Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
...na aulizwe Dk Hosea.
Huyo ni Msukuma ameshajua ajenda zenu za kuchafuana. Hawezi kukubali ujinga wenu.Kwan kutolea ufafanuz jambo la kisheria kweny vyombo vya hbr ni uropokaji? Kama Rais ni lazima awe awe anatoa briefs za masuala ya kisheria kadiri itapohitajika. Asifiche kweny kichaka cha kimya kimya.
Ujinga upi nimeainisha hapa? Be intelligent not a clown!!Huyo ni Msukuma ameshajua ajenda zenu za kumchafuana. Hawezi kukubali ujinga wenu.
Kila mtu mnataka awe mropokaji kama Tundu Lisu.Ujinga upi nimeainisha hapa? Be intelligent not a clown!!
Akae pembeni kwanza inatosha"....mimi siyo mtu wa kutaka sifa na vyeo.Kama ni cheo mimi ni mustaafu tena wa ngazi ya juu!
"....vilevile mimi siyo aina ya Rais wa TLS wa kutaka kila kitu ninachokifanya nijionyeshe nimefanya.Mimi siyo mropokaji kama wengine mlivyojaliwa (dongo kwa TL) na kupenda kujipendekeza."
"....wakili yeyote aliyewahi kuniletea tatizo nilitimiza wajibu na kwalo nilifanya kimya-kimya na hii ni kwa sababu sina tabia ya kujisifu huku nikiropoka ili tu nionekane mbele za watu!"
Dk Hosea Rais wa Tls huko CH.
Anataka achaguliwe na wanaCCM wenzakeKwahiyo tufanyaje?
Tundu lisu uabasheria aliupata kwa bahati mbaya fani halisi alitakiwa awe kiongozi wa ngoma ya kizaramo ile ya kusuta watu.Kila mtu mnataka awe mropokaji kama Tundu Lisu.
Tudai katiba mpya!!!Kwahiyo tufanyaje?
Sijawahi ona msukuma wa maana katika kudai haki. Shulemi tulikuwa tunawaogopa Sana, msiwashirikishe kwenye KUNJI, soonest atawasaaloti maana Ni waoga mnoHuyo ni Msukuma ameshajua ajenda zenu za kuchafuana. Hawezi kukubali ujinga wenu.
Kwani huyo hosea hana wajukuu alee,kaiba pesa za takukuru kavimbewa ashukuru ccm"....mimi siyo mtu wa kutaka sifa na vyeo. Kama ni cheo mimi ni mstaafu tena wa ngazi ya juu!
"....vilevile mimi siyo aina ya Rais wa TLS wa kutaka kila kitu ninachokifanya nijioneshe nimefanya. Mimi siyo mropokaji kama wengine mlivyojaliwa (dongo kwa TL) na kupenda kujipendekeza."
"....wakili yeyote aliyewahi kuniletea tatizo nilitimiza wajibu na kwalo nilifanya kimya-kimya na hii ni kwa sababu sina tabia ya kujisifu huku nikiropoka ili tu nionekane mbele za watu!"
Dkt. Hosea Rais wa Tls huko CH.
Wewe si umekwisha mtaja hapo juu, huyo Hosea aulizwe nini tena?...na aulizwe Dk Hosea.
Tundu lisu uabasheria aliupata kwa bahati mbaya fani halisi alitakiwa awe kiongozi wa ngoma ya kizaramo ile ya kusuta watu.
Wazaramo watani zangu kama mtu una kinyongo naye tafuteni Tundu Lisu mpelekeeni nauli ubelgiji aje aongoze nyimbo za kusuta huyo mtu una kinyongo naye!!