Prof. Kabudi awataka Mabalozi kujipanga na kutafuta fursa za masoko ya bidhaa za Tanzania

Balozi wa tanzania nchini Kuwait, hajui anachotakiwa kukifanya . Yeye na yule mwendazake walipeana ubalozi tu.
 
Watoto walishindwa kutamka "kalamaganda kabugi!!" Hivi kwanini baadhi ya wasomi wetu tunaowaamini na kuwapa nafasi wanatuangusha?
 
Yule aliyejisifu ana digrii saba yuko wapi siku hizi? Au nae hakuwa Khadija Kopa kwa taarabu zile?
Wasomi wanaodharaulisha elimu hudharaulika...
 
We ni pumbavu kweli.sio kila mtu unaemuona hapa jukwaani ufikiri ameishia form 2 kma ww,hata kama basi elimu hiyo ya kina Kabudu hatuna Ila sina ujinga wa kujitoa ufahamu na kua mchumia tumbo kama huyo propesa wa jalalani.
 
Hivi ile elimu ya kabudi inatusaidia nn sisi kama taifa!? Hakuna anachotusaidia zaidi ya hasara ya kuharibu mahusiano yetu alivyopewa kile cheo Cha waziri wa mambo ya nje.
 
Hili zee fata upepo kweli....Leo kutafuta soko LA bidhaa toka TZ,twambie kwann waligoma kuja kuweka uwekezaji Tanzania..
 
We ni pumbavu kweli.sio kila mtu unaemuona hapa jukwaani ufikiri ameishia form 2 kma ww,hata kama basi elimu hiyo ya kina Kabudu hatuna Ila sina ujinga wa kujitoa ufahamu na kua mchumia tumbo kama huyo propesa wa jalalani.
Baadhi ya hasara za ukosefu wa elimu ya kutosha ni kama unavyo jidhilisha hapa - mtu anae jiamini na amelimika vya kutosha hawezi kuanza kutukana tukana watu ovyo anapo shindwa kujenga hoja zenye mshiko, kwa bahati mbaya na wewe ni victim anae sumbuliwa na inferiority complex ndio maana weakness yako inaishia kuwatukana watu ovyo.

Hivi ile elimu ya kabudi inatusaidia nn sisi kama taifa!? Hakuna anachotusaidia zaidi ya hasara ya kuharibu mahusiano yetu alivyopewa kile cheo Cha waziri wa mambo ya nje.
Kweli? Unaonaje ukimshauri Rais S. S.S.Hassan akupatie nafasi ya Dk. Kabudi tuone utatuletea mabadiriko gani yenye tija ndani ya Wizara ya mambo ya nje, kumbuka talking is cheap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…