Chigwiyemisi
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 531
- 228
Kitendo cha kongamano kurushwa live na TBC kilinipa mashaka makubwa na sikupenda tena kuangalia kongamano hilo sababu nilielewa kabisa ni moja ya mipango madhubuti ya CCM.. Inatia kichefu chefu sana kwa Prof. kutumiwa. Lakini yote yana mwisho..