Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa. Sasa ni njia gani nzuri ya kudai deni la matibabu lililoachwa na maiti? Au mtu asipewe huduma mpaka awe amelipa?
Hata sijui kakataa nini na kakubali nini hapo.Same thing
CCM Oops Ikataliwe Popote Paleyote hayo ni umaskini kwa wanachhi ulioletwa na ccm
WHO utawajibu haya majibu😕Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.
Hafai Janabi Hata Kwa Kulumangia, Ana Jibu UkakasiWHO utawajibu haya majibu😕