Marehemu ni mlipa mlipa kodi wenu, mpk wanashindwa au wanavutana kulipia ghalama za matibu inamaana hao ni hoehae, na ghalama za muhimbili si za kitoto, kwan mkisamehe mtapata hasara gani,Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.
Mgonjwa anaekufa na ndugu hawana uwezo, maiti isamehewe tu, au wanaokufa hapo muhimbili ni wengi sana kiasi wakisema wawe wanasamehe maiti taasisi itafirisika!!Sawa. Sasa ni njia gani nzuri ya kudai deni la matibabu lililoachwa na maiti? Au mtu asipewe huduma mpaka awe amelipa?
Kuna gharama za matibabu na gharama za huduma za mochwari kama kihifadhi mwili wa marehemu na kuukoshaHata sijui kakataa nini na kakubali nini hapo.
Ujinga mtupu.
Kuzuia mwili kwa sababu ya gharama yoyote ni ushenzi.Kuna gharama za matibabu na gharama za huduma za mochwari kama kihifadhi mwili wa marehemu na kuukosha
Wakati wote ndio ilivyoKumbe wakati mwingine kusoma sana siyo kigezo cha mtu kuwa na akili.
Wakileta huo uthibitisho ndo nini kitabadirika? huoni hapa ndo ujinga Pumpuni kabisa wa kuhangaisha watu bure. wamefiwa na wao ndo walikuwa wanamuuguza wamesema hawana hela ya kulipia gharama hizo sasa hiyo mijorojongo yoote ya nini?Amefafanua vizuri sana:
Kwamba hakuna maiti inayozuiwa, ni watu wanapotosha ili kutafuta public sympathy.
Kama ndugu wameshindwa kulipia gharama alizotumia marehemu pindi akiwa hai, basi utaratibu ni kuleta vielelezo ikiwamo barua ya mjumbe wa mtaa, balozi, au mwenyekiti kuthibitisha.
Tatizo wanaloface ni kwamba watu wengi hizi taratibu watu hawataki kuzifuata.
hapa shangazi tuko pamoja absolutly
nawasiwasi dish haliko sawaJanabi Bhana Kapotoka Sana, Anayumba Sana Ama Umeme Mdogo
Tunampeleka WHOHata sijui kakataa nini na kakubali nini hapo.
Ujinga mtupu.
Umeshindwa kumtibu kafa sasa unamdai nini na huo mbona kama wiziMkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.
Ikiwa ivo si kila mtu atasema hana pesa?Wakileta huo uthibitisho ndo nini kitabadirika? huoni hapa ndo ujinga Pumpuni kabisa wa kuhangaisha watu bure. wamefiwa na wao ndo walikuwa wanamuuguza wamesema hawana hela ya kulipia gharama hizo sasa hiyo mijorojongo yoote ya nini?
For sure huo ni unyama mkubwaKuzuia mwili kwa sababu ya gharama yoyote ni ushenzi.
Ni dalili ya jamii iliyokosa utu mpaka kwenye msiba.
Jamii iliyoshindwa kujiwekea utaratibu wa kusema "hawa watu wana msiba, wamefiwa, tuwaache wazike tutamalizana nao deni baada ya kuzika".
Ila sitegemei watu wote waelewe hii dhana, kwa sababu walio katika jamii fulani mara nyingine hushindwa kujua matatizo ya jamii hiyo kwa sababu wameyazoea sana mpaka wanayaona ni kawaida, si matatizo.
Mgombea wa nafasi ya ukurugenzi WHO Africa.Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.