SINA nia mbaya na msomi huyu nguli wa mambo ya sheria hapa nchini ila elo nimeonesha wasiwasi wangu juu ya uelewa wake wa mambo ya kisheria hasa kwa tafsiri yake ya dhana ya dola na nchi, wasiwasi wangu uliibuka ple aliposema kuwa maana ya nchi yaani country katika katiba ya zanznibar linamanisha dola hasa kwa kutumia tafiiri ya kingereza akihusisha state ambayo kwa kiswahili ni taifa likiwa na maana nchi ikiwa na utawala sovereignty state huyu mzee leo ajatutendea haki hasa anapo chukua dhana ya utawala na kuifanya nchi, rasmu ya warioba inazungumzia wazi dhana ya nchi kuwa tanzania huku ikionesha utawala wa nchi ikiuweka katika sehemu kuu tatu yaani serikali kuu kama symbol ya muungano ikiwa na mambo machache sana, na serikali mama wa muungano mbili kwa maana ya serikali ya tanganyika na zanzibara na katoa sababu zote rejea randama ya rasimu, hotuba ya mwenyekiti wa tume!
Kitu kingne ni hoja mpya na za upotoshaji juu kukataa dhana ya jina na nchi ya tanganyika unafiki wa unaofanywa na watu mchana kweupe kuwa tangnyika ilikufa huku tukiendelea kuyaishi maisha ya kitangayika kwa sura ya bandia tanzania...! Swali la kufikirisha je uhuru wa ila 9 december tunao sherekea ni wa tanganyika au tanzania na kama ilikwosha kufa tunasherekea nini?
Mwisho spendi kuwachosha, ni nani atafuta historia ambayo haichagui matukio mazuri au mabaya ila hutegemea kutokea kwa matukio ambayo ndiyo chimbuko na mwanzo wake, anayedai tanganyika ni ukoloni kwasababu tu kuwa jina lilitokana na wakoloni atwambie kuhusu majina ya nchi yeyote duniani ambayo haikutokana na ukoloni. na kisha atuchambulie etimology ya neno tanzania kama halina element ya tanganyika mnayokataa kuwa ni jina la wakoloni, akiependa aende mbali zaidi atwambie maana ya SIWA rungu la bunge na atweleze lina maana gani! na kwa tanzania lina wakailisha nini!
Asanteni tujadili bil jaziba!