Bobwe2
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 2,463
- 2,342
Umeongea pointMimi ni Mtanganyika kweli lakini Tanganyika yangu imeporwa na hawa wahuni wachache kwa maslahi yao binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea pointMimi ni Mtanganyika kweli lakini Tanganyika yangu imeporwa na hawa wahuni wachache kwa maslahi yao binafsi
Kabudi ana mate yanayonasa pembeni ya mdomo yanaudhi akiongeaPrf kabudi anasema hata utoke mbinguni au duniani lazima ulipe kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Binaadam hatupo sawa.Kabudi ana mate yanayonasa pembeni ya mdomo yanaudhi akiongea
Mark my words RAIS WA 2025 NI HUSSEIN MWINYI
Malaika mtoa roho anashuka inafika mara 100 kwa siku Tanzania, hana hata TIN, kodi hiyo analipa vipi?Prf kabudi anasema hata utoke mbinguni au duniani lazima ulipe kodi
Sent using Jamii Forums mobile app
Charles Tizeba unamwacha wapi?Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Endelea kupiga ramliMh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
kabudi hana sifa za kuwa hata mjumbe wa nyumba kumi na hana kauonesha ulimwengu dhahiri kabisa jinsi asivyo kuwa na uwezo mzuri wa kufikiri na kuongea pamoja na uprofesa wake kifupi jana katia kinyaa kabisa kaongea kana kibaka hivi hakuwa na tofauti na kibajajiMh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.
Japo ilitokea Marekani, DRC na Zanzibar lakini sipendi hii tabia ya familia moja kushika nchi kama ufalme.
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya.