Prof JOYCE NDALICHAKO haya yakufikie hata kama yatakuuma, lakini ndio ukweli wenyewe

PhD za wana siasa akiwemo huyu mama zichunguzwe.
 
Watu kama hawa ndio wanatufanya Watanzania tuonekane hatujui kizungu.
Le profeseri mwenyewe anapiga broken ambayo hata watoto wa class two wanaonekana bora kuliko profeseri mwenyewe.
Tuache kufundisha English kwa Kiswahili tutatoka. Kiswahili nacho kinatupiga chenga kama kawa.
 
Kinachosisitizwa hapa ni angalau ile lugha nyoofu tu ya kuwasiliana na kueleweka Si kwamba aongee kama mtaalamu wa English.Hapana.Ni kama kiswahili tu au lugha nyingine.Kuwe na mpangilio na kueleweka.Asitengeneze ambiguities,atoe understandings!
Labda ana matatizo ya communication na kuongea kwenye hadhara..., Judging a Fish and a Monkey on their ability to climb a tree might not be a sufficient test..., ninachomlaumu labda ni kutokutumia lugha anayoimaster zaidi au kutuma mtu amwakilishe anayeweza kufikisha ujumbe mujarabu...., ila sio her mastery of the lingo..., especially considering such lingo is not her 1st or 2nd....
 
Ndalichako Huyu Huyu Anapiga V8 Na Anaamua Haa
 
Profeseri anapozidiwa kuongea kizungu na beach boys wa uroa,pwani mchangsni,paje nk kule Zenj.
Beach boy ambaye hata kidato Cha nne ajapitia,anakuwa na fluence nzuri ya kizungu,kifaransa kuliko Profesa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…