Prof. Janabi: Kula mlo mmoja hurefusha maisha

Prof. Janabi: Kula mlo mmoja hurefusha maisha

Per Llama 3.2.

Eating a single meal a day, also known as the One Meal a Day (OMAD) diet, has been linked to several potential health benefits that could contribute to a longer lifespan. These benefits include:

  • Reduced Inflammation: OMAD has been shown to reduce inflammation, which is associated with various chronic diseases, including heart disease, diabetes, and cancer ¹.
  • Improved Cellular Renewal: Fasting has been found to stimulate cellular renewal and regeneration, which can help maintain tissue health and reduce the risk of age-related diseases ¹.
  • Increased Human Growth Hormone (HGH) Production: OMAD has been linked to increased production of HGH, which plays a crucial role in maintaining muscle mass, bone density, and overall health ¹.
  • Enhanced Autophagy: Fasting has been shown to induce autophagy, a natural process in which the body breaks down and recycles damaged cells and proteins, leading to improved cellular health ¹.

While these benefits are promising, it's essential to note that the current evidence is primarily based on animal studies and limited human trials. More research is needed to confirm the potential anti-aging effects of OMAD in humans.

Additionally, it's crucial to consider the potential risks and challenges associated with OMAD, such as nutrient deficiencies, social isolation, and decreased muscle mass, particularly if not implemented correctly ² ³ ⁴.

In conclusion, while OMAD may have potential anti-aging benefits, it's essential to approach this diet with caution and consult with a healthcare professional before making any significant changes to your eating habits.

 
“Wale watu wanaokula mara nyingi, wanaokula mara kwa mara wanakuwa hawana muda wa kuunguza mafuta. Wanaofunga muda mrefu wanakuwa na muda mrefu pia wa kuunguza mafuta ya Mwili. Kuna magonjwa mengi yanayosababishwa na ulaji wetu wa mara kwa mara. Ukitaka kinga ya mwili iwe juu na kurefusha maisha, si kurefusha tu maisha bali maisha yenye quality (Ubora), kula mlo mmoja. Ni ngumu kuvumilia lakini mwili siku zote una tabia ya kuzoea. Si lazima ule mlo mmoja kila siku, unaweza kubadili ukala mara mbili au tatu kwa wiki, siku zingine ukala mara mbili”

Nukuu ya Pro. Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili na Mshauri wa Rais kuhusu Masuala ya Afya akizungumza kupitia Afya Podcast ya Muhimbili TV, Septemba 4, 2023
Amerudi kutukumbusha tena
 
Kwa hali ya uchumi ilivyo watu wengi wanapata mlo mmoja sasa sijui kama hawa wataishi muda mrefu wakiwa katika hali hiyo.Labda wenye uchumi mzuri wazo la kula mmoja litawafaa
 
Kila kitu kwa kiasi wandugu. Kuleni kwa kiasi. Nilijaaliwa kumuona Janabi kwa karibu sana, ukweli ni kwamba yuko weak, sikuona nuru kwenye ngozi yake... SIMSIMANGI ila anahitaji kuongeza mlo kidogo. Siku hiyo alishindia kikombe cha kahawa nyeusi bila sukari. nilikuwa namwangalia sana... nilimhurumia. Hatuishi milele hapa... tule tufurahi kwa KIASIha
Kila kitu kwa kiasi wandugu. Kuleni kwa kiasi. Nilijaaliwa kumuona Janabi kwa karibu sana, ukweli ni kwamba yuko weak, sikuona nuru kwenye ngozi yake... SIMSIMANGI ila anahitaji kuongeza mlo kidogo. Siku hiyo alishindia kikombe cha kahawa nyeusi bila sukari. nilikuwa namwangalia sana... nilimhurumia. Hatuishi milele hapa... tule tufurahi kwa KIASI
Hahaha
 
Lakini nakula sana siongezek tatizo ni nn ?

Nakula lishe nzuri tuu, Cha ajabu siongezek kilo plus uzito mdogo!
Wala hauli sana mkuu..

Nipe kg zako.
Nipe na urefu wako.
Nipe na umri wako(hata range tu)


Unaweza kusema unakula sana ila kumbe unajiona unakula sana kwa mujibu wewe na sio kwa mujibu wa mwili wako.....
 
Kila kitu kwa kiasi wandugu. Kuleni kwa kiasi. Nilijaaliwa kumuona Janabi kwa karibu sana, ukweli ni kwamba yuko weak, sikuona nuru kwenye ngozi yake... SIMSIMANGI ila anahitaji kuongeza mlo kidogo. Siku hiyo alishindia kikombe cha kahawa nyeusi bila sukari. nilikuwa namwangalia sana... nilimhurumia. Hatuishi milele hapa... tule tufurahi kwa KIASI
ukifuata ushauri wa Huyu Dokta, na stress hizi za maisha hutoboi. kila kitu kina kiasi , na wakati maalum, kula sukari kiasi, mafuta kiasi, juice kiasi, matunda kiasi, mboga kiasi , na muhimu zaidi kula chakula kwa wastani usile kwa kuvimbiwa mpaka ukawa huwezi kuinuka au kupumua
 
Wala hauli sana mkuu..

Nipe kg zako.
Nipe na urefu wako.
Nipe na umri wako(hata range tu)


Unaweza kusema unakula sana ila kumbe unajiona unakula sana kwa mujibu wewe na sio kwa mujibu wa mwili wako.....
Kg.... ni 53kg

Umri 26yrs

Urefu kipimo exactly sijapima, lakini kwenye urefu nazidi.. Kidogo urefu wa wastani,
 
Huyu hatuko sawa aise!
Tuna wasiwasi na udaktari wake!
 
Kila kitu kwa kiasi wandugu. Kuleni kwa kiasi. Nilijaaliwa kumuona Janabi kwa karibu sana, ukweli ni kwamba yuko weak, sikuona nuru kwenye ngozi yake... SIMSIMANGI ila anahitaji kuongeza mlo kidogo. Siku hiyo alishindia kikombe cha kahawa nyeusi bila sukari. nilikuwa namwangalia sana... nilimhurumia. Hatuishi milele hapa... tule tufurahi kwa KIASI
Hata mimi nikimcheki muonekano wake sidhani kama ile ndio definition ya afya,kuna vitu vingine tunaingizwa chaka huwezi ukawa na afya kwa kushinda na njaa kwa masaa mengi sasa virutubisho mbalimbali vya kwenye vyakula utavipataje kama mtu siku nzima anashindia kahawa
 
Kg.... ni 53kg

Umri 26yrs

Urefu kipimo exactly sijapima, lakini kwenye urefu nazidi.. Kidogo urefu wa wastani,
Wewe ni mwembamba saana,hauna mafuta mengi mwilini,na nina hakika hauna kitambi.....

Kwa maana hiyo inabidi ukumbuke kwamba lengo la kula mara chache ni kuchoma mafuta yaliyozidi mwilini,na wewe hayo mafuta yaliyozidi mwilini hauna.

Kwa sababu kuna maelezo yanasema kwamba masaa 17 bila kula inapelekea mwili kuanza kuchoma mafuta ya mwilini ili mwili huo upate nguvu,sasa wewe hayo mafuta hauna,hivyo bila shaka wewe kufunga muda mrefu sio sawa.


mimi nakushauri usifanye water fast zaidi ya 24hrs,yaani wewe ni vyema ukafunga ndani ya siku moja then unakula,utapata faida za kiafya pia.

kwa sababu kadri unavyokuwa na mafuta machache basi ndio ketosis na autophagy hutokea mapema.


hivyo fanya kwa afya tu mkuu,sio kila mmoja ataweza kukaa siku nyingi..
Wewe tayari mwili wako hauna mafuta mengi hivyo kumbuka moja ya lengo la kufunga(fasting)ni kupunguza mafuta
 
Hoja yake kibongo bongo inaleta shida kuiamini moja kwa moja. Mlo wa muafrika mara nyingi sio balanced diet hivyo ule ulaji wa holela holela ndio unamfanya apate kila aina ya viritubisho mwilini. Mfano breakfast atapata wanga, mafuta na protein kiasi, lunch atapatamo vitamini na madini muhimu halafu dinner anapata mafuta, protein na kadhalika. Ukimwambia mtu wa aina hii ale mlo mmoja, atadhoofu kwa kukosa virutubisho muhimu mwilini ila kwa ulaji wa wenye pesa, mlo wao una kila kitu inaeleweka.

Dhana ya pili kwenye suala la chakula na afya nadhani aina ya kazi au physical activities za siku hadi siku za mhusika pia zizingatiwe. Zamani haya mambo ya kujizuia kula kwa sababu za kiafya hayakuwepo na watu walikuwa na afya njema kabisa bila maradhi kama sasa.

Tule kwa ajili ya kupata virutubisho mwilini halafu kama kazi zetu ni za kiofisi zaidi, tuweke ratiba nzuri ya kufanya mazoezi ili kuunguza energy isiyotakiwa mwilini.
 
Wewe ni mwembamba saana,hauna mafuta mengi mwilini,na nina hakika hauna kitambi.....

Kwa maana hiyo inabidi ukumbuke kwamba lengo la kula mara chache ni kuchoma mafuta yaliyozidi mwilini,na wewe hayo mafuta yaliyozidi mwilini hauna.

Kwa sababu kuna maelezo yanasema kwamba masaa 17 bila kula inapelekea mwili kuanza kuchoma mafuta ya mwilini ili mwili huo upate nguvu,sasa wewe hayo mafuta hauna,hivyo bila shaka wewe kufunga muda mrefu sio sawa.


mimi nakushauri usifanye water fast zaidi ya 24hrs,yaani wewe ni vyema ukafunga ndani ya siku moja then unakula,utapata faida za kiafya pia.

kwa sababu kadri unavyokuwa na mafuta machache basi ndio ketosis na autophagy hutokea mapema.


hivyo fanya kwa afya tu mkuu,sio kila mmoja ataweza kukaa siku nyingi..
Wewe tayari mwili wako hauna mafuta mengi hivyo kumbuka moja ya lengo la kufunga(fasting)ni kupunguza mafuta
Ok mkuu shukrani aseeh.... Upo positive sana !!
 
Back
Top Bottom