Mchambuzi,
..siwezi kuwalaumu sana for what they did btn 1984 to 1990.
..lakini baada ya kuchomoka frm the "noose" ya kunyimwa misaada sijaridhishwa na jinsi walivyoendesha uchumi baada ya hapo.
..kwa mfano sioni sababu ya kusaini mikataba 6 mibaya ya uchimbaji dhahabu. mikataba 2 au 3 ya kwanza ilikuwa inatosha kutuonyesha wapi tumekosea na hivyo kuirekebisha inayofuatia.
..vilevile who is preventing us frm reviving our industrialization program iliyokwama kutokana na ukata wa miaka ya 80?
..siwezi kuwalaumu sana for what they did btn 1984 to 1990.
..lakini baada ya kuchomoka frm the "noose" ya kunyimwa misaada sijaridhishwa na jinsi walivyoendesha uchumi baada ya hapo.
..kwa mfano sioni sababu ya kusaini mikataba 6 mibaya ya uchimbaji dhahabu. mikataba 2 au 3 ya kwanza ilikuwa inatosha kutuonyesha wapi tumekosea na hivyo kuirekebisha inayofuatia.
..vilevile who is preventing us frm reviving our industrialization program iliyokwama kutokana na ukata wa miaka ya 80?