na ameshindwa kutimiza matakwa ya kifungu cha 6(1)(a) 6(1)(c) na 12(1)(c) vya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

“Mlalamikiwa wakati akitekeleza majukumu yake ya uongozi pasipo kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma alimpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimali II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu kabla ya kukamilika kwa uhamisho wa mtumishi.”

Bw. Ndatama ambaye ni mmoja kati ya mashahidi wanne waliotoa ushaidi wao mbele ya Baraza alikiri kuwa tarehe 13.5.2023 alipandishwa cheo kutoka Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu wa Taasisi ya Uhasibu Arusha kabla ya taratibu za uhamisho kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii hazijakamilika.

Kuhusu suala la zabuni, Bi Gelani alieleza kuwa mlalamikiwa aliingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza na kuifuta kinyume kifungu cha 59(2) cha Sheriai ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410.

“Kitendo hicho Mhe. Mwenyekiti ni kinyume na kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Maadili kinachomtaka kiongozi wa Umma kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria za nchi,”alisema.

Ilidaiwa mbele ya Baraza kuwa Prof. Sedoyeka alifuta zabuni kwa madai kuwa gharama ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya taasisi ya shilingi bilioni 1.274

Shahidi wa kwanza katika lalamiko hilo Bw. Ramadhani Mwanang’waka ambaye ni Afisa wa Sekretarieti ya Maadili alisema kuwa katika uchunguzi wao walibaini kuwa kampuni mbalimbali ziliomba zabuni hiyo.

Alizitaja kampuni hizi kuwa ni Jaffery ING Sain Ltd iliyopata zabuni kwa shilingi 1,144,057,200/ , Timber and Hardware Ltd 1,013,974,000.03, Vadeck Investment Company Ltd iliyoomba zabuni kwa shilingi 762,625,003/= jumla ya

“Baada ya kupitia nyaraka za zabuni tulibaini kuwa sababu za kusitisha zabuni hazikuwa miongoni mwa sababu zilizoainishwa kisheria,” alisema.

Kuhusu uhamisho wa mtumishi bila kufuata taratibu, Bi Gelani alilieleza Baraza kuwa Prof. Sedoyeka alifanya uhamisho wa ndani wa Bw. Robert Mwitango ambaye ni Afisa ugavi kutoka Kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda idara ya Maktaba tofauti na sifa zake za kitaaluma.

“Mhe. Mwenyekiti uhamisho huu ulifanyika bila kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Utumishi wa Umma kinachowataka wakuu wa Taasisi kusimamia na kuhakikisha watumishi wanakuwa katika taaluma zao,” alisema na kuongeza kuwa, “kitendo hiki ni kinyume na Kifungu cha 6(2) cha Sheria ya Maadili.”

Bw. Robert aliyefika mbele ya Baraza kutoa ushahidi, alikiri kuhamishiwa Idara ya maktaba kwa barua aliyoipata tarehe 6.10.2023 ambayo haikubainisha majukumu ya kazi.

“Niliporipoti Maktaba nilipangiwa kukaa mapokezi kukagua wanafunzi wanaoingia na kutoka ndani ya Maktaba.

Bw. Robert ni Afisa ugavi daraja la I ambaye ni Certified Procurement and Supply Professional (CPSP).

Mlalamikiwa ameyakana mashtaka yote manne na tarehe 17.10.2024 anatarajia kuwasilisha utetezi wake mbele ya Baraza.

Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma linasikiliza lalamiko hilo chini ya

Mwenyekiti Mhe. Jaji (Mst.) Rose Teemba na wajumbe wa Baraza Bw. Peter Ilomo na Bi Suzan Mlawi.

Profesa ajitetea:
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Honoratus Ishengoma amesema “Baraza limesikiliza utetezi wake (Prof. Sedoyeka), Mwenyekiti amesema baada ya kusikiliza pande zote mbili, litafanya hitimisho na ushauri utapelekwa kunakohusika.



============================ ======================​

BARAZA LA MAADILI LAHITIMISHA KUSIKILIZA TUHUMA ZINAZOMKABILI PROF. SEDOYEKA
Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma limehitimisha kikao chake cha siku mbili cha kusikiliza tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma zilizokuwa zikimkabili Mkuu wa chuo cha Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka.

Kikao hicho kilichohitimishwa tarehe 17.10.2024 kiliongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Rose Teemba akisaidiana na wajumbe wa Baraza Bw. Peter Ilomo na Bi Suzan Mlawi.

“Baraza litafanya hitimisho baada ya kusililiza pande zote mbili, ushauri utapelekwa kunako husika,” alisema Mhe. Teemba baada ya Prof. Sedoyeka kutoa ushahidi wake.

Prof. Sedoyeka alikuwa akikabiliwa na mashtaka manne anayodaiwa kutenda wakati akitimiza majukumu yake ya uongozi.

Mashtaka hayo kumpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimaliwatu daraja la II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu bila kuwa na sifa, kuwa na mgongano wa maslahi kwa kufanya uamuzi wa kumnufaisha Bw. Hakimu Ndatama, kuingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza katika kampasi ya Babati kwa kuifuta bila kufuata utaratibu na kufanya uhamisho wa ndani wa Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi.

Akiwasilisha mashtaka mbele ya Baraza tarehe 16 Oktoba, 2024 Wakili Mkuu wa Serikali Bi Emma Gelani alilieleza Baraza kuwa mlalamikiwa anakabiliwa na mashtaka manne na ameshindwa kutimiza matakwa ya kifungu cha 6(1)(a) 6(1)(c) na 12(1)(c) vya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

“Mlalamikiwa wakati akitekeleza majukumu yake ya uongozi pasipo kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma alimpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimali II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu kabla ya kukamilika kwa uhamisho wa mtumishi.”

Bw. Ndatama ambaye ni mmoja kati ya mashahidi sita waliotoa ushaidi mbele ya Baraza alikiri kuwa tarehe 13.5.2023 alipandishwa cheo kutoka Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu wa Taasisi ya Uhasibu Arusha kabla ya taratibu za uhamisho kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii hazijakamilika.

Akitoa utetezi wake mbele ya Baraza kuhusu tuhuma hiyo, Prof. Sedoyeka alisema, “Sikuwa na mamlaka ya kumpandisha cheo Bw. Hakimu, isipokuwa nilimteua na kumpangia majukumu. Nilimtea kwa nia njema ya kuongeza ufanisi, kwa maelezo hayo, naomba Baraza lako lifute shtaka hili kwasababu nilitekeleza kwa nia njema.”

Kuhusu lalamiko la kufanya uamuzi wa kumnufaisha Bw. Hakimu, Prof alilieleza Baraza kuwa hakuhusika na mchakato wa kumuombea uhamisho Afisa huyo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii kwenda IAA.

“Mimi sikuhusika kwa namna yoyote ile, kuomba Bw. Hakimu kuja IAA kwa barua ya tarehe 9.3.2023 wakati mimi nililipoti IAA tarehe 13.3.2023, hivyo, sikusaini barua yake ya kuomba ahamie wala kukumbushia,” alieleza.

Kuhusu kuingilia zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza na kuifuta kinyume kifungu cha 59(2) cha Sheriai ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410, Mkuu huyo wa chuo cha IAA alilieleza Baraza kuwa Taasisi yake ilipohitaji viti katika kampasii ya Babati, alielekeza iundwe kamati kutembelea maeneo tofauti nchini kuangalia mzabuni mwenye uwezo.

“Nilielekeza Kitengo cha Manunuzi kumhusisha mzabuni Timber and Hardware Ltd na kamatii ilikuwa na mapendekezo yake,” alisema na kuongeza kuwa, “Baada ya mchakato kufanyika, nilipitia nyaraka za mchakato .wa ununuzi na kugundua kuwa kuna wazabuni wawili walikuwa na bei ndogo hawakushinda kwa madai ikuwa bidhaa zao hazikufikia viwango, watu hawa walishinda zabuni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, lakini kwetu hawakufikia viwango.”

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, taarifa ya ukaguzi ya vifaa husika haikuwa na maelezo ya kitaalam kukataa wazabuni waliokuwa na bei nafuu.

“Kwangu mimi hii ni dosari, nilikuwa kwenye mtanziko, nikaamua kufanya kikao na mwenyekiti wa Bodi ya zabuni tukakubaliana kuwa hata tukitangaza zabuni upya kwa kuwa nyaraka ni zilezile, hakuna jinsi atashinda Jaffery ING Sign Ltd aliyekuwa na bei kubwa.

Katika mchakato huo wa ununuzi wa viti na meza, jumla ya kampuni nne zilijotokeza ikiwemo Jaffery ING Sain Ltd iliyopata zabuni kwa shilingi 1,144,057,200/, Timber and Hardware Ltd 1,013,974,000.03, Vadeck Investment Company Ltd iliyoomba zabuni kwa shilingi 762,625,003/= na kampuni ya Mult Cable Ltd kwa gharama ya shilingi 1,163,527,200.03.

Prof. Sedoyeka alifuta zabuni kwa madai kuwa gharama ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya taasisi ya shilingi bilioni 1.274 Mchakato huo uliositishwa Juni, 2023, hadi sasa hivi bado haujakamilika.

Shahidi wa kwanza katika lalamiko hilo Bw. Ramadhani Mwanang’waka ambaye ni Afisa wa Sekretarieti ya Maadili alisema kuwa “baada ya kupitia nyaraka za zabuni tulibaini kuwa sababu za kusitisha zabuni hazikuwa miongoni mwa sababu zilizohainishwa kisheria.”

Kuhusu uhamisho wa ndani wa Bw. Robert Mwitango Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi, aliliambia Baraza kuwa, “Mimi ninayo mamlaka kumpangia shughuli nyingine mtumishi na uhamisho huu ulikuwa na nia njema kwa maslahi ya Taasisi.”

“Kitengo cha Unununzi kilikuwa na watumishi 10, Idara yamaktabab ilikuwa na upungufu wa watumishi na walitaka kufanyay ununuzi mkubwa wa vitabu, kutokana na uhaba mkubwa wa rasilimali watuu katika Maktaba mimi kuhamisha mtumishi niliona ni suala la kawaida katika taasisi,” alilieleza baraza.

Bw. Robert aliyefika mbele ya Baraza kutoa ushahidi, alikiri kuhamishiwa Idara ya Maktaba kwa barua aliyoipata tarehe 6.10.2023 ambayo haikubainisha majukumu ya kazi.

“Nililipoti Maktaba nakupangiwa kukaa mapokezi kukagua wanafunzi wanaoingia na kutoka ndani ya Maktaba.

Bw. Robert ni Afisa ugavi daraja la I ambaye ni Certified Procurement and Supply Professional (CPSP).

Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Emma Gelani alilieleza baraza kuwa .“uhamisho huu ulifanyika bila kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Utumishi wa Umma kinachowataka wakuu wa Taasisi kusimamia na kuhakikisha watumishi wanakuwa katika taaluma zao,” alisema na kuongeza kuwa, “kitendo hiki ni kinyume na Kifungu cha 6(2) cha Sheria ya Maadili.”.

Wakati akimsomea mashtaka mlalamikiwa, Wakili Gelani aliliambia Baraza kuwa, “Malalamiko hayo dhidi ya Prof. Sedoyeka ni kinyume na kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Maadili kinachomtaka kiongozi wa Umma kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria za nchi,” alisema.

Pia soma ~ Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka

Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili
Ingawaje kwa kiasi fulani amejitahidi kujibu baadhi ya hoja kwa usahihi, lakini bado kuna baadhi ya hoja ambazo anapaswa azitolee ufafanuzi wa kina zaidi, hususani kuhusu suala hili la Uhamisho wa Ndani wa huyo Mtumishi mwenye taaluma ya manunuzi kwenda Idara ya Maktaba.
1. Kama lengo lilikuwa ni kuongeza ufanisi kwenye Idara hiyo ya Maktaba, Je, ni kwa nini Mtumishi huyo aliyehamishwa hakupewa na Maainisho ya Majukumu yake Mapya (Job Descriptions mpya) wakati alipohamishiwa huko Maktaba??
2. Kwa kuwa Mtumishi huyo hakupewa New Job Descriptions, maana yake ni kwamba Majukumu yake yale yale ya awali aliyopangiwa na Mwajiri wake ndiyo anapaswa kuendelea nayo akiwa huko kwenye Idara mpya ya Maktaba alikohamishiwa. Sasa; Je, kwa nini Mtumishi huyo apangiwe majukumu mengine Mapya kabisa kinyume na taaluma yake aliyosomea na kinyume kabisa na majukumu yake ya awali ambayo alipangiwa na ambayo pia ndio sababu za Msingi zilizopelekea Mtumishi huyo kuajiriwa na hiyo taasisi? So Where is the purpose of Professionalism and Job Specialization for the Job-seekers or Employees?? Je, kulikuwa na sababu gani ya kumuajiri Mtumishi mwenye sifa hizo za taaluma ya Manunuzi wakati kazi zake au majukumu yake atakayopangiwa hayaendani na uhitaji wa taaluma hiyo?? Jambo hili ni kitendo cha hatari Sana endapo kama utalifanyia tathmini ya kina Sana.

Mathalani, Yaani Kama vile Utawala wa Hospitali ya Muhimbili Leo hii kwa kutumia njia za holela waamue kuwabadilishia majukumu ya kazi baadhi ya Madereva na kuwapangia Majukumu Mapya ya kazi za Udaktari wa Tiba ya Binadamu na kisha kuwaruhusu Madereva hao waanze kuingia kwenye Vyumba vya Upasuaji Wagonjwa ili waweze kuwafanyia Upasuaji (Surgery) wagonjwa wenye uhitaji wa huduma hiyo!
Ridiculous!
 
Hali uliyoeleza inaonyesha changamoto kubwa katika usimamizi wa rasilimali watu na ufanisi wa kazi katika taasisi. Hapa kuna baadhi ya maswali na mawazo ya kuzingatia:

1. Kukosekana kwa Maelezo ya Majukumu Mapya:
Ni muhimu kwa kila mtumishi kupewa maelezo ya majukumu yake mapya ili kuelewa wazi nini kinatarajiwa kutoka kwake. Kukosa maelezo haya kunaweza kusababisha kutokuelewana na mkanganyiko kuhusu majukumu yake.

Kwa maelezo hayo hapo juu,Prof. Eliamini Sedoyeka,anastahili kufukuzwa KAZI na kushitakiwa.

2. Mabadiliko ya Majukumu:
Ikiwa mtumishi anahamishiwa idara mpya, inapaswa kuwa na mantiki kuhusu majukumu ambayo atapewa. Kuteua majukumu yasiyohusiana na taaluma yake inaweza kuathiri ufanisi na morali, na hata kusababisha mtumishi kuhisi kutokuwa na thamani.

3. Umuhimu wa Utaalamu:
Kila mtaalamu anatarajiwa kutumia ujuzi na maarifa aliyoyapata katika masomo yake. Kutoa kazi zisizoendana na taaluma yake kunaweza kuondoa motisha na kuathiri ubora wa kazi.

4. Athari za Kitaaluma:
Kitendo cha kuteua mtumishi mwenye sifa fulani kisha kumpa majukumu yasiyohusiana na sifa hizo kinaweza kuathiri si tu mtumishi huyo, bali pia taasisi kwa ujumla. Hali hii inaweza kupelekea kupoteza wataalamu wenye uwezo na hatimaye kuathiri ufanisi wa kazi.

5. Mwanzo wa Mabadiliko:
Ni muhimu kwa waajiri kuzingatia uhusiano kati ya mahitaji ya kazi na sifa za mtumishi. Hii inahitaji tathmini ya kina kabla ya kufanya uhamisho au mabadiliko ya majukumu.

Kwa ujumla, kuna umuhimu wa kuweka wazi mawasiliano na kuelewa majukumu ya kila mtumishi ili kuhakikisha kuwa wanaweza kufanya kazi kwa ufanisi na kwa kutumia uwezo wao wa kitaaluma. Hali ya kutokuwepo kwa maelewano inaweza kuathiri si tu mtumishi mmoja bali pia ufanisi wa jumla wa taasisi.

Kwa maelezo hayo hapo juu, Professor anatakiwa awajibishwe kwa kupelekwa UDSM. akafundishe. Uongozi ni ni ziro.
 
Aisee kumbe uwa Kuna hili baraza la maadili lkn wakeup wa idara wanaishi kama miungu watu aisee
 

Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma imemfikisha mbele ya Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma Mkuu wa chuo cha Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamin Sedoyeka kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kumpandisha cheo Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu bila kuwa na sifa.

Tuhuma nyingine zinazomkabili ni kuingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza katika kampasi ya Babati kwa kuifuta bila kufuata utaratibu na kufanya uhamisho wa ndani wa mtumishi Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi.

Akiwasilisha mashtaka mbele ya Baraza tarehe 16 oktoba, 2024 Wakili Mkuu wa Serikali Bi Emma Gelani alilieleza Baraza kuwa mlalamikiwa anakabiliwa na mashtaka manne na ameshindwa kutimiza matakwa ya kifungu cha 6(1)(a) 6(1)(c) na 12(1)(c) vya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

“Mlalamikiwa wakati akitekeleza majukumu yake ya uongozi pasipo kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma alimpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimali II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu kabla ya kukamilika kwa uhamisho wa mtumishi.”

Bw. Ndatama ambaye ni mmoja kati ya mashahidi wanne waliotoa ushaidi wao mbele ya Baraza alikiri kuwa tarehe 13.5.2023 alipandishwa cheo kutoka Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu wa Taasisi ya Uhasibu Arusha kabla ya taratibu za uhamisho kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii hazijakamilika.

Kuhusu suala la zabuni, Bi Gelani alieleza kuwa mlalamikiwa aliingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza na kuifuta kinyume kifungu cha 59(2) cha Sheriai ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410.

“Kitendo hicho Mhe. Mwenyekiti ni kinyume na kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Maadili kinachomtaka kiongozi wa Umma kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria za nchi,”alisema.

Ilidaiwa mbele ya Baraza kuwa Prof. Sedoyeka alifuta zabuni kwa madai kuwa gharama ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya taasisi ya shilingi bilioni 1.274

Shahidi wa kwanza katika lalamiko hilo Bw. Ramadhani Mwanang’waka ambaye ni Afisa wa Sekretarieti ya Maadili alisema kuwa katika uchunguzi wao walibaini kuwa kampuni mbalimbali ziliomba zabuni hiyo.

Alizitaja kampuni hizi kuwa ni Jaffery ING Sain Ltd iliyopata zabuni kwa shilingi 1,144,057,200/ , Timber and Hardware Ltd 1,013,974,000.03, Vadeck Investment Company Ltd iliyoomba zabuni kwa shilingi 762,625,003/= jumla ya

“Baada ya kupitia nyaraka za zabuni tulibaini kuwa sababu za kusitisha zabuni hazikuwa miongoni mwa sababu zilizoainishwa kisheria,” alisema.

Kuhusu uhamisho wa mtumishi bila kufuata taratibu, Bi Gelani alilieleza Baraza kuwa Prof. Sedoyeka alifanya uhamisho wa ndani wa Bw. Robert Mwitango ambaye ni Afisa ugavi kutoka Kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda idara ya Maktaba tofauti na sifa zake za kitaaluma.

“Mhe. Mwenyekiti uhamisho huu ulifanyika bila kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Utumishi wa Umma kinachowataka wakuu wa Taasisi kusimamia na kuhakikisha watumishi wanakuwa katika taaluma zao,” alisema na kuongeza kuwa, “kitendo hiki ni kinyume na Kifungu cha 6(2) cha Sheria ya Maadili.”

Bw. Robert aliyefika mbele ya Baraza kutoa ushahidi, alikiri kuhamishiwa Idara ya maktaba kwa barua aliyoipata tarehe 6.10.2023 ambayo haikubainisha majukumu ya kazi.

“Niliporipoti Maktaba nilipangiwa kukaa mapokezi kukagua wanafunzi wanaoingia na kutoka ndani ya Maktaba.

Bw. Robert ni Afisa ugavi daraja la I ambaye ni Certified Procurement and Supply Professional (CPSP).

Mlalamikiwa ameyakana mashtaka yote manne na tarehe 17.10.2024 anatarajia kuwasilisha utetezi wake mbele ya Baraza.

Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma linasikiliza lalamiko hilo chini ya

Mwenyekiti Mhe. Jaji (Mst.) Rose Teemba na wajumbe wa Baraza Bw. Peter Ilomo na Bi Suzan Mlawi.

Profesa ajitetea:
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini, Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma, Honoratus Ishengoma amesema “Baraza limesikiliza utetezi wake (Prof. Sedoyeka), Mwenyekiti amesema baada ya kusikiliza pande zote mbili, litafanya hitimisho na ushauri utapelekwa kunakohusika.



============================ ======================​

BARAZA LA MAADILI LAHITIMISHA KUSIKILIZA TUHUMA ZINAZOMKABILI PROF. SEDOYEKA
Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma limehitimisha kikao chake cha siku mbili cha kusikiliza tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma zilizokuwa zikimkabili Mkuu wa chuo cha Taasisi ya Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka.

Kikao hicho kilichohitimishwa tarehe 17.10.2024 kiliongozwa na Mwenyekiti wa Baraza la Maadili Mhe. Jaji (Mst.) Rose Teemba akisaidiana na wajumbe wa Baraza Bw. Peter Ilomo na Bi Suzan Mlawi.

“Baraza litafanya hitimisho baada ya kusililiza pande zote mbili, ushauri utapelekwa kunako husika,” alisema Mhe. Teemba baada ya Prof. Sedoyeka kutoa ushahidi wake.

Prof. Sedoyeka alikuwa akikabiliwa na mashtaka manne anayodaiwa kutenda wakati akitimiza majukumu yake ya uongozi.

Mashtaka hayo kumpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimaliwatu daraja la II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu bila kuwa na sifa, kuwa na mgongano wa maslahi kwa kufanya uamuzi wa kumnufaisha Bw. Hakimu Ndatama, kuingilia mchakato wa zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza katika kampasi ya Babati kwa kuifuta bila kufuata utaratibu na kufanya uhamisho wa ndani wa Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi.

Akiwasilisha mashtaka mbele ya Baraza tarehe 16 Oktoba, 2024 Wakili Mkuu wa Serikali Bi Emma Gelani alilieleza Baraza kuwa mlalamikiwa anakabiliwa na mashtaka manne na ameshindwa kutimiza matakwa ya kifungu cha 6(1)(a) 6(1)(c) na 12(1)(c) vya Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.

“Mlalamikiwa wakati akitekeleza majukumu yake ya uongozi pasipo kufuata sheria, kanuni na taratibu za utumishi wa umma alimpandisha cheo Bw. Hakimu Ndatama kutoka Afisa Rasilimali II kuwa Mkuu wa sehemu ya Rasilimaliwatu kabla ya kukamilika kwa uhamisho wa mtumishi.”

Bw. Ndatama ambaye ni mmoja kati ya mashahidi sita waliotoa ushaidi mbele ya Baraza alikiri kuwa tarehe 13.5.2023 alipandishwa cheo kutoka Afisa Rasilimaliwatu II kuwa Mkuu wa sehemu wa Taasisi ya Uhasibu Arusha kabla ya taratibu za uhamisho kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii hazijakamilika.

Akitoa utetezi wake mbele ya Baraza kuhusu tuhuma hiyo, Prof. Sedoyeka alisema, “Sikuwa na mamlaka ya kumpandisha cheo Bw. Hakimu, isipokuwa nilimteua na kumpangia majukumu. Nilimtea kwa nia njema ya kuongeza ufanisi, kwa maelezo hayo, naomba Baraza lako lifute shtaka hili kwasababu nilitekeleza kwa nia njema.”

Kuhusu lalamiko la kufanya uamuzi wa kumnufaisha Bw. Hakimu, Prof alilieleza Baraza kuwa hakuhusika na mchakato wa kumuombea uhamisho Afisa huyo kutoka Wizara ya Maliasili na Utalii kwenda IAA.

“Mimi sikuhusika kwa namna yoyote ile, kuomba Bw. Hakimu kuja IAA kwa barua ya tarehe 9.3.2023 wakati mimi nililipoti IAA tarehe 13.3.2023, hivyo, sikusaini barua yake ya kuomba ahamie wala kukumbushia,” alieleza.

Kuhusu kuingilia zabuni ya ununuzi na ufungaji wa viti na meza na kuifuta kinyume kifungu cha 59(2) cha Sheriai ya Ununuzi wa Umma, Sura ya 410, Mkuu huyo wa chuo cha IAA alilieleza Baraza kuwa Taasisi yake ilipohitaji viti katika kampasii ya Babati, alielekeza iundwe kamati kutembelea maeneo tofauti nchini kuangalia mzabuni mwenye uwezo.

“Nilielekeza Kitengo cha Manunuzi kumhusisha mzabuni Timber and Hardware Ltd na kamatii ilikuwa na mapendekezo yake,” alisema na kuongeza kuwa, “Baada ya mchakato kufanyika, nilipitia nyaraka za mchakato .wa ununuzi na kugundua kuwa kuna wazabuni wawili walikuwa na bei ndogo hawakushinda kwa madai ikuwa bidhaa zao hazikufikia viwango, watu hawa walishinda zabuni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, lakini kwetu hawakufikia viwango.”

Kwa mujibu wa kiongozi huyo, taarifa ya ukaguzi ya vifaa husika haikuwa na maelezo ya kitaalam kukataa wazabuni waliokuwa na bei nafuu.

“Kwangu mimi hii ni dosari, nilikuwa kwenye mtanziko, nikaamua kufanya kikao na mwenyekiti wa Bodi ya zabuni tukakubaliana kuwa hata tukitangaza zabuni upya kwa kuwa nyaraka ni zilezile, hakuna jinsi atashinda Jaffery ING Sign Ltd aliyekuwa na bei kubwa.

Katika mchakato huo wa ununuzi wa viti na meza, jumla ya kampuni nne zilijotokeza ikiwemo Jaffery ING Sain Ltd iliyopata zabuni kwa shilingi 1,144,057,200/, Timber and Hardware Ltd 1,013,974,000.03, Vadeck Investment Company Ltd iliyoomba zabuni kwa shilingi 762,625,003/= na kampuni ya Mult Cable Ltd kwa gharama ya shilingi 1,163,527,200.03.

Prof. Sedoyeka alifuta zabuni kwa madai kuwa gharama ilikuwa kubwa kuliko bajeti ya taasisi ya shilingi bilioni 1.274 Mchakato huo uliositishwa Juni, 2023, hadi sasa hivi bado haujakamilika.

Shahidi wa kwanza katika lalamiko hilo Bw. Ramadhani Mwanang’waka ambaye ni Afisa wa Sekretarieti ya Maadili alisema kuwa “baada ya kupitia nyaraka za zabuni tulibaini kuwa sababu za kusitisha zabuni hazikuwa miongoni mwa sababu zilizohainishwa kisheria.”

Kuhusu uhamisho wa ndani wa Bw. Robert Mwitango Afisa Ugavi kutoka kitengo cha Ununuzi na Ugavi kwenda Idara ya Maktaba tofauti na sifa za kitaaluma za mtumishi, aliliambia Baraza kuwa, “Mimi ninayo mamlaka kumpangia shughuli nyingine mtumishi na uhamisho huu ulikuwa na nia njema kwa maslahi ya Taasisi.”

“Kitengo cha Unununzi kilikuwa na watumishi 10, Idara yamaktabab ilikuwa na upungufu wa watumishi na walitaka kufanyay ununuzi mkubwa wa vitabu, kutokana na uhaba mkubwa wa rasilimali watuu katika Maktaba mimi kuhamisha mtumishi niliona ni suala la kawaida katika taasisi,” alilieleza baraza.

Bw. Robert aliyefika mbele ya Baraza kutoa ushahidi, alikiri kuhamishiwa Idara ya Maktaba kwa barua aliyoipata tarehe 6.10.2023 ambayo haikubainisha majukumu ya kazi.

“Nililipoti Maktaba nakupangiwa kukaa mapokezi kukagua wanafunzi wanaoingia na kutoka ndani ya Maktaba.

Bw. Robert ni Afisa ugavi daraja la I ambaye ni Certified Procurement and Supply Professional (CPSP).

Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Emma Gelani alilieleza baraza kuwa .“uhamisho huu ulifanyika bila kuzingatia matakwa ya Kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Utumishi wa Umma kinachowataka wakuu wa Taasisi kusimamia na kuhakikisha watumishi wanakuwa katika taaluma zao,” alisema na kuongeza kuwa, “kitendo hiki ni kinyume na Kifungu cha 6(2) cha Sheria ya Maadili.”.

Wakati akimsomea mashtaka mlalamikiwa, Wakili Gelani aliliambia Baraza kuwa, “Malalamiko hayo dhidi ya Prof. Sedoyeka ni kinyume na kifungu cha 6(1)(c) cha Sheria ya Maadili kinachomtaka kiongozi wa Umma kutekeleza majukumu yake kwa kuzingatia Sheria za nchi,” alisema.

Pia soma ~ Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma yawasilisha malalamiko kuhusu Prof. Eliamini M. Sedoyeka

Majibu ya Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Prof. Eliamini Sedoyeka mbele ya Baraza la Maadili
Vipi sasa aliwajibishwa au alishinda??
 
Back
Top Bottom