DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Dah?[emoji848]Daah me navaa 48, nimepiga tizi sana wapi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah?[emoji848]Daah me navaa 48, nimepiga tizi sana wapi!!
Sema "vimbaumbau" mjuane[emoji4]31 tujuane[emoji1]
Bado tunaopenda mbususu, nasi atatusemaJamaa nae kazidi Kila kitu kwake ni haramu
Kiuno Cha HIPPO[emoji1787]Hicho ni kiuno cha kiboko [emoji23] acha kul kabisa kiuno kipungue
Navaa 30 npiga nivae 27lkn wapDaah me navaa 48, nimepiga tizi sana wapi!!
Kwa hiyo mkuu kufagia uwanja nayo ni kazi ya kutumia nguvu
😄😄😄Vimbau mbau in one and twoSema "vimbaumbau" mjuane[emoji4]
Nyakati zikifika utakwenda tu hamna namna.Yote haya ni Harakati za Mwanadamu katika kukikwepa kifo.
Huyu jamaa bwege sana.
Kuna siku akasema ukinywa maji mengi unaweza kupata tatizo la moyo.
Anaona uchungu sana sisi kuishi kwa furaha
Hakuna kufurahia maisha afya ikiyumba. Ana hoja asipuuzwe!Huyu mzee atuache tufurahie maisha yetu bana
Kila siku anakuja na ubwege bwege mwingi sana. Kwani yeye Mungu?
Hovyo sana
Wapendwa wengi wako kwenye risk ya kuugua hayo magonjwa sababu ya unywaji chai na wengi ni watumiaji wazuri wa sukari hapa ndoshida inapoanziaKwa maelezo ya Prof walokole wengi japo tunaonekana kama wendawazimu lakini kwa namna moja ama nyingine tunajali afya zetu maana fasting umekuwa utamaduni wa maisha.
Kila mwezi Kuna wiki za kufast,
Kila wiki kuna siku za kufast
Na Kila mwisho wa mwaka kamwezi mzima ka kufast...
Kwa style hii,uzito kupita kiasi hakuna namna utakunyemelea maana ni tizi
Ukiongezeka tu kidogo,muda wafasting unafika unajikuta unarudi kwenye default mode.
Sent using Jamii Forums mobile app
Profesa my foot.Mwenzio ni Mtaalam tena Proffessor wewe unamwita bwege?
Jamani tukubali maelekezo na elimu ya lishe toka kwa wataalam wetu, hawa wanakutana na mengi, wanaona mengi huko ktk kutibia watu mbalimbali, wanatamani watu tuepuke kuumwa na zaidi kuepuka kuangamizwa kwa kukosa maarifa.
Chai tunakunywa jioni na yenye sukari kidogo sanaWapendwa wengi wako kwenye risk ya kuugua hayo magonjwa sababu ya unywaji chai na wengi ni watumiaji wazuri wa sukari hapa ndoshida inapoanzia
Atupe mifano hai. Aache kuijumuisha hoja.Hakuna kufurahia maisha afya ikiyumba. Ana hoja asipuuzwe!