Prof JOYCE NDALICHAKO haya yakufikie hata kama yatakuuma, lakini ndio ukweli wenyewe

Ninafurahi sana pale nikimuona prof ndalichako akiongea kizungu kwa sababu ananifanya nione kuwa mimi ninaweza sana kiingereza na nina pronounce vizuri sana maneno yake ilhali hata hiyo master sina
Huwezi mcheka mtanzania kwakutojua kingereza ila asipojua kiswahili ndio aibu
 
Inglish ya kuchomelea na kuunga kwa super glue.
Inglish kavu kama ule wali wa mgagaa na upwa.
Inglish mbaya kama barabara ya kibondo to kasulu.
 
alikariri au sio mkuu!
 
Daaah umenukuu kabisa,Yani anaongea Kama anapresha
 
Sio lugha yake mama acheni uraia kingereza ndo nn mazwazwa wajinga hakujielewi kosa lake nn n kujifanya wasomi nyote weusi kingereza hakiwahusu
Unawezaje kumjudge mtu kwa kingereza

Basi kamchukueni mtoto wa miaka 7 England anajua kingereza muje kumpa uprofessor au kumuabudu kabisa ..

Nyuzi izi hazifai katika maadili ni kumdhalilisha mtu na ni kinyume cha mila na desturi zetu kwani hyo ni lugha ya kigeni hata ujue kingereza sio kwamba utatushikia akili labda mazwazwa wenzio
 
By the way Mh Ndalichako ni mtaalam wa elimu,she is not a Linguist..Mbona wachina wana kiingereza kibovu huko UN kuliko sisi?

Hoja ya msingi hapa ni kwamba ni lini Tanzania itaamua haswa (angalau hatua kwa hatua) kufanya mabadiliko ktk elimu yake duni? Mkuu hii elimu yetu ni mbovu mno na haikidhi hata kidogo mahitaji ya dunia ya leo. Serikali haioneshi juhudi,wala mpango,wala mkakati wa kututoa hapa. Ukitaka kuthibitisha hili,fanya assessment ya uelewa wa hawa wasomi wetu kutoka vyuo vikuu!

Binafsi naamini profesa anajua namna ya kufanya kuiboresha elimu yetu tena katika tanuru hilihili la uchumi wetu duni. Kikwazo ni kwamba masuala ya kitaaluma ktk nchi hii yanafanywa kisiasa! Taaluma ni useless hapa kwetu mbele ya siasa...na wanasiasa wetu wengi hawana elimu au ni zao la elimu yetu mbovu! Mama anafanya kazi kwa kuzingatia mipaka ya kisiasa...tusitegemee taaluma yake itumike ipaswavyo! Ukimtazama ktk maamuzi yake wakati wa awamu ya tano na hii ya sita ni ukinzani...hii itakupa picha nzuri

Sina ushahidi ila naamini kuna mabeberu somewhere wameshika rimoti na wanaivuruga elimu yetu! Inaonekana hata marehemu hakua mdau wa elimu,yeye aliamini ktk miundombinu peke yake la sivyo angefanya jambo hapa! Mimi kama mwalimu naumia sana kuona hakuna kitu serious kinafanyika kutoa elimu bora ktk taifa langu nilipendalo! Nachukia sana!
 
Huwezi kulinganisha China na Tanzania kwa english ukabaki na credibility ya uelewa na uchambuzi. wachina wanasoma kichina na wanatumia kichina katika kila kitu. Kuongea Kiingereza kwao ni juhudi za kutafsiri wanachokielewa ili kiweze kuwasilishwa na kueleweka kimataifa.

Tanzania Tangu shule ya msingi tunasoma kingereza hadi chuo kikuu. Ofisini tunatumai kiingereza kama moja ya llugha rasmi. Halafu mtu ashindwe kuongea kingereza bado umpigie chapuo kwa kulilnganisha na wachina? Ujinga huu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aibu hii kwa Prof mzima aisee, bongo hii usitishwe na title ya u Dr au Prof, wengi ni vilaza wenye GPA kubwa ila kujieleza hawawezi
Mtetee mwanamke mwenzio kha! [emoji16][emoji16][emoji2099]
 
Hatuwezi kumcheka mtanzania kwa kutokujua kiingereza lakini tunaweza kumcheka msomi mwenye PHD kwa kutokujua kiingereza.

Haiwezekani mtu ashindwe kuongea lugha ambayo kaitumia karibia miaka 22 ya usomi wake
Lugha inaenda kwa kufifia kama huitumii yeye hajazaliwa uingereza kusema lugha yake ya kwanza ni kingereza . Narudi kuncheka mtanzania kwasababu hajui kingereza ni ushamba wa hali ya juu. Wewe je unaweza ongea kama yeye au zaidi yake
 
Tunapendekeza atumie Swahili
 
soma mada sio unakurupuka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…