Prof. Hoseah: Mimi siyo Rais wa TLS mropokaji

Prof. Hoseah: Mimi siyo Rais wa TLS mropokaji

Mbona unapenda kulisha watu maneno? Ulifanya hivi kwa thread ya Bashiru na Mbowe pia!!

Mods wamezubaa sana, ilitakiwa uwe umepigwa ban kitambo sana. Kule reddit Kila hbr unayopost lazima uweke source au link sio hearsay!!!

Maxence Melo
Acha roho mbaya!

Hosea kaongea jana CH huko tweeter na hapapo mahali nimemlisha maneno.
 
"....mimi siyo mtu wa kutaka sifa na vyeo. Kama ni cheo mimi ni mstaafu tena wa ngazi ya juu!

"....vilevile mimi siyo aina ya Rais wa TLS wa kutaka kila kitu ninachokifanya nijioneshe nimefanya. Mimi siyo mropokaji kama wengine mlivyojaliwa (dongo kwa TL) na kupenda kujipendekeza."

"....wakili yeyote aliyewahi kuniletea tatizo nilitimiza wajibu na kwalo nilifanya kimya-kimya na hii ni kwa sababu sina tabia ya kujisifu huku nikiropoka ili tu nionekane mbele za watu!"

Dkt. Hosea Rais wa Tls huko CH.
Masuala yenye public interest hayapaswi kufanywa kimya kimya ukifanya hivyo public yaitakuelewa na hawatajua unachofanya hususan pale inapotokea hayo unayofanya kwa kificho yakakosa impact.
 
Mbona unapenda kulisha watu maneno? Ulifanya hivi kwa thread ya Bashiru na Mbowe pia!!

Mods wamezubaa sana, ilitakiwa uwe umepigwa ban kitambo sana. Kule reddit Kila hbr unayopost lazima uweke source au link sio hearsay!!!

Maxence Melo
....una roho ya "kunokolea" watu sana!
 
Tundu lisu uabasheria aliupata kwa bahati mbaya fani halisi alitakiwa awe kiongozi wa ngoma ya kizaramo ile ya kusuta watu.

Wazaramo watani zangu kama mtu una kinyongo naye tafuteni Tundu Lisu mpelekeeni nauli ubelgiji aje aongoze nyimbo za kusuta huyo mtu una kinyongo naye!!
YEHODAYA, hivi ile tenda uliyoomba ya kumuua Mh. Tundu Antiphas Lissu ilibuma? Au tenda nayo ilikufa baada ya mtoa tenda kutangulia mbele ya haki?
 
Are you sure? Mpka unaweka direct quotation wakati ni maoni Yako!!

Ukileta maoni Yako au mtazamo usiweke quotation kabisa inafanya ionekane huyo mtu kaongea exactly ulichoweka hapo wakati ni misleading kabisa.

Fake news zimefika hadi JF? ndio zilisusha hadhi ya Facebook na sasa rasmi JF itakua irrelevant kwa watu makini kuingia humu.

I rest my case
Una roho mbaya na ya "unoko!"

Hapo juu hujamsikiliza Daktari Hosea ama unapayuka tu?!!

Ieleweke wanoko tunaishi nao mtaani na kwalo siyo tusi bali sifa.
 
Alipigwa na kitu kizito sijui kama atarudi tena huko.
 
Ingia reddit au Quora ukiweka fake news mods wanaifuta na hta kupelekea jukwaa Zima kuwa suspended. Huwezi ona upuuzi kama wa humu JF kujaza speculation na fake news!!

Wewe nashangaa umepotosha tokea Uzi wa Bashiru..... Na watu wakamshambulia mzee wa watu kumbe ni speculation
...chagua kuwa mwalimu na si kuwa mnoko!

Mwanamme mzima unaombea ban mtu?!!!
 
Sio lazima uongee ndo ijulikane umefanya jambo.vitendo vyenyewe vitajieleza.Ukiwa na uwezo mkubwa wa kusaidia jamii yako kwa nafasi unayoipata kwa vyovyote vile chochote utakachokifanya impact yake lazima iwe kubwa na iguse jamii.sasa huyu itakua ni mtu wa kawaida aliyebahatika kupata nafasi kubwa ndo maana hakuna jambo kubwa lililosikika kati ya aliyoyafanya.Kwahiyo anaweza akapumzika wakaendeleza wengine alipoishia vinginevyo matendo yake yatazungumza.
 
Una roho mbaya na ya "unoko!"

Hapo juu hujamsikiliza Daktari Hosea ama unapayuka tu?!!

Ieleweke wanoko tunaishi nao mtaani na kwalo siyo tusi bali sifa.
Anamu address Lissu?? Unaforce Kila kitu kiwe against Lissu na upinzani. Unapata faida Gani kupotosha Umma?

Kwani ukitoa taarifa sahihi unapungukiwa nini?
 
...chagua kuwa mwalimu na si kuwa mnoko!

Mwanamme mzima unaombea ban mtu?!!!
Yes turudishe heshima ya JF ni lazima sacrifices zifanyike especially watu incompetent kama wewe.

Mtu ana address panelist wenzake unaigeuza kuwa anamjadili Lissu!! Hapo Lissu anaingiaje?
 
Yes turudishe heshima ya JF ni lazima sacrifices zifanyike especially watu incompetent kama wewe.

Mtu ana address panelist wenzake unaigeuza kuwa anamjadili Lissu!! Hapo Lissu anaingiaje?
...babu ee endelea na 50 zako
 
Hana jipya kama sio mpenda vyeo akalee wajukuu kama anao.
Awaachie wengine nao wapate vyeo na kuropoka.
Si ndio hapo sasa, hataki vyeo Lakini yuko kwenye cheo wakati alishastaafu? Yeye akubali tu kuwa hana mvuto asitake kuzungusha maneno wakati tatizo ni mvuto.
 
Kwan kutolea ufafanuz jambo la kisheria kweny vyombo vya hbr ni uropokaji? Kama Rais ni lazima awe awe anatoa briefs za masuala ya kisheria kadiri itapohitajika. Asifiche kweny kichaka cha kimya kimya.
Kwani umewahi kuhudhuria huko na ukakuta hatimizi hayo?
 
Back
Top Bottom