Nasoma judge za wanaocommentsoma mada sio unakurupuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasoma judge za wanaocommentsoma mada sio unakurupuka
Huyu mama aache kujiita profesa anajizalilisha sana na hyo title huku hawezi kujieleza[emoji23] sisi watu wa kanda hii hatuko hivi
Dah inasikitisha sana lakini, ndalichako awe anatumia lugha ya taifaMtetee mwanamke mwenzio kha! [emoji16][emoji16][emoji2099]
nakusalimu kwa jina la jamuhuri.
katika hali ambayo ni ya kawaida, umezuka mjadala juu ya uwezo wako wa kujieleza kwa kutumia lugha ambayo kwa asilimia 90 ndio iliyokutunuku kiwango cha elimu ulicho nacho (prof) na watanzania wengi wameenda mbali na kusema kuwa elimu yako ni ya ubabaishaji. mimi napingana nao, naamini unaweza kufanya bora zaidi ya hapo na wala sibezi jitihada ulizofanya mpaka sasa katika kuboresha mfumo wa elimu yetu hapa nchini.
kielelezo:
katika mkutano ulioshiriki hivi karibuni umesema haya
"Also aah, we, we political aah will by ensuring that we we we make aah the result known for example we have exhibitions for students to participate in science and technology so those who are doing aah innovative things we make them aah, we make public exhibition, so that people can come and see and appreciate aah, whot why is it important to to to invest in education and our country is the among the 19 countries which we aah we commited to kenyata decleration ahh"
View attachment 2048403
katika kufasiri hiki ulichokisema hapa kwa niaba ya watanzania wengi ambao hawajaelewa kabisa ulikusudia kusema nini ni kwamba
"sisi wanasiasa tunahakikisha kuwa matokeo yanakuwa bayana kwa mfano, tuna maonyesho kwa ajili ya wanafunzi kushiriki katika sayansi na teknolojia hivyo kwa wale wanaofanya uvumbuzi tunafanya maonyesho ya hadhara ili watu waje waone na kupongeza/kukubali ni kwanini ni muhimu kuwekeza katika elimu na nchi yetu ni moja kati ya nchi 19 ambazo ni washirika wa azimio la kenyata"
kutoka katika maelezo hayo ni wazi kwamba sio tu unawadanganya hao uliokaa nao katika kikao bali unakiri kabisa kuwa mfumo wa elimu uliopo Tanzania si muafaka katika dunia hii iliyo jipambanua kuwa inategemea sayansi na teknolojia katika maendeleo ya watu na vitu kwa kuzungumza mambo ambayo eti yanafanyika (maonyesho ya uvumbuzi wa sayansi na teknolojia) wakati hayafanyiki kwa kiwango cha kitaifa na kwa lugha yako mbuvu iliyojaa makosa kibao.
naomba nikuulize swali hili, ni shule gani hapa nchini inafundisha sayansi na teknolojia katika kiwango cha kuamsha ari ya uvumbuzi kwa wanafunzi wake?
Binafsi ninafahamu kuwa elimu tuliyonayo imejaa nadharia kwa asilimia zaidi ya 80 na aslimia za vitendo zilizobaki ni vitendo vilivyofanywa na wazee waliosoma miaka ya 70 huko mpaka leo. Mfano tangu miaka ya nyuma mafunzo kwa vitendo kidato cha nne kushuka chini ilihusisha panzi, tandu, samaki mihogo nk. mpaka leo ni hayo hayo, ni lini unategemea mwanafunzi anayefanya vitendo hivi kuwa mshindani na faida kwa taifa katika upande wa sayansi na teknolojia ambao sasa upande huu umejikita katika kurahisisha maisha ya watu kwa uvumbuzi ambao ni muafaka kabisa kulingana na mahitaji ya mwanadamu?
leo hii wewe waziri wa elimu unaonekana mjinga kwa sababu kiwango chako cha elimu na uwasilishaji wa yale yaliyomo kichwani kwako havina uhusiano kabisa na hii ni kwasababu ya mfumo huu mbuvu ambao umeshiriki katika kukujenga na kukufanya uwe na uwanja finyu wa utendi kuanzia katika ubongo wako mpaka matokeo ya masuala unayoyafanya. na hili si kwako tu, ni kwa watanzania wengi ambao nao wanashiriki kukucheka.
Ikumbukwe ujinga ni kivumishi kinachotumika kwa mtu au kikundi cha kijamii ambacho hakina ujuzi wa vitu. Neno ujinga linaweza kutaja mtu kukosa mafundisho au elimu.
nini kifanyike?
katika kipindi hiki ambacho wewe waziri mwenye dhamana ambaye niliwahi kusikia mahali kuwa katika usomaji wako umewahi kuwa Tanzania one, umeshikilia wizara hii nyeti, unahitaji kufumua mfumo mzima wa elimu kwa kuhakikisha kuwa mfumo mpya unaingizwa ambao sasa utajikita katika kuwajenga wanafunzi wa ngazi zote nchini wawe na ujuzi wa juu wa sayansi na teknolojia na pia wawe washindani katika taaluma zao watakazochagua kiutendaji kuliko nadharia hii iliyojengeka kuwa msomi anatakiwa awe na uwezo mzuri wa kujieleza kwa lugha ya kiingereza. (nadharia sasa ichukue asilimia 30 huku vitendo vikiwa asilimia 70.
hii itasaidia kuzalisha wasomi ambao watakuwa na uwezo wa kuigeuza elimu yao kuwa pesa kama mnavyohubiri kila siku kuwa wasomi wanapaswa kujiajiri ili kupambana na wimbi la ukosefu wa ajira unaokumba waja wengi hapa nchini,
yangu ni mengi lakini kwa haya machache niliyoyaandika natumaini utayafanyia kazi na kutusaidia kuzalisha wasomi ambao hawatakuwa aibu kitaifa na kimataifa.
Don't turn a blind eye on my article, otherwise historia itahukumu. ukweli unauma ila usiposemwa unaleta ugonjwa wa kiharusi kwa anayeuficha na mimi sitaki kiharusi.
kacnia.
[emoji2] kitakuwa Cha Canada ndanindani!!au ndio kiingereza cha ndani ndani uko canada
HahahaHaa Anaufunga Mwaka Akiwa Font Feji
Professor wa mchongo 😅 huyu mama mdomo hawezi ila mpe karatasi na kalamu ndio utajua hujui!Ninafurahi sana pale nikimuona prof ndalichako akiongea kizungu kwa sababu ananifanya nione kuwa mimi ninaweza sana kiingereza na nina pronounce vizuri sana maneno yake ilhali hata hiyo master sina
I agree...Labda ana matatizo ya communication na kuongea kwenye hadhara..., Judging a Fish and a Monkey on their ability to climb a tree might not be a sufficient test..., ninachomlaumu labda ni kutokutumia lugha anayoimaster zaidi au kutuma mtu amwakilishe anayeweza kufikisha ujumbe mujarabu...., ila sio her mastery of the lingo..., especially considering such lingo is not her 1st or 2nd....
Umeendika kwa machungu sana. Ni kweli, Prof nadhani alimezwa na mfumo. Haiwezekani tuwe na shule za vipaji maalumu na bado hatuvitambui kwa ajili ya manufaa ya baadaye kwa taifa. Nilitegemea basi hata vijana wa vipaji wangepelekwa hata MIT kusomea ujuzi na kurejea na technologia. Lakini unakuta hapo wizarani wakubwa ni vikumbo na majungunakusalimu kwa jina la jamuhuri.
katika hali ambayo ni ya kawaida, umezuka mjadala juu ya uwezo wako wa kujieleza kwa kutumia lugha ambayo kwa asilimia 90 ndio iliyokutunuku kiwango cha elimu ulicho nacho (prof) na watanzania wengi wameenda mbali na kusema kuwa elimu yako ni ya ubabaishaji. mimi napingana nao, naamini unaweza kufanya bora zaidi ya hapo na wala sibezi jitihada ulizofanya mpaka sasa katika kuboresha mfumo wa elimu yetu hapa nchini.
kielelezo:
katika mkutano ulioshiriki hivi karibuni umesema haya
"Also aah, we, we political aah will by ensuring that we we we make aah the result known for example we have exhibitions for students to participate in science and technology so those who are doing aah innovative things we make them aah, we make public exhibition, so that people can come and see and appreciate aah, whot why is it important to to to invest in education and our country is the among the 19 countries which we aah we commited to kenyata decleration ahh"
View attachment 2048403
katika kufasiri hiki ulichokisema hapa kwa niaba ya watanzania wengi ambao hawajaelewa kabisa ulikusudia kusema nini ni kwamba
"sisi wanasiasa tunahakikisha kuwa matokeo yanakuwa bayana kwa mfano, tuna maonyesho kwa ajili ya wanafunzi kushiriki katika sayansi na teknolojia hivyo kwa wale wanaofanya uvumbuzi tunafanya maonyesho ya hadhara ili watu waje waone na kupongeza/kukubali ni kwanini ni muhimu kuwekeza katika elimu na nchi yetu ni moja kati ya nchi 19 ambazo ni washirika wa azimio la kenyata"
kutoka katika maelezo hayo ni wazi kwamba sio tu unawadanganya hao uliokaa nao katika kikao bali unakiri kabisa kuwa mfumo wa elimu uliopo Tanzania si muafaka katika dunia hii iliyo jipambanua kuwa inategemea sayansi na teknolojia katika maendeleo ya watu na vitu kwa kuzungumza mambo ambayo eti yanafanyika (maonyesho ya uvumbuzi wa sayansi na teknolojia) wakati hayafanyiki kwa kiwango cha kitaifa na kwa lugha yako mbuvu iliyojaa makosa kibao.
naomba nikuulize swali hili, ni shule gani hapa nchini inafundisha sayansi na teknolojia katika kiwango cha kuamsha ari ya uvumbuzi kwa wanafunzi wake?
Binafsi ninafahamu kuwa elimu tuliyonayo imejaa nadharia kwa asilimia zaidi ya 80 na aslimia za vitendo zilizobaki ni vitendo vilivyofanywa na wazee waliosoma miaka ya 70 huko mpaka leo. Mfano tangu miaka ya nyuma mafunzo kwa vitendo kidato cha nne kushuka chini ilihusisha panzi, tandu, samaki mihogo nk. mpaka leo ni hayo hayo, ni lini unategemea mwanafunzi anayefanya vitendo hivi kuwa mshindani na faida kwa taifa katika upande wa sayansi na teknolojia ambao sasa upande huu umejikita katika kurahisisha maisha ya watu kwa uvumbuzi ambao ni muafaka kabisa kulingana na mahitaji ya mwanadamu?
leo hii wewe waziri wa elimu unaonekana mjinga kwa sababu kiwango chako cha elimu na uwasilishaji wa yale yaliyomo kichwani kwako havina uhusiano kabisa na hii ni kwasababu ya mfumo huu mbuvu ambao umeshiriki katika kukujenga na kukufanya uwe na uwanja finyu wa utendi kuanzia katika ubongo wako mpaka matokeo ya masuala unayoyafanya. na hili si kwako tu, ni kwa watanzania wengi ambao nao wanashiriki kukucheka.
Ikumbukwe ujinga ni kivumishi kinachotumika kwa mtu au kikundi cha kijamii ambacho hakina ujuzi wa vitu. Neno ujinga linaweza kutaja mtu kukosa mafundisho au elimu.
nini kifanyike?
katika kipindi hiki ambacho wewe waziri mwenye dhamana ambaye niliwahi kusikia mahali kuwa katika usomaji wako umewahi kuwa Tanzania one, umeshikilia wizara hii nyeti, unahitaji kufumua mfumo mzima wa elimu kwa kuhakikisha kuwa mfumo mpya unaingizwa ambao sasa utajikita katika kuwajenga wanafunzi wa ngazi zote nchini wawe na ujuzi wa juu wa sayansi na teknolojia na pia wawe washindani katika taaluma zao watakazochagua kiutendaji kuliko nadharia hii iliyojengeka kuwa msomi anatakiwa awe na uwezo mzuri wa kujieleza kwa lugha ya kiingereza. (nadharia sasa ichukue asilimia 30 huku vitendo vikiwa asilimia 70.
hii itasaidia kuzalisha wasomi ambao watakuwa na uwezo wa kuigeuza elimu yao kuwa pesa kama mnavyohubiri kila siku kuwa wasomi wanapaswa kujiajiri ili kupambana na wimbi la ukosefu wa ajira unaokumba waja wengi hapa nchini,
yangu ni mengi lakini kwa haya machache niliyoyaandika natumaini utayafanyia kazi na kutusaidia kuzalisha wasomi ambao hawatakuwa aibu kitaifa na kimataifa.
Don't turn a blind eye on my article, otherwise historia itahukumu. ukweli unauma ila usiposemwa unaleta ugonjwa wa kiharusi kwa anayeuficha na mimi sitaki kiharusi.
kacnia.
Bado TZ tuna safari ndefu sana kwa elimu, kama bado hadi leo kuna watu wanaongelea uwezo wa uongeaji wa MAMA na kutoa judgment ni simanzi.
Angalieni utendaji tuache judge vitabu kwa kusoma macover tu,mnae mkosoa sijawahi waona kule kwenye majukwaa ya NGELI NGELI wote thread mnapost huku hoja mchanganyiko.
onyesheni mifano sasa mnapomkosoa PROF kuweni mifano hai mwageni uyai tuone level zenu hata za grammar na nyie.
Tanzania tuna safari ndefu sana asee.. Hili linchi silipasuliwe kati halafu upande nilioko mimi Upewe jina lingine Tanzania ibaki upande huo uko,niwe ndo nishajiyoa automaticaly..
Raia wa hiii nchi akili zao 80% wote zipo sawa sijui hii model ya kizazi cha hii nchi ni model gani...
na andiko langu limelenga kuboresha wizara kupitia uanzishaji wa mfumo mpya utakao iokoa Tanzania kisayansi na teknolojia kwa vitendo na sio masimulizi kama yanayofanyika kwa sasa, cha ajabu anakuja mdau anakomalia kiingereza cha JoyceHaya mkuu, tusiongelee English yake wewe unaona wizara ya Elimu anaitendea haki?
thats the point, inauma na kukera kuona wote tunakubaliana kuwa mfumo uliopo ni mbovu lakini wameung'ang'ania kuliko mfano wa kitu chochoteIla humu JF kumetolewa Ushauri mwingi jinsi ya kuboresha elimu Tanzania, what to be done, ila yote imekua bure, mama hasikii wala haelewi, huyu mama ana matatizo mengi
Duu! Yaani hiki ni Kiinglish cha profesa? Ndiyo maana kina Msukuma wanawatukana.Also aah, we, we political aah will by ensuring that we we we make aah the result known for example we have exhibitions for students to participate in science and technology so those who are doing aah innovative things we make them aah, we make public exhibition, so that people can come and see and appreciate aah, whot why is it important to to to invest in education and our country is the among the 19 countries which we aah we commited to kenyata decleration ahh"[emoji848][emoji15][emoji2827][emoji1544][emoji1544]
Labda ni PRIDE, wanaona wakichukua mawazo humu wataonekana hawafanyi kazi...lolthats the point, inauma na kukera kuona wote tunakubaliana kuwa mfumo uliopo ni mbovu lakini wameung'ang'ania kuliko mfano wa kitu chochote