Prof Janabi ataja sababu Watu kuzeeka mapema

Prof Janabi ataja sababu Watu kuzeeka mapema

Huyu naye sijui amepewa ajira ya muda mfupi na watawala, ya kuwa mshereheshaji! wakati huu nchi inapoandamwa na madudu ya kila aina!!
 
Tunawasihi Media zetu.
Huyo mzee msimpe airtime maana hajui kama anatumika kisiasa na anaporomosha hadhi ya taaluma yake.

Muacheni atumie sosho media zake na za wale wauza viatu.

Nchi ipo kwenye mkwamo na perhaps msiba halafu anajitokea mtu kumislead jamii kwa ndoto na ego zake
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema mtindo mbaya wa maisha na kula vyakula visivyofaa, inachangia kwa kiasi kikubwa watu kuzeeka mapema.

Profesa Janabi ameyasema hayo Jumanne Februari 20, 2024 wakati akizungumza na vyombo vya habari.

Amesema watu hawafi kwa sababu ya uzee, lakini wanakufa kwa sababu ya magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na mtindo wa maisha.

“Sijui kama kuna mtu amewahi kumuona mtu amekufa kwa sababu mzee. Wengine Mungu aliwapa uhai mrefu unamuona kabisa huyu ana afya yake. Leo hii ninyi mnafahamu unaweza kukutana na mtu ana miaka 40 na mwingine miaka 30 ukadhani yule wa 30 ndiyo ana miaka 45 kumbe amezeeka mapema kutokana na mtindo mbaya wa maisha ikiwamo ulaji usiofaa,” amesema Profesa Janabi.


Chanzo: Gazeti la mwananchi
________________
 
Wasomi wa Afya kutoa taarifa za Afya ni kawaida sana wapo wengine E TV wanaongelea Afya ya binadamu kila kukicha cha kushangaza Prof wetu akitoa taarifa Wanaanchi wanakua waoga.
 
Hakuna kitu kitadumu milele katika huu ulimwengu, watu wengine wana majaliwa yao ila sio kuwa wanafuata kanuni kama asemavyo.

Hata yeye anaweza kuondoka akamuacha mwinyi na musuguri wakiendelea kudunda.
 
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema mtindo mbaya wa maisha na kula vyakula visivyofaa, inachangia kwa kiasi kikubwa watu kuzeeka mapema.

Profesa Janabi ameyasema hayo Jumanne Februari 20, 2024 wakati akizungumza na vyombo vya habari.

Amesema watu hawafi kwa sababu ya uzee, lakini wanakufa kwa sababu ya magonjwa mbalimbali yanayosababishwa na mtindo wa maisha.

“Sijui kama kuna mtu amewahi kumuona mtu amekufa kwa sababu mzee. Wengine Mungu aliwapa uhai mrefu unamuona kabisa huyu ana afya yake. Leo hii ninyi mnafahamu unaweza kukutana na mtu ana miaka 40 na mwingine miaka 30 ukadhani yule wa 30 ndiyo ana miaka 45 kumbe amezeeka mapema kutokana na mtindo mbaya wa maisha ikiwamo ulaji usiofaa,” amesema Profesa Janabi.


Chanzo: Gazeti la mwananchi
________________
IMG-20240222-WA0083.jpg
 
Naona propaganda za kutuhadaa wananchi dhidi ya ukosefu wa sukari, umeme, maji na Us dollar zinaendelea.

Hakika wamejipanga kikamilifu.
Kesho atasema matumizi ya Dolla sio salama kwa afya za watanzania[emoji2]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
  • Kicheko
Reactions: K11
Huyu katumwa na CCM watu wasijadili issue ya umeme wajadili matamko yake.
 
Mtu anaongea kitaaluma, lakini mibulula inaleta pumba za vijiweni na mataputapu ya chobisi

1708898957183.png
 
Back
Top Bottom