Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa,hapo lazima ndugu wapewe helaHili jambo lina ukakasi kidogo. Unapochukua Figo ya marehemu alafu ukaitumia kupata hela alafu ndugu wa marehemu mkashindwa kuwapooza hyo sio sawa, mnakuwa mnawaibia.
Hakika muungwana.....Mkuu Wala usiende maili buku mbele jiulize tu kwanini damu tunauziwa na Ili Hali Kuna watu wanajitolea Bure kabisaa damu Yao?
Lini umeenda hospital ukakuta damu zipo za kutosha na wanatoa Bure?
Tz Nchi yetu tunaijua hii damu tu inauzwa sembuse Figo!!!Hakika muungwana.....
Hili suala linaweza kuwa na nia njema lakini kwa tunavyojuana waTanzania linaweza kufungua mlango mwingine wa maafa.....
Unashtukia ndugu yako ametolewa figo imeishauzwa......
Sahihi, hili jambo linaweza kuwa maafa makubwa katika jamii kama hii yetu.Nahs harufu ya human organ trafficking(not sure of the spelling)... hapa tanzania itashika kasi.
Hivi unajua hadi ili jambo kufanyika ni mpaka consent ya muhusika ? Ni kama kutoa Damu kwani Hospitali wanakushikia Bunduki utoe au unajipeleka ?
MY TAKE: Kwa namna yoyote hali hii ikipita inaweza kuleta mtafaruku kwenye kuvuna hizo FIGO kwa marehemu au watu kumaliziwa wakiwa wodini ili wawahishe FIGO kwa wahitaji.
Hata kwa nchi zinazoruhusu organs donation haziruhusu organ business..., huwezi kuuza organs zako its illegal all over the worldNahs harufu ya human organ trafficking(not sure of the spelling)... hapa tanzania itashika kasi.
Kama ni utashi wa mtu kufanya hivyo basi usiite upuuzi......Hivi unajua hadi ili jambo kufanyika ni mpaka consent ya muhusika ? Ni kama kutoa Damu kwani Hospitali wanakushikia Bunduki utoe au unajipeleka ?
Hence kinachohitajika na cha maana wala sio muswada Bungeni bali ni Elimu kwa wananchi ili waone umuhumi na kufanya hili jambo.., Ni upuuzi kufukia viungo wakati vinahitajika kwa wengine waliopo hai
Hakuna mtu anayelazimishwa ila ndio hivyo zamani watu walikuwa wanazikwa na wafalme wakiamini kwamba wataenda kuwafanyia kazi huko wanapokwenda..., ilikuwa utashi wao baadhi ila mwisho wa siku tunajua kwamba haikua sahihi...Kama ni utashi wa mtu kufanya hivyo basi usiite upuuzi......
Sasa wakifanya hivyo itakuwa ni Jinai kama Jinai zote zilivyo..., sababu watu wanaweza kutumia visu kuua watu hatuwezi kuacha kutengeneza vitu ili vitusaidie kukata vitunguu...Kuwa ni khiyari ya mtu akufanyi watu tusitoe maoni kwa kuwa sote tunajua namna ambavyo mambo yanaendeshwa hapa nchini.......watu wanaweza kufoji vyeti wakati umezidiwa na huna kauli wakauza viungo vyako bila ridhaa yako
Unafikiri Figo hua inanyofolewa kirahisi tu kana vile Kukwapuliwa simu yako Kariakoo?Unashtukia ndugu yako ametolewa figo imeishauzwa......
Naona wamepata dili mahaliAh kabisa mambo ya kulazimisha kudonate wapi na wapi
Ova
Naanza kumpinga mwenyewe hapa hapa.
Wazo lake ni jema sana sema tumegumbwikwa na ufisadi na uroho mnoo
Imagine ni lini umeenda hospital ukaptiwa damu Bure?
Kila Leo watu wanajitoa damu Bure lakini ukienda unauziwa Tena Hela ndefu!!
Hii Nchi hapana Wacha nizikwe na viungo vyangu vyote tu hawana utu.
Nani akupe figo yake bure.?Ww kwanza unakunywa pombe, unatumia dawa za mitishamba kwa hyo figo zako zinahitaji repair so huwez kuwa donor 😂 labda ww ndo unahitaji usaidiwe figo
Sina maana hiyo.... namaanisha ukiritimba na matendo ya rushwa kwenye suala hilo.......anaweza mtu akafoji vyeti vya ndugu yake akisema ameamua kuvuna figo yake ili aziuzeUnafikiri Figo hua inanyofolewa kirahisi tu kana vile Kukwapuliwa simu yako Kariakoo?
Umeeleweka mkuu.Sina maana hiyo.... namaanisha ukiritimba na matendo ya rushwa kwenye suala hilo.......anaweza mtu akafoji vyeti vya ndugu yake akisema ameamua kuvuna figo yake ili aziuze