Usomi wamtu yoyote yule dunia hueshimiwa na pia usomi wake upuuzwa na kuonekana ujinga haya yote msomi anaweza kuyataka mwenyemwe.
Inashangaza Shvji ambye alikuwa na msimamo na alitamka mwenyewe kuhusiana na Mabadiliko ya katiba ya Zanzibar mwaka 2010 kuwa yamevunja katiba ya JMT leo amegeuka nakusema mabadiliko hayo hayajavunja katiba ya JMT.
Shivji unaenda mbali zaidi pale anaposema kuwa serikali tatu zitavunja muungano.
Shivji anakwenda mbali zaidi na kusema Zanzibar kuwa na bendera na nyimbo sio kosa.
Msomi huyu anafananisha mashirika ya nje kuwa na bendera na nyimbo zao huku ni kukosa uwelewa wa haya mambo.
Shivji anakwenda mbali akisema Zanzibar hawana makosa.
Tunafahamu Zanzibar hawana makosa wenye makosa ni serekali ilioruhusu kuvunja katiba.
Kumbuka haya Prof Shivji
Kama Zanzibar wana nyimbo na bendera yao basi na sisi Tanganyika,
1. Tunahitaji Nyimbo na Bendera,
2. Tunahitaji Katiba ya Tanganyika Kama ilivyo ya Zanzibar
3. Tunahitaji Bunge letu lisilo wahusisha wazanzibari,
4. Tunahitaji vikosi vya ulizi kama Zanzibar,
5. Tunahitaji Rais na Makamu wetu kama Zanzibar
6. Tunahitaji mamlaka kamili kama Zanzibar,
7. Tunahitaji kujua bajeti ya Tanganyika yetu,
8. Tunahitaji Vyuo vikuu vya Tanganyika,
9. Tunahitaji haya yote kwa kuwa wezetu wanayo kwani leo sisi mtufiche kwa mwavuli wa muungano.
Ikiwa Tanzania ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar basi neno Tanganyika liko wapi?
Hitimisho;
Napenda muungano Wenye Usawa pande zote za Muungano,Wenye kutuleta pamoja kama Taifa Huru lenye kuheshimu uhuru wa upande mwingine;
Prof Shvji na elewa wajua watanganyika tumenyanyaswa bila kujijua, ukoloni ndani ya nchi ni hatari;