Prof. Janabi hakuna mwili unaozuiwa kwa kushindwa kulipia gharama za mochwari ila ni kwa kushindwa kulipa madeni ya gharama za matibabu

Prof. Janabi hakuna mwili unaozuiwa kwa kushindwa kulipia gharama za mochwari ila ni kwa kushindwa kulipa madeni ya gharama za matibabu

Amefafanua vizuri sana:

Kwamba hakuna maiti inayozuiwa, ni watu wanapotosha ili kutafuta public sympathy.

Kama ndugu wameshindwa kulipia gharama alizotumia marehemu pindi akiwa hai, basi utaratibu ni kuleta vielelezo ikiwamo barua ya mjumbe wa mtaa, balozi, au mwenyekiti kuthibitisha.

Tatizo wanaloface ni kwamba watu wengi hizi taratibu watu hawataki kuzifuata.
We nae huna akili vilevile
 
Back
Top Bottom