Prof Kabudi: Kati ya pesa na heshima ya nchi yetu, tutasimamia heshima. Tuko tayari kuwasikiliza na kujadiliana kwa heshima

Yeye ni mtanzania, yeye ni mwanaccm, yeye ni muwakilishi wa wananchi kupitia ccm, yeye ni waziri na anasimama kama serikali kutoa msimamo wa nchi

Kama hawawezi kutuheshimu kama tunavyowaheshimu watajibiwa tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]
Yale yale ya Zimbabwe kujitutumua na kujibizana na mabeberu leo hii wanaoumia ni wananchi wa hali ya chini kwakuwa viongozi wao wanalipana mishahara.

Huyu ni waziri anayedili zaidi na diplomasia kwahiyo tulitegemea kauli za kidiplomasia zaidi kuliko kujibu kwa mihemko madhara yake ni makubwa.
 
Yeye ni mtanzania, yeye ni mwanaccm, yeye ni muwakilishi wa wananchi kupitia ccm, yeye ni waziri na anasimama kama serikali kutoa msimamo wa nchi

Kama hawawezi kutuheshimu kama tunavyowaheshimu watajibiwa tuu😂😂😂👍
Anzeni kwa kuwaheshimu na kujali utu wa wananchi wenu bila kujali itaikadi zao!
Lakini mnaua,mnabambikizia kesi,mnateka na kupiga risasi wapinzani halafu mnasema utu?Shame!
 
Hizo Euro zimetjmika Kama zilivyokusudiwa...wewe unadhani ziko wapi?
Mzee mimi nadhani serikali haina haja yakutoa mipasho yote hii. Kikubwa hizo bilioni 75 za msaada zirudishwe tuepukane na kelele za mabeberu.

Sidhani kama kuna haja yakuendeleza majibizano.
 
Ili uheshimiwe unatakiwa utangulie kuheshimu wengine
Mbona ninyi hamuwaheshimu wengine?
Hivi kuwaita wazungu mabeberu hii ni heshima?
Kuwaambia watanzani maeneo ambayo hamkupeleka maenendeo kuwa hamkupata maendeleo kwakuwa mliuchagua upinzani,hii ni heshima?

NINYI NDIYO MMEKOSA ADABU NA HESHIMA.
Watu wanawapa pesa zao bure ziwasaidie halafu mnawaita mabeberu hii ni sawa?
Ninyi mkiitwa manyani au masokwe mtafurahi?

Mmekosa adabu ndani ya nchi yenu na nje pia.
Oooh! Tutatetea heshima yetu kwanza lakini tutazungumza nao kwa heshima wakitaka.
Uzungumze nao nini wakati unaona wamekuvunjia heshima!!
Mnaweweseka tu

Sasa nasmini maneno ya Lissu kuwa wanaoteuliwa wanaokotwa majalalani.
HUYU WAZIRI ANATOSHA KWELI KWENYE HII WIZARA?

WAZUNGU NJOONI MTUNYOOSHE JAPO TUTATESEKA WOTE,POTELEA MBALI.
 
Hata kwenye korona walisema hawafungi mipaka matokeo yake cc ndio tukafungiwa yaani mipaka yetu ipo wazi unaruhusiwa kutoka lkn huwezi toka kwa sababu kule uwendako mipaka imefungwa yaani upo upo tu,

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Mzee mimi nadhani serikali haina haja yakutoa mipasho yote hii. Kikubwa hizo bilioni 75 za msaada zirudishwe tuepukane na kelele za mabeberu.

Sidhani kama kuna haja yakuendeleza majibizano.
Zirudishwe wapi?
 
Mzee mimi nadhani serikali haina haja yakutoa mipasho yote hii. Kikubwa hizo bilioni 75 za msaada zirudishwe tuepukane na kelele za mabeberu.

Sidhani kama kuna haja yakuendeleza majibizano.
Mbona nawe umehusika katika kuzitumia Sasa zitarudishwaje wakati zimetumika
 

Zimbabwe sio Tanzania wala Mugabe sio Magufuli

Huyu ni waziri anayedili zaidi na diplomasia na ametoa maelezo sahihi na ya kidiplomasia
Wewe ulitaka atoe maelezo gani? Hebu tuwekee hapa ulichotaka Kabudi aongee😁😁😁

Ni wakati sasa wa hao vibaraka na mabwana zao kuacha mihemko kwa taifa lililo huru

Mungu ibariki Tanzania
 
Faza Kabudi akili zake Anaijua mwenyewe na kumbuka alishawai mwambia Magufuli anamshukuru kwa kumtoa jalalani
Pia aliwahi kumuadress " mheshimiwa mungu".
Takataka ambayo haifai hata kutengenezea mkaa,mbolea wala chakula ya funza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…