Wahaya huwa mnatamani kujisifu hata ujingaujinga.Taifa Kuu la Kagera Leo hii tumepata pigo zito kuondokewa na Msomi, mpenda maendeleo na Mbunifu Profesa Dr. Erasmus Kaijage. Muda haitoshi kuelezea CV yake. Naambatanisha Kwa marejeo (reference).
*Binafsi Prof Kaijage, E. (PhD) alikua External examiner wa thesis yangu ya PhD. Nitamkumbuka daima.
**Poleni wana-Kagera.
NB: Taarifa zaidi tutazidi kutaarifiana zaidi.
Katuachia mpambano wa DP World!Waheshimiwa wana Kagera NASIKITIKA kuwajuza Leo hii tumepata pigo zito kuondokewa na Msomi, mpenda maendeleo na Mbunifu Profesa Dr. Erasmus Kaijage (PhD Sheffield) Muda haitoshi kuelezea CV yake. Naambatanisha Kwa marejeo (reference).
*Binafsi Prof Kaijage, E. (PhD) alikua External examiner wa thesis yangu ya PhD. Nitamkumbuka daima.
**Poleni wana-Kagera.
NB: Taarifa zaidi tutazidi kutaarifiana zaidi.
Ngumbaru mwenzetu kama hukusoma usichukie waliosoma na kufanikiwa. Haikusaidii Chochote zaidi ya maumivu zaidiWahaya huwa mnatamani kujisifu hata ujingaujinga.
Sidhani kama huwa unakielewa hata unachokicharaza.Unaelezea kuhusu kusoma magazeti au majarida ya Sani?Na ukikaa hapo kijijini kwenu huwa mnadhani kila muhaya ni msomi?Freaks!Ngumbaru mwenzetu kama hukusoma usichukie waliosoma na kufanikiwa
Ichukueni muondoke nayoTUNATAKA BANDARI ZETU
Watu wengi wa Pwani na Zanzibar hatujasoma Elimu dunia Sasa tukisikia wasomi tunajaa ghilbaSidhani kama huwa unakielewa hata unachokicharaza.Unaelezea kuhusu kusoma magazeti au majarida ya Sani?
Umefua madafu tayari au unaenda kucheza ngoma ya msusumio?Watu wengi wa Pwani na Zanzibar hatujasoma Elimu dunka Sasa tukisikia wasomi tunajaa ghilba