BakiliMuluzi
JF-Expert Member
- Oct 17, 2022
- 1,578
- 2,353
Kama japengaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama hiyo ni sababu.Wengi wao walikuwa ni form IV division 0 au STD VII
Mondi ameshavuka mipaka anachuana na wakina Davido figisufigisu za wabantu haziwezi kumzuia tena.Mondi Wameshamshindwa
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kuchomoka hapo ni kazi sana.tusiwalaum sana kina mr niceView attachment 2271678
Na kingine kinachofanya azidi kupaa zaidi ni kwamba haridhiki na kubweteka kama wafanyavyo wengine,yeye bado anazidi kuumiza kichwa na kubuni zaidi.Bahati??
Bahati... Ni kitu kinachochukua si Zaidi ya asilimia Moja kwenye maisha yetu. Maisha yetu yanaenda jinsi tulivyoyapanga na na juhudi zëtu huamua mafanikio yetu. Bahati ipo kila sehemu ila inachukua nafasi ndogo Sana. Diamond useme ni bahati Kuwa juu jibu ni hapana.
Kumbuka ni mengi amepitia hadi baadhi ya vyombo vilikuwa havipig nyimbo zake. Dogo ni hustler na fighter ndo kinachomuweka juu siku zotë si bahati
Ni kazi kwako, tupo marijali pia ambao hatuendeshwi hovyo na nyege kama wewe. Sasa mwanamke anapojisogeza kwako kwani ni lazima apate anachokitaka? Utatoa kwa wangapi sasa?[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kuchomoka hapo ni kazi sana.
Halafu hawa viumbe huwa wananusa hela hata usipotangaza wanajua na kuanza kujisogeza kwako makusudi.
Una miaka mingapi mkuu katika hii dunia?Ni kazi kwako, tupo marijali pia ambao hatuendeshwi hovyo na nyege kama wewe. Sasa mwanamke anapojisogeza kwako kwani ni lazima apate anachokitaka? Utatoa kwa wangapi sasa?
Chanzo cha Mabaya ni Pesa na Wasichana Chunga Sana alishasema Salu T - Fid Qtusiwalaum sana kina mr niceView attachment 2271678
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna siku Mr nice alikuja masai club akanunua stick ya pool table kwa mwana anayecheza na akawa anamlipa kila anayemfunga ili aendelee kucheza
[emoji23][emoji23][emoji23]Mimi nikibahatika kupata hela nyingi kwa ghafla nitazini balaa. Tandaza miti kama sina akili nzuri kwaanzia vibinti legal age 18+ kuendelea huko. Labda ndo maana sirgodi ameniwekea limit. Yani anifanye dollar millionaire. God forbid
[emoji16][emoji16][emoji16]Huyo ferooz sijui anaimba nini siku hizi mara japenga mara sijui nini khah
Hii imepoteza wengi sio wanamuziki tu, vijana wengi imetucost. Growing in the 90s music videos and movies were the major influence. Siku hizi mitandao ndio inapoteza kizazi hiki nao wata regret kivyao time ikifikaWalikuwa wanaiga maisha ya kimarekan waliyokiwa wanayaona kwenye movie
Mwanadamu huwa na akili na mipango mingi pindi anapokuwa na njaa,shida na ufukara...pindi ukizipata akili hukaa pembeni isipokuwa kwa wachache tu.Hii hali huwakuta wengi walio kwenye huo mfumo wa kupata pesa kwa mkupuo...hii ipo hata huko mbele, wanazuzuka sema wengi wanaokolewa na management kama zipo imara.
Nilimsikia Jack Chan kwenye interview anasema alilipwa pesa nyingi kwenye movie akachanganyikiwa akawa ananunua kila kitu hovyo..anasema akikumbuka huo wakati anajiona mjinga wa mwisho.
Sema tu pesa ikawa inaendelea kuingia mpaka ikamkuta anakomaa akili.