Prof. Kabudi ahudhuria hafla ya uzinduzi ripoti ya BBI nchini Kenya inayopendekeza uwepo wa cheo cha Waziri Mkuu na Kiongozi wa Upinzani Bungeni

Its so patheric, he is proving that he know english very well by using BOMBASTIC WORDS, that is not the best english language, as inly a few can understand the meaning, but angetumia simple english.

Huyu Waziri ni show off kabisa.
 
Duuuh! Huyu ndiye alikuwa anatoa jasho mbele ya Canadian Ambassador Ndege bado haijaachiliwa
 
eliakeem,
Kawachamba halafu kawashikisha Serikali na Bunge zima mikono na kuwaapisha huku wakijikuta wanasimama wenyeweer! Prof. Kabudi ni noma.
 
Its so patheric, he is proving that he know english very well by using BOMBASTIC WORDS, that is not the best english language, as inly a few can understand the meaning, but angetumia simple english.

Huyu waziri ni show off kabisa.
Mbona English aliyotumia ipo simple! Labda Kiswahili neno kaumu badala ya hadhira! Kongole badala ya hongera!
 
Depay,
Acha ujinga wewe mkikuyu, sikiliza kitu ambacho anawaasa. Kikuyu isiwe mbele ya kenya, kenya siku zote iwe mbele ndiyo mtafikia utengamano kama taifa.
 
Its so patheric, he is proving that he know english very well by using BOMBASTIC WORDS, that is not the best english language, as inly a few can understand the meaning, but angetumia simple english.

Huyu waziri ni show off kabisa.


Zingatia umri wa Kabudi kwanza na alianza Shule lini, hicho kizazi chake walikuwa wanafundishwa hivyo na Muzungu, ilikuwa kujua Misamiati migumu ni sifa, kwanza walikuwa hata wanafanyishwa mashindano na Muzungu shuleni yupi aliyesheheni Misamiati migumu klk wote.

Nakumbuka Sekondari nilifanya tuition ya english, yule Mwalimu alikuwa Mzee alisomea wkt wa Ukoloni ilikuwa ni hivyo kukariri mineno migumu na kushindana, nakumbuka dictations eti kuandika Mississippi WTF? Mimi nijue jinsi ya kuandika Mississippi ili iweje?

Hivyo zingatia Historia yake ya elimu.
 
Fungua uzi tutakuja kujadili, leo ni BBI - Kenya.


Kama umemsikiliza Prof. Kabudi mwanzo mwisho, Kabudi amesisitiza hii BBI ya leo ni ya Afrika Mashariki nzima hivyo lazima tumpe angalizo Prof. Kabudi lini atatekeleza hiyo BBI anayosema siyo ya Kenya pekee.
 
Barbarosa,
Bro natoa shukrani za dhati kuleta uzi kama huu. maana nimefurahi alivyo waasa viongozi wa kenya wa pande zote. amewanyoosha, mpaka wakajihisi hawana kitu kichwani. Kabudi katumia tu tasfida, ilibidi awanyookee tu kuwa kenya ni kubwa kuliko wakikuyu na wajaluo. lazima wajue na kulizingatia hilo.
 
hongera sana mzee kabudi,umetishaa sana huku NairobI na yeye ni mnyakyusa eh? 😀
 
Tunaita kupigwa msasa na kozi ya muda mfupi ambayo hata MK254 alitakiwa awepo ktk shughuli hii ya leo kuongeza maneno ya msamiati ktk lugha adhimu ya Kiswahili.

Kubwa ktk tukio la leo ni kuapishwa kwa kiapo cha yamini kuwa waKenya wote mtaishi kama jamii moja bila kuendekeza ukabila.
 
I appreciate this guy he is intelligent.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…