Chigwiyemisi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 531
- 228
Ni mipango maalum imepangwa ili kuunga mkono hotuba ya rais jakaya na kumpotosha j.warioba ili ionekane serikali 3 kumbe haina maana., kama shivji alikuwa na cha kusema juu ya rasimu 2 ya katiba ilikuwa pale mapema tu lakini ni mipango ya kulishizwa maneno na ajenda zao tu ccm, taaluma yk shivji haikumsaidia saivi ameonekana wazi ni mtu wa kupotosha na ameshadharaulika tayari, kule Zanzibar tunamjuwa vyema sn
Mkuu.
Halikuwa Kongamano la vyuo vikuu.
Rather lilikuwa kongamano la wachumia tumbo lililoratibiwa na CCM na kupigiwa chapuo na akina Pasco
Chagadema bana! mtu akiwa na wazo tofauti na nyinyi basi mnampa kila jina baya!
Ni mipango maalum imepangwa ili kuunga mkono hotuba ya rais jakaya na kumpotosha j.warioba ili ionekane serikali 3 kumbe haina maana., kama shivji alikuwa na cha kusema juu ya rasimu 2 ya katiba ilikuwa pale mapema tu lakini ni mipango ya kulishizwa maneno na ajenda zao tu ccm, taaluma yk shivji haikumsaidia saivi ameonekana wazi ni mtu wa kupotosha na ameshadharaulika tayari, kule Zanzibar tunamjuwa vyema sn
Ukweli daima unauma sana shivji kasema kweli tena kweli iliyokali.
Shivji kazungumza ukweli mtupu shida ya warioba alikuwa anapotosha akidhani hakuna watu wanaojua haya mambo sasa anazidi kuzodolewa.
Yote sawa tu, ni maoni yake. Hata warioba alitoa maoni.
Ni mipango maalum imepangwa ili kuunga mkono hotuba ya rais jakaya na kumpotosha j.warioba ili ionekane serikali 3 kumbe haina maana., kama shivji alikuwa na cha kusema juu ya rasimu 2 ya katiba ilikuwa pale mapema tu lakini ni mipango ya kulishizwa maneno na ajenda zao tu ccm, taaluma yk shivji haikumsaidia saivi ameonekana wazi ni mtu wa kupotosha na ameshadharaulika tayari, kule Zanzibar tunamjuwa vyema sn