Prof. Janabi: Kula mlo mmoja hurefusha maisha

Prof. Janabi: Kula mlo mmoja hurefusha maisha

Hoja yake Haina mashiko kwa Hawa Watu:-
-makuli relini
-waponda kokoto
-mafundi ujenzi
-masaidia fundi
-wachimba vifusi
-wapakia cement viwandani
-mafundi kupaua
-wachana magogo na mbao
-wacheza mpira
Mwili unatumia nguvu nyingi kusaga chakula ulichokula, ukimaliza Kula hata mzunguko wako wa damu kwa sehemu kubwa unahamia tumboni, walimu wenye akili huwa hawapendi kufundisha wanafunzi baada ya mlo WA mchana kwasababu wanafunzi wengi wanakuwa wanalala. (Upo uwezekano Wassira anakuwa emeshiba muda mwingi lol!)

Nguvu ya mwili kucheza Moira, kupiga kokoto na kazi ngumu haitoki tumboni...inatoka kwenye akiba uliyotunza kwenye ini, misuli, mafuta ya mwilini na si vinginevyo.
 
Aseme ni aina gani ya makundi ya watu yakila hivyo yanarefusha maisha.

Kwa mfano kazi yangu mimi ukila hivyo ndani ya wiki tu parapanda linalia.
 
stress inaleta bakteria(H.Pylori)?
I told you stress inaleta ulcers Mana Kuna physiological of biochemistry inatoa chemicals ie acids ambazo zinakuwa zinakula stomach walls , elewa we've acids that can dissolve razor blades
 
Kweli majobless Tumepata mteteziiiii

Maana tunakula mlo mmoja japo hatupendiii

Lakini Kuna faida gani, kuishi maisha marefu ukiwa jobless?

Eh mola! Tuonyeshe fadhili Zako
Ukiwa jobless unafikiria kanumba kafa na 28 yrs,2 pac hvyo hvyo,Robert Nesta Marley kafa na 36 yrs na wameacha makubwa

Afu jobless unataka uishi miaka mingi na hauna kitu,tutafute namba za m23 tukafe mapema
 
Hoja yake Ina mashiko kwa :-
-wacheza bao
-wacheza pooltable
-wacheza porn
-wasusi
-washona Nguo
-madereva
-makarani
-wahasibu
-wanasiasa
-walimu
-mahakimu na majaji
Unaichukulia poa porno eti,wakat unaambiwa mshindo mmoja ni kama kukimbia miles za kutosha tabata to kariakoo
 
Kwanini mada za prof. Janabi huwa mnazileta kimzaha?
pengine kama hamuelewi anazungumzia nini ulizeni?

Kwa kifupi "njaa" ni mazoea Tu, shibe inaua mwili kuliko hata "ukimwi" ndio maana wafungwa wa kibongo wanakula mlo mmoja na wananenepa!

Alichosema Janabi kinaitwa "INTERMITTED FASTING" nenda Google utaelewa.

Najuta kuchelewa kujua Jambo hili....nimekuwa napambana na uzito uliokithiri ila kwa Kula 18:6 najiuliza kitambi kimepotelea wapi? 18:6 maana yake nafunga masala 18 na kuwa na muda WA Kula CHOCHOTE ndani ya masaa 8 kwa siku moja 24hrs.

Hii mbinu ni ya kale Sana madaktari kabla ya kuvurugwa na pharm companies walikuwa wakitumia njia hii kutibu wagonjwa wa sukari, shinikizo la damu, kansa NK.

Wengi tunakula Tu kwasababu ya mazoea ya Kula ila mwili hauhitaji hiyo Milo yako mitatu na pepsi ili kupunguza kuvimbiwa, ....

Soma, soma,soma vuka upeo wa kufikiri a tuliowekewa na CCM! Sorry , SYSTEM!
Kwahyo kuna siku huwa unakula saa 6 usiku
 
I told you stress inaleta ulcers Mana Kuna physiological of biochemistry inatoa chemicals ie acids ambazo zinakuwa zinakula stomach walls , elewa we've acids that can dissolve razor blades
noma sana! Me navyoelewa mkuu ni kuwa kutokana na stress unajikuta unaskip mlo,unakuwa bila mpangilio mara leo saa 7 kesho saa11, au unakula mda ushaenda mf. Badala ule saa6/7 unakula saa9/10 kila siku, hivyo ile acid inapomwagwa inakuta no food inakwangua ukuta then H.Pylori wanapata nafasi ya kujishikiza kwenye stomach walls inapelekea vidonda
 
Kila kitu kwa kiasi wandugu. Kuleni kwa kiasi. Nilijaaliwa kumuona Janabi kwa karibu sana, ukweli ni kwamba yuko weak, sikuona nuru kwenye ngozi yake... SIMSIMANGI ila anahitaji kuongeza mlo kidogo. Siku hiyo alishindia kikombe cha kahawa nyeusi bila sukari. nilikuwa namwangalia sana... nilimhurumia. Hatuishi milele hapa... tule tufurahi kwa KIASI
MWANADAMU apati njema chini ya jua kuzidi kula na kunywa na kujiburudisha nafsi yako katika mema
 
noma sana! Me navyoelewa mkuu ni kuwa kutokana na stress unajikuta unaskip mlo,unakuwa bila mpangilio mara leo saa 7 kesho saa11, au unakula mda ushaenda mf. Badala ule saa6/7 unakula saa9/10 kila siku, hivyo ile acid inapomwagwa inakuta no food inakwangua ukuta then H.Pylori wanapata nafasi ya kujishikiza kwenye stomach walls inapelekea vidonda
Hapana furaha ama binadamu ukiwa na furaha unatoa kemikali Fulani zinazokufanya unajisikia vizuri mno mfano ukifanya ngono,ukikaa unayempenda, ukisali,ukisamehe,ukifanyiwa masaje,ukishinda mkeka ukatika hata 2bilioni mbili ivi,ukila madawa Fulani ya unga, ukinywa bia,ukibeti ukashinda, ukala bangi,tukanywa bia,ukafanya meditation ,ukaenda bichi,ukachezea maji, ukafanya zoezi, ukala chakula kizuri mno na kitamu etc Sasa bana hizi kemikali zenyewe ni Nzuri mno mwili na mwili huna shida shida nazo,

Ila Sasa unapopata stress mwili unatoa kemikali mbaya mno ambazo zinakuja kudhuru mwili zinapelekea hata chakula hakisagwi vizuri, unapata kitambo cha stress,ukiwa na hasira, kisasi na mtu, umepoteza hela/kazi/mke/mme , hujat00mba siku nyingi unakuwa unajisikia hauko vizuri, umekaa bila ya kazi, wivu, etc mwili unatoa kemikali mbaya mno zinazodhuru mwili mkuu,
 
Kila mtu aishi Kwa aonavyo kuwa ni vyema, wa kula mlo mmoja, miwili au mitano fresh
“Wale watu wanaokula mara nyingi, wanaokula mara kwa mara wanakuwa hawana muda wa kuunguza mafuta. Wanaofunga muda mrefu wanakuwa na muda mrefu pia wa kuunguza mafuta ya Mwili. Kuna magonjwa mengi yanayosababishwa na ulaji wetu wa mara kwa mara. Ukitaka kinga ya mwili iwe juu na kurefusha maisha, si kurefusha tu maisha bali maisha yenye quality (Ubora), kula mlo mmoja. Ni ngumu kuvumilia lakini mwili siku zote una tabia ya kuzoea. Si lazima ule mlo mmoja kila siku, unaweza kubadili ukala mara mbili au tatu kwa wiki, siku zingine ukala mara mbili”

Nukuu ya Pro. Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais kuhusu Masuala ya Afya akizungumza kupitia Afya Podcast ya Muhimbili TV, Septemba 4, 2023
 
Kwahyo kuna siku huwa unakula saa 6 usiku
Hapana, mfano hapa nilikula jana saa moja jioni na Leo nimekula mlo WA Kwanza saa name mchana, kuanzia saa name mchana nakula chochote hadi saa moja jioni.
Masaa 18 nakunywa maji, kahawa na chai bila sukari yoyote, utaratibu huu hakuna masharti mkubwa...
Kwa kifupi mwili unapata nafasi ya kujitibu wenyewe!
 
Kwenye unywaji maji alidai watu wasinywe maji mengi kwa kujilazimisha kufikia Lita kadhaa kwa siku badala yake wanywe pale wanapohisi kiu sababu mwili ni automatic unatoa taarifa kama kuna uhitaji.

Kwa nini hoja hiyohiyo ya automatic isitumike kwenye kula? Ili watu wale kila wakihisi njaa!
Kula ni mazoea maji ni haja mpaka upate kiu ndo unywe
 
Kila kitu kwa kiasi wandugu. Kuleni kwa kiasi. Nilijaaliwa kumuona Janabi kwa karibu sana, ukweli ni kwamba yuko weak, sikuona nuru kwenye ngozi yake... SIMSIMANGI ila anahitaji kuongeza mlo kidogo. Siku hiyo alishindia kikombe cha kahawa nyeusi bila sukari. nilikuwa namwangalia sana... nilimhurumia. Hatuishi milele hapa... tule tufurahi kwa KIASI
Weak sana yaani unaona kabisa hakuna lishe kama ni ng'ombe ni zile zilizotoka mbavu nje! Mke wake sasa salaaaaalaaa
 
Kwanini mada za prof. Janabi huwa mnazileta kimzaha?
pengine kama hamuelewi anazungumzia nini ulizeni?

Kwa kifupi "njaa" ni mazoea Tu, shibe inaua mwili kuliko hata "ukimwi" ndio maana wafungwa wa kibongo wanakula mlo mmoja na wananenepa!

Alichosema Janabi kinaitwa "INTERMITTED FASTING" nenda Google utaelewa.

Najuta kuchelewa kujua Jambo hili....nimekuwa napambana na uzito uliokithiri ila kwa Kula 18:6 najiuliza kitambi kimepotelea wapi? 18:6 maana yake nafunga masala 18 na kuwa na muda WA Kula CHOCHOTE ndani ya masaa 8 kwa siku moja 24hrs.

Hii mbinu ni ya kale Sana madaktari kabla ya kuvurugwa na pharm companies walikuwa wakitumia njia hii kutibu wagonjwa wa sukari, shinikizo la damu, kansa NK.

Wengi tunakula Tu kwasababu ya mazoea ya Kula ila mwili hauhitaji hiyo Milo yako mitatu na pepsi ili kupunguza kuvimbiwa, ....

Soma, soma,soma vuka upeo wa kufikiri a tuliowekewa na CCM! Sorry , SYSTEM!
Sahihi mkuu unajua jamii ya wabongo wengi tumelala sana,hatupendi kufuatilia vitu.

Watu wangejua faida ya kukaa muda mrefu bila kuingiza kitu tumboni basi wasingesema.

Kuna tafiti zilifanyika zikaonesha kwamba baada ya masaa 17 kupita ukiwa umefunga basi kuna mchakato wa dhahabu unatokea mwilini unaoitwa KETOSIS yaani mwili unaanza kuvunja mafuta yaliyohifadhiwa mwilini na hapo sasa mafuta hayo yanayovunjwa ndio yanasababisha unene kwa watu wengi.

Inashangaza sana watu hawajashtuka kwamba kula milo mi3 ni mazoea na kukuza biashara za watu.

Mimi binafsi suala la kula aasubuhi nimesahau,huwa nakula siku moja moja sana labda kwa mwezi naweza kula mara 2 asubuhi,ila hula mchana kuanzia saa 7,hapo kabla ya muda huo nakunywa maji.

Na kuna watu wanapiga mpaka water fasting,yaani mtu anakaa siku 2,3 hadi 7 anakumywa maji tu,hapo sasa anaactivate mchakato unaoitwa AUTOPHAGY yaani mwili unaanza kujikarabati wenyewe kwa kuondoa kila kisichohitajika mwilini.

Almuhimu mambo ni mengi na janabi anaongea vitu ambavyo watu watakuja kuvielewa baadae
 
“Wale watu wanaokula mara nyingi, wanaokula mara kwa mara wanakuwa hawana muda wa kuunguza mafuta. Wanaofunga muda mrefu wanakuwa na muda mrefu pia wa kuunguza mafuta ya Mwili. Kuna magonjwa mengi yanayosababishwa na ulaji wetu wa mara kwa mara. Ukitaka kinga ya mwili iwe juu na kurefusha maisha, si kurefusha tu maisha bali maisha yenye quality (Ubora), kula mlo mmoja. Ni ngumu kuvumilia lakini mwili siku zote una tabia ya kuzoea. Si lazima ule mlo mmoja kila siku, unaweza kubadili ukala mara mbili au tatu kwa wiki, siku zingine ukala mara mbili”

Nukuu ya Pro. Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais kuhusu Masuala ya Afya akizungumza kupitia Afya Podcast ya Muhimbili TV, Septemba 4, 2023
Janabi tupumzishe😂🙌🏿
 
Kila kitu kwa kiasi wandugu. Kuleni kwa kiasi. Nilijaaliwa kumuona Janabi kwa karibu sana, ukweli ni kwamba yuko weak, sikuona nuru kwenye ngozi yake... SIMSIMANGI ila anahitaji kuongeza mlo kidogo. Siku hiyo alishindia kikombe cha kahawa nyeusi bila sukari. nilikuwa namwangalia sana... nilimhurumia. Hatuishi milele hapa... tule tufurahi kwa KIASI
MKUU YULE JAMAA YUKO UNDERWEIGHT.

YAANI ANATAKIWA KUKAMATWA
HARAKA NA KULAZWA HOSPITAL ICU.
 
Sahihi mkuu unajua jamii ya wabongo wengi tumelala sana,hatupendi kufuatilia vitu.

Watu wangejua faida ya kukaa muda mrefu bila kuingiza kitu tumboni basi wasingesema.

Kuna tafiti zilifanyika zikaonesha kwamba baada ya masaa 17 kupita ukiwa umefunga basi kuna mchakato wa dhahabu unatokea mwilini unaoitwa KETOSIS yaani mwili unaanza kuvunja mafuta yaliyohifadhiwa mwilini na hapo sasa mafuta hayo yanayovunjwa ndio yanasababisha unene kwa watu wengi.

Inashangaza sana watu hawajashtuka kwamba kula milo mi3 ni mazoea na kukuza biashara za watu.

Mimi binafsi suala la kula aasubuhi nimesahau,huwa nakula siku moja moja sana labda kwa mwezi naweza kula mara 2 asubuhi,ila hula mchana kuanzia saa 7,hapo kabla ya muda huo nakunywa maji.

Na kuna watu wanapiga mpaka water fasting,yaani mtu anakaa siku 2,3 hadi 7 anakumywa maji tu,hapo sasa anaactivate mchakato unaoitwa AUTOPHAGY yaani mwili unaanza kujikarabati wenyewe kwa kuondoa kila kisichohitajika mwilini.

Almuhimu mambo ni mengi na janabi anaongea vitu ambavyo watu watakuja kuvielewa baadae
Najaribu kufunga tatu kavu nashindwa.... Nikifunga siku nzima hata nifike saa mbili fresh ikizd hapo kutetemeka kutanihusu though nilijaribu kunywa tuu uji nikaweza Ila kutokula naona bado au ndo afya hairuhusu
 
Back
Top Bottom