Prof. Janabi: Chama cha Figo Tanzania kitawasilisha pendekezo la kuvuna Figo za Marehemu

Prof. Janabi: Chama cha Figo Tanzania kitawasilisha pendekezo la kuvuna Figo za Marehemu

Mkuu,Duniani kuna watu ambao wanaitwa ORGAN Donors ambao wanaamua wenyewe kwa hiyari yao wakiwa hai Kwamba iwapo watakufa basi Viungo vyao vinakuwa Donated.Mfano Mtu amepata ajali kubwa au naugua ugonjwa ambao ni terminal kama Cance lakini haujaathiri FIGO yake anaamua kujitolea FIGO yake ili mlevi mmoja aendelee kudunda na kula maisha kwani kuna ubaya GANI hapo?
Jambo hili halina ubaya kwani dhumuni na malengo ni kuokoa uhai na kuboresha maisha maana maradhi ya figo yanasumbua Sana....

Mashaka na hofu ya wadau ni kuwa tunafahamiana namna ambavyo taasisi zetu zinavyofanya kazi katika mlango wa rushwa.......hili jambo la khiyari litageuzwa kuwa biashara matokeo yake watu wanaweza kufoji nyaraka ili tu ahalalishe kuuza FIGO la ndugu yake kama donor....
 
Mimi naona kama wakifikia kukubaliana hili basi FIGO la iwekwe kama sehemu ya mirathi kwa mwenye nayo ili hata akifa wanafamilia wanufaike walau.....
 
Jambo hili halina ubaya kwani dhumuni na malengo ni kuokoa uhai na kuboresha maisha maana maradhi ya figo yanasumbua Sana....

Mashaka na hofu ya wadau ni kuwa tunafahamiana namna ambavyo taasisi zetu zinavyofanya kazi katika mlango wa rushwa.......hili jambo la khiyari litageuzwa kuwa biashara matokeo yake watu wanaweza kufoji nyaraka ili tu ahalalishe kuuza FIGO la ndugu yake kama donor....
Mkuu umewaza mbali sana na uko sahihi ila sasaa tukatae Jambo zuri kama hilo la kuokoa UHAI?
 
Hata nywele yangu isibaki hospital 🤣🤣.nitoke kama nilivyoingia.
Hivi ndugu wa marehemu wamegharamika kumtibu ndugu yao.pesa zimewatoka mmewakamua aswaa.baada unakuja kuwaletea habari za ku donate figo kwa maneno matupu watakuelewa?
Wosia wako uheshimiwe mkuu tuanzishe chama chetu kiitwe NFZ (Nabaki na figo zangu) na ukae ukijua tushakupa u weka hazina
 
Mkuu umewaza mbali sana na uko sahihi ila sasaa tukatae Jambo zuri kama hilo la kuokoa UHAI?
Nadhani kinachotakiwa ni kuliwekea mipango au utaratibu mzuri ili kufunga hiyo mianya ya wajanja wajanja....
 
TISs wajiandae kuandaa kitengo Cha kushinda makaburini japo wapo ila wawe kivingine
 

Chama cha Figo nchini kimejiandaa kupeleka mapendekezo Serikalini kuanzisha uchukuaji wa Figo kwa marehemu, ili kuongeza idadi ya wapandikiziwaji kwani wengi wanashindwa kumudu kutokana na uchache wa watoaji figo hizo.

Hayo yamesemwa na Mkurugenzi mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi, kwenye maadhimisho ya siku uchangiaji viungo Duniani leo Hospitalini hapo.

Source: EATV

MY TAKE: Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.
PROF JANABI UNAKOSEA SANA, HAYA MASWALA ACHANA NAYO HARAKA, WAGONJWA WATAUWAWA KWA MAKUSUDI ILI FIGO ZICHUKULIWE. PROF UKIENDELEA NA HAYA MANENO BASI UTALAANIKA. MASWALA YA UGONJWA NI SENSITIVE SANA NA KAMA HUNA MANENO YA BARAKA YA KUZUNGUMZA KWA WANANCHI BASI VYEMA UKAWA KIMYA
 
Back
Top Bottom