Nzowa Godat
JF-Expert Member
- Jun 15, 2011
- 2,785
- 821
Hapo ukali wote huo ni kwamba wameshindwa kujieleza jinsi walivyotumia zile Euro milioni 27 za msaada kwa ajili ya corona, wakati Tanzania hakuna COVID 19. Masaa 48 waliyopewa kutoa ufafanuzi yameonekana kama dakika 20 tuwho cares about you? na kaongea kweli, hii africa ishukuru tz katika kupigania uhuru