Anafanya mazoezi mkuuHivi vitu havina fomula, jamaa alikuwa anafuata ratiba ya lishe bora lakini amekatika katika umri mdogo tu ila kuna jamaa kula kula hadi sasa anadunda na anaendelea kula na kitambi juu š¤£
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anafanya mazoezi mkuuHivi vitu havina fomula, jamaa alikuwa anafuata ratiba ya lishe bora lakini amekatika katika umri mdogo tu ila kuna jamaa kula kula hadi sasa anadunda na anaendelea kula na kitambi juu š¤£
Kachemka ndio,tena pakubwa.sukari na wanga ni kitu kimona.Yaani sawa na kuongelea chumba na nyumba.Wabongo kwa ujuajiš«”š«” .
Kwahiyo mtu mpaka amekuwa profesa ina maana hajui tofauti ya wanga na sukari.
Sukari ni kitu mbaya sana hasa sukari ya kuongeza kwenye vyakula au vinywaji. Tangu niache kuweka sukari kwenye chai najisikia vizuri sana.Mkurugenzi wa hospitali ya Muhimbili, Profesa Mohammed Janabi amesema mpaka sasa wanawake 100 wamewekewa puto na wanaume wachache. Prof ameongeza kuwa puto ni kitu kimoja lakini nidhamu kwenye chakula ni kitu kingine.
Janabi amesema kitu hatari zaidi kwenye mwili ni sukari na wanga na wala si mafuta kwasababu mwili hautunzi wanga wala sukari bali huvibadilisha kuwa mafuta. Ametaka watu kupunguza matumizi ya vitu vyenye sukari, utamu mkubwa na sukari yenyewe.
Prof Janabi amesema matatizo ya kushindwa kupata watoto, moyo, kiharusi, magonjwa ya kupumua, vifo vya ghafla asilimia mkubwa vinachangiwa na uzito usio sahihi na kula mara kwa mara. Profesa amesisitiza kutopeleka mwili kwa utaratibu wa chakula bali wale chakula wanapohisi njaa.
alaf ni hodari wa kuomba kuchimba dawa!!Ila kuna Watu wanapenda sana kulakula. Hilo utaliona hasa unaposafiri