Hizo gharama mnafanya considération ya vipato vya wahusika?Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.
Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.
Inakuwa vipi kama ndugu watashindwa kulipagharama hizo?Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.
Kwanini hospital binafsi hawakutwi na haya mambo?
🤣 🤣 🤣WHO utawajibu haya majibu😕
Sasa kwani shida ipo wapi ndugu kuwasusia hospital hiyo corpse...wananchi nao wana mambo ya kingese sana.
Huyu sasa ndio great thinker.Kwa hiyo mtu akilazwa Muhimbili akifariki basi hospital ifute deni kisa mgonjwa amefariki, lol,
Watu wote tumefiwa na tunalipa deni la wapendwa wetu tunachukua mwili na kuendelea na taratibu zingine, na kama hatuwezi kulipia deni basi kuna taratibu za msamaha zipo, aidha tunafutiwa deni lote au tunalipa nusu na serikali nusu, taratibu zingine zinafatwa,
Tuacheni mihemko katika vitu sensitive, hospital inahitaji fedha ili kujiendesha.
Kuna haja gan kulipia gharama za matibabu wakat wenyewe wameshindwa kumtibu na kuzuia kifo chake...?Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi amesema miili huzuiwa mochwari kutokana na madeni ya gharama za matibabu ambazo marehemu alikuwa akidaiwa pindi alipokuwa hai na si kushindwa gharama za mochwari.