Prof. Issa Shivji bado tunahitaji Tanganyika huru

Prof. Issa Shivji bado tunahitaji Tanganyika huru

Yericko Nyerere Watanzania wanapenda kuwasikiliza na kuwaelewa na kuwaamini pia hupenda kuwapuuza wasomi pale tu wanapo fanya mambo ya kijinga.
Kwa kauli kama ya Shvij ni ya kuonyesha dhahiri kwamba bado hajatambua maana ya demokrasia na upana wake,bado hajafahamu maana ya Sauti ya wengi ndio sauti halali;
 
Siyo tu Wakishamtumia Watamwacha Huru Ninavyowajua Rama Ighondu Atatakiwa Tena Kumaliza Ile Shughuli Yetu Ya Kumsengodo Mvungi AU Kumkubenea AU Kumlimboka AU Kumkibanda.

Na ikionekana kuwa kwa sababu yake zanzibar watakosa mamlaka kamili ntafurahi kwani najua vikopo vya tindikali anavyo kwenye sura yake ya kihindi
 
Muda wa maoni ulikwisha siku nyingi kwa msomi kutoa maoni yake leo huku ni kukosa mwelekeo


Hata hao wasomi waliomsikiliza walipaswa wamuulize maswali kadhaa, lakini nadhani hadhira iliyoalikwa ilipangwa, chombo cha habari chenyewe kinalalamikiwa, unategemea nini?
 
Mjadala wa kipumbavu uliotolewa na mtu asiyejielewa shivji umechukua picha ya tofauti,watanzania wamesema awaombe samahani kwa upuuzi aliosema,ukawa nje ya bunge wamemdhalau wametambua alitumwa na ccm,ndugu zangu wajinga kama hawa ndiyo chanzo cha machafuko nchini,andika neno x kumpinga msomi huyu mpuuzi asiye na mapenzi mema na tanganyika huru.
 

Attachments

  • 1396335793449.jpg
    1396335793449.jpg
    9.3 KB · Views: 922
Kama wa Zanzibari wanazingua Muungano Tuachane nao tuungane na MALAWI na KONGO tutapata jina zuri tu badala ya TANZANIA sasa tutaitwa(------) YaaniMA => Malawi,TA => Tanganyika,KO => Kongo.Kwahyo itakuwa ni JAMHURI YA MUUNGANO WA MA.TA.KO.Au we unaonaje MTU wangu..!!?

BTW huu Upuuzy wako nimeona umepost Tanuru la Frikra..we jamaa ni hazikutoshi na hujui kujenga hoja zaidi ya matusi!
 
Ni kweli kabisa coz we believe that academicians(doctors and professors) have to be vry rational when they talk especially to the public lkn Prof. Shivji cjui anawaza nn na kweli mpaka leo namshangaa alivosema kuwa Zanzibar ni dola na si nchi where did he get that?
 
Kaka ulivoanza ulianza vzur sana na inaonesha una uwezo wa kuchangia na kujenga mada kama ukiamua kufanya hvo na kuacha masikhara, honestly u have a potential
 
Vijana tusikubali ktumika na wasomi,tujikumbushe huko Nyuma kabla ya uhuru vijana ndio waliopigania Uhuru,leo hii iweje tutengwe na kuonekana kama hatuna tija maamuzi yetu kupuuzwa? Tusimamie vyema resilimali zetu kulinda taifa letu,
Tusiwabeze wanaotaka serekali mbili tuwasikilize, na tuwajibu kwa hoja bila kutukana yoyote,
Kila mmoja wetu anafahamu kilio cha serekali tatu hakijaanza jana wala juzi ni kilio cha miaka mingi ni uvumilivu wa muda mrefu sana,sasa uvumili ukifika mwisho na hutujafanikiwa basi lolote laweza kuibuka katika taifa nimezaliwa ni kakuta babu na bibi, baba na mama wakiuliza tanganyika sasa ni wazee wote mimi lazima niipata tanganyika yetu,bila kujali madhara tutakayoyapata kwa kwa sasa tulipo kuna kila dalili za kupiga maoni ya watanzania walio wengi,Basi lazima tuhakikishe tunayetetea maoni yetu,
Bunge la katiba mmepewa madara lakini kwa hili la sura ya Sitta msibadilishe bali boresheni tu,

 
Usomi wamtu yoyote yule dunia hueshimiwa na pia usomi wake upuuzwa na kuonekana ujinga haya yote msomi anaweza kuyataka mwenyemwe.

Inashangaza Shvji ambye alikuwa na msimamo na alitamka mwenyewe kuhusiana na Mabadiliko ya katiba ya Zanzibar mwaka 2010 kuwa yamevunja katiba ya JMT leo amegeuka nakusema mabadiliko hayo hayajavunja katiba ya JMT.

Shivji unaenda mbali zaidi pale anaposema kuwa serikali tatu zitavunja muungano.

Shivji anakwenda mbali zaidi na kusema Zanzibar kuwa na bendera na nyimbo sio kosa.

Msomi huyu anafananisha mashirika ya nje kuwa na bendera na nyimbo zao huku ni kukosa uwelewa wa haya mambo.
Shivji anakwenda mbali akisema Zanzibar hawana makosa.

Tunafahamu Zanzibar hawana makosa wenye makosa ni serekali ilioruhusu kuvunja katiba.

Kumbuka haya Prof Shivji
Kama Zanzibar wana nyimbo na bendera yao basi na sisi Tanganyika,
1. Tunahitaji Nyimbo na Bendera,
2. Tunahitaji Katiba ya Tanganyika Kama ilivyo ya Zanzibar
3. Tunahitaji Bunge letu lisilo wahusisha wazanzibari,
4. Tunahitaji vikosi vya ulizi kama Zanzibar,
5. Tunahitaji Rais na Makamu wetu kama Zanzibar
6. Tunahitaji mamlaka kamili kama Zanzibar,
7. Tunahitaji kujua bajeti ya Tanganyika yetu,
8. Tunahitaji Vyuo vikuu vya Tanganyika,
9. Tunahitaji haya yote kwa kuwa wezetu wanayo kwani leo sisi mtufiche kwa mwavuli wa muungano.

Ikiwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar basi neno Tanganyika liko wapi?

Hitimisho;
Napenda muungano Wenye Usawa pande zote za Muungano,Wenye kutuleta pamoja kama Taifa Huru lenye kuheshimu uhuru wa upande mwingine;

Prof Shvji na elewa wajua watanganyika tumenyanyaswa bila kujijua, ukoloni ndani ya nchi ni hatari;

Kinachonisikitisha Nondo kama hizi Tanganyika hatuzifahamu,Je elimu kama hii huku Tanganyika watapataje elimu hii;Je tufanye nini tunaitaka Tanganyika yetu.
 
nataka kukuowa mrembo

tutawaenzi wale wale wote waliomwaga damu zao kupigania utu na nchi ya tanganyika. Nyerere alibadili historia ili ionekane kama vile yeye ndiye aliyeanza kudai uhuru wa mtanganyika na ulipopatikana akaona kama nchi ni ya kwake mwenyewe akaacha watu kama akina shivj ambao hawana eneo la kutambika la asili kuiyumbisha nchi na kuwayumbisha viongozi kwa undumilakuwili wa huyu muhindi toka india na kutumia zanzibar kama njia ya kuivamia tanganyika. Hana uchungu na tanganyika. Damu ya dr. Mvungi ni chachu ya kuidai tanganyika kama sio leo basi ni kesho.
 
Alishiriki vyema kuhiaribu rasimu,aliweza hata kuyakataa maandishi yake kwny vitabu;
 
Back
Top Bottom