Prof. Janabi: Kitu hatari zaidi ni sukari na wanga. Ataka watu kula wakihisi njaa kwani mwili hauendeshwi na ratiba ya chakula

Hivi vitu havina fomula, jamaa alikuwa anafuata ratiba ya lishe bora lakini amekatika katika umri mdogo tu ila kuna jamaa kula kula hadi sasa anadunda na anaendelea kula na kitambi juu 🤣
Anafanya mazoezi mkuu
 
Wabongo kwa ujuaji🫡🫡 .
Kwahiyo mtu mpaka amekuwa profesa ina maana hajui tofauti ya wanga na sukari.
Kachemka ndio,tena pakubwa.sukari na wanga ni kitu kimona.Yaani sawa na kuongelea chumba na nyumba.
Vipi mkuu,ulikimbia umande au ulitembea na ma_H...kuna ni?
 
Sukari ni kitu mbaya sana hasa sukari ya kuongeza kwenye vyakula au vinywaji. Tangu niache kuweka sukari kwenye chai najisikia vizuri sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…