Prof. Jay, mrudishe huyu mdada kwenye ramani

Prof. Jay, mrudishe huyu mdada kwenye ramani

Sikiliza jay usitamke maneno hayo, naomba unielewe haya machache niyasemayo, hadi huu wakati mimi nimekupenda kwa dhati, nikubali niwe wako nitajiita mwenye bahati[emoji450] [emoji441]

Nimeelewa vicky,
Tajiri ni mkorofi ananisubiri migomigo, na kila ninapochelewa mwenzako napata kipigo, nasaga na rumba jua na mvua kwa mpigo[emoji593]
 
Mi namfahamu yule anayetingisha TAKO tu, nasikia ni Vanessa Mdee.

We kaka koma hii ngoma aghali...!!!

Akajib...We vipi hebu nipishe

- We kinyago kubali yaishe
Nikasema inshalla
Nisije nikambaka ikawa msala
Nikaachana nae sehemu za nyuma akizitingisha, nikala kwa macho hadi hamu iliponiisha[emoji441] [emoji450]
 
alikuwa na bwana wake kaka mkuu victor mango alikuwa miguu mizuri kinoma kipindi hicho kula mihogo ya njano south.
aisee kweli wewa forodhani, mimi mwenyewe namkumbuka sana munira alikuwa mkali balaa ,vijanawa forodhani wamekuoa sana kwa macho sababu ilikuwa kama unakisu ndo utampata
 
aisee kweli wewa forodhani, mimi mwenyewe namkumbuka sana munira alikuwa mkali balaa ,vijanawa forodhani wamekuoa sana kwa macho sababu ilikuwa kama unakisu ndo utampata
acha tu ndugu yangu nilikuwa nnakula kwa macho tu hela yenyewe sina mtoto mkali vile utampeleka south kula mihogo ya njano na samaki wa fungu juice ya super dip.
 
Mimi enzi hizo nipo zangu vijiji vya mbali niliposikia neno "Toyota surf" nikajua ni li pickup maana magari yote yanayoitwa TOYOTA kule kijijini yalikuwa mapikapu meupe! Nilipokuja kuuona huo wimbo kwenye video nikawa nalitafuta lile li pikapu liko wapi nikawa silioni nikabaki tu najiuliza hivi hilo li pikapu alilosema Jay toyota surf liko wapi?
 
kweli mkuu huyo demu alikuwa anaitwa munira alikuwa demu wa p funk nilisoma naye forodhani secondary ingawa aliniacha madarasa 3 alikuwa mkali kinoma nnaanza form 1yeye yupo 4
Miaka inakimbia sana Majani alitafuna totozi sana vikiwa vinasoma leo mwanawe akiwa stage hiyo hiyo anakandamizwa na yeye akiona.
 
Back
Top Bottom